Byendangwero
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 871
- 56
Ni ukweli ulio wazi kwamba mtu hawezi kuwadanganya watu wote kwa siku zote;lazima hatimaye afikie arobaini yake. Ndivyo ilivyo kwa Zitto hivi sasa. Labda niongeze tu kwamba kwasasa hao ambao amekuwa akiwatumikia, nao mda si mrefu itabidi wamteme; kwakuwa baada ya kubainika atakuwa hana manufaa nao tena.