macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,765
- 39,534
Mkuu mimi naamini kitu kimoja: wanasiasa wa Tanzania wanatuona sisi wananchi akili zetu ni finyu sana sana kiasi ambacho hatuwezi hata kugeuka tuone kilicho nyuma yetu umbali wa mita moja.Leo ndo anajikuta ana morals
Kwanini asingesema hivyo wakati wanamgawia zile fedha za escrow