The Zitto saga: Vyombo vya habari vinaiua CHADEMA?

Status
Not open for further replies.
Mpango wa muda mrefu wa kumng’oa chamani mbunge machachari zitto Zuber Kabwe,sasa unaonekana umeiva na harakati zaonekana kwenda vizuri.Chanzo cha uhakika zaidi kinaeleza kwamba kwa muda mrefu uongozi umekuwa hauridhiki na mwenendo wa mbunge huyo wa kigoma kaskazini.Kubwa zaidi linaloukera uongozi chadema na waasisi wa chama hicho ni kuwa msimamo wa mbunge huyo unahatarisha kutokutimia kwa malengo maalum ya waasisi wa chama hicho iliyojiwekea kuwapa kipaumbele na upendeleo maalum jamii ya anayeitwa muasisi wa chama hicho.
Aidha kwa muda mrefu lengo la Zitto ni kwamba chama kisiwe na maslahi ya jamii(chagga tribe) moja tu bali maslahi kwa wote(watanzania).Na ndo maana hali hii ilimpelekea kuamua kugombea nafasi ya uenyekiti ili kuondoa hali hiyo ya kuweka maslahi kwa jamii moja kama ilivyo sasa.Kuchukua kwake fomu Zitto ya kugombea nafasi ya uenyekiti na nguvu aliyokuwa nayo ilitishia maslahi na malengo ya waasisi pindi akikamata uongozi wa juu kabisa wa chama hicho,ndio walipoingilia waliojiita wazee wa chama kumuomba atoe jina ili kunusuru chama.Baada ya nguvu kubwa kutumika Zitto aliamua kutoa jina lake.Hata kupewa unaibu kiongozi wa upinzani bungeni ilikuwa ni kupunguza ukali wake wa kuitaka nafasi ya kiongozi wa upinzani bungeni.Ambacho kimefanya viongozi wa Chadema wamshindwe Zitto ni kwamba uongoza akitumia vizuri katiba ya chama na kananu zake kama muongozo wa kila anachokidai,kusimamia au kukitetea.Baada ya kumwinda kwa muda mrefu sasa uongozi wa chadema umepata pa kuanzia.Mpango uliopo kwa kuanzia ni kumuondoa katika nafasi ya unaibu kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni.Rejea maelezo ya tundu lissu kwa vyombo vya habari.Tayari Zitto ameshapewa barua ya kujieleza kwa nini hakuunga mkono msimamo wa kususia hotuba ya rais.Zitto anaonekana jeuri na kiburi hasa pale asipounga mkono maamuzi binafsi kufanywa ni ya msimamo wa chama.Mpango wa kumpa majina na sifa mbaya kama msaliti wa chama ndo umefanywa kama njia halali ya maamuzi yatakayotolewa juu yake.Angalia mwanahalisi la jana na maoni yana JF juu yake.Ukitaka kumuua mbwa kwanza mpe majina mabaya.Wana chadema wenye kutaka kusimamisha demokrasia ndani ya chama wanamuona Zitto kama shujaa na kiongozi imara,ila wale wa jamii ya muasisi ni msaliti na fisadi.Anaambiwa yupo karibu na mafisadi na anajipendekeza kwa rais haya yote ni mambo ya kubuni na hayana ushahidi wa kutosha.Na hata kama yupo nao karibu.Je ni ukaribu upi na kwa ajili ya nini.Kwani hao wanaotuhumiwa ufisadi ni kosa kushiriana nao katika mambo ya kibinaadamu.Hoja ya kipuuzi ya ubaguzi na ya kunyanyapaa. zoezi la kwanza avuliwe unaibu kiongozi kambi ya upinzani bungeni.Ambalo hili litafanyika hivi karibuni.Pia swala la udini limekuwa likiisumbua chadema kutokumg’oa Zitto kwa muda mrefu,kwa hofu ya kuonekana ni chama chenye kuwapa kipaumbele watu dini Fulani.Hata hivyo baadhi ya viongozi wameona si ishu kwa kuwa yupo makamu wa mwenyekiti anayeonesha hakuna udini katika chama hicho,Said Alfi.Huyu hawana tabu naye kwani mkimya na anayekubali kila kitu.Ni kama anayelipa fadhila za kupewa uongozi.
Kwa sasa naomba niwasilishe hoja za jazba,ushabiki hazina nafasi
Aliye kutuma mwambia chadema ina viongozi imara inawafuasi imara, inawanachama imara ina kila haki ya kuliongozi taifa muda wowote kuanzia sasa na zito ni zito, chadema ni taasisi kubwa sana

haiwezi kutetereka kama unavyo dhani na haimuabudu mtu, kila mtu aliingia mwenyewe na atatoka mwenyewe, tupo kwaajili ya watanzania na si kwaajili ya mtu fulani, hii siyo CCM na NDOA YAKE YA NCCR, CUF, TLP NA VINGINEO VINGI, fuata histori toka 1995 ukibaini achana na upuuzi wa kuwa mamluki you can go if u want,

SLAA IN MY PRESIDENT
CHADEMA CHAMA CHANGU

CCM ADUI YANGU
JK SI RAIS YANGU

peleka msg ukapewe ulaji......

mungu ibari chadema mungu ibari tanzania
walaani mapandikizi......amen
 
Mpango wa muda mrefu wa kumng’oa chamani mbunge machachari zitto Zuber Kabwe,sasa unaonekana umeiva na harakati zaonekana kwenda vizuri.Chanzo cha uhakika zaidi kinaeleza kwamba kwa muda mrefu uongozi umekuwa hauridhiki na mwenendo wa mbunge huyo wa kigoma kaskazini.Kubwa zaidi linaloukera uongozi chadema na waasisi wa chama hicho ni kuwa msimamo wa mbunge huyo unahatarisha kutokutimia kwa malengo maalum ya waasisi wa chama hicho iliyojiwekea kuwapa kipaumbele na upendeleo maalum jamii ya anayeitwa muasisi wa chama hicho.
Aidha kwa muda mrefu lengo la Zitto ni kwamba chama kisiwe na maslahi ya jamii(chagga tribe) moja tu bali maslahi kwa wote(watanzania).Na ndo maana hali hii ilimpelekea kuamua kugombea nafasi ya uenyekiti ili kuondoa hali hiyo ya kuweka maslahi kwa jamii moja kama ilivyo sasa.Kuchukua kwake fomu Zitto ya kugombea nafasi ya uenyekiti na nguvu aliyokuwa nayo ilitishia maslahi na malengo ya waasisi pindi akikamata uongozi wa juu kabisa wa chama hicho,ndio walipoingilia waliojiita wazee wa chama kumuomba atoe jina ili kunusuru chama.Baada ya nguvu kubwa kutumika Zitto aliamua kutoa jina lake.Hata kupewa unaibu kiongozi wa upinzani bungeni ilikuwa ni kupunguza ukali wake wa kuitaka nafasi ya kiongozi wa upinzani bungeni.Ambacho kimefanya viongozi wa Chadema wamshindwe Zitto ni kwamba uongoza akitumia vizuri katiba ya chama na kananu zake kama muongozo wa kila anachokidai,kusimamia au kukitetea.Baada ya kumwinda kwa muda mrefu sasa uongozi wa chadema umepata pa kuanzia.Mpango uliopo kwa kuanzia ni kumuondoa katika nafasi ya unaibu kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni.Rejea maelezo ya tundu lissu kwa vyombo vya habari.Tayari Zitto ameshapewa barua ya kujieleza kwa nini hakuunga mkono msimamo wa kususia hotuba ya rais.Zitto anaonekana jeuri na kiburi hasa pale asipounga mkono maamuzi binafsi kufanywa ni ya msimamo wa chama.Mpango wa kumpa majina na sifa mbaya kama msaliti wa chama ndo umefanywa kama njia halali ya maamuzi yatakayotolewa juu yake.Angalia mwanahalisi la jana na maoni yana JF juu yake.Ukitaka kumuua mbwa kwanza mpe majina mabaya.Wana chadema wenye kutaka kusimamisha demokrasia ndani ya chama wanamuona Zitto kama shujaa na kiongozi imara,ila wale wa jamii ya muasisi ni msaliti na fisadi.Anaambiwa yupo karibu na mafisadi na anajipendekeza kwa rais haya yote ni mambo ya kubuni na hayana ushahidi wa kutosha.Na hata kama yupo nao karibu.Je ni ukaribu upi na kwa ajili ya nini.Kwani hao wanaotuhumiwa ufisadi ni kosa kushiriana nao katika mambo ya kibinaadamu.Hoja ya kipuuzi ya ubaguzi na ya kunyanyapaa. zoezi la kwanza avuliwe unaibu kiongozi kambi ya upinzani bungeni.Ambalo hili litafanyika hivi karibuni.Pia swala la udini limekuwa likiisumbua chadema kutokumg’oa Zitto kwa muda mrefu,kwa hofu ya kuonekana ni chama chenye kuwapa kipaumbele watu dini Fulani.Hata hivyo baadhi ya viongozi wameona si ishu kwa kuwa yupo makamu wa mwenyekiti anayeonesha hakuna udini katika chama hicho,Said Alfi.Huyu hawana tabu naye kwani mkimya na anayekubali kila kitu.Ni kama anayelipa fadhila za kupewa uongozi.
Kwa sasa naomba niwasilishe hoja za jazba,ushabiki hazina nafasi

Hii haijakaa vema, weka paragraph ieleweke inachosa kusoma... Sijaweza kuimaliza inaumiza macho.
 
Hili sio kwamba lisemwalo lipo kama halipo linakuja, la Zitto lishakuja ni kulidhibiti halaka kwa kumwondolea mbali hata wabunge wakipungua hamna neno kwani zawadi za kua chama chetu anazopewa akazitumie kwenye NCCR ya Mbatia, na pia waliotumwa kumsafisha hawako makini huyu ni sawa na mtoto wa mbwa kwani ung'ata chochote kilicho mbele yake kwa kutest meno yake, sasa huyu anatungata mapema hivyi baadaye meno yakikua akaongezea kucha si atatulalua kabisa,
 
Kama zitto yuko na CDM hasa, tutaona. Lakini kwa dalili hizi za kuwa kinyume na maamuzi ya chama sidhani kama hapo baadae atakuwa mwenzetu. Na kama anataka kuwa papeti wala si vibaya lakini kamwe hana uwezo wa kuyumbisha chama makini chenye dira na mabadiliko yenye kumjali mtanzania.
 
si kuwa waberoya anamtetea zitto nia yake ni kuona viongozi wa chadema wanavurugana na zitto, waberoya ni mmoja wa zitto haters toka udsm hapa anajaribu kuwachanganya watu tu ambao hawamjui yeye toka enzi za 'kubwajinga', soma article yake hii
wewe kiumbe mbaya sanaaaa!!!!! Tunakushukuru sana
 
Kila mapinduzi yana wasaliti wake. Tutake tusitake zito ni msaliti. Ebu aueleze umma gari analotumia kapewa na nani.
Zito tubu ujenge nafasi yako kisiasa.
CCM wameisha wachoka wasaliti waliokimbilia huko. Tatizo kubwa analotuhumiwa nalo Makamba ni kuwabeba mamluki waliovihama vyama vyao na kukimbilia ccm.Baada ya pigo la nguvu ya umma ccm inataka kujijenga upya toka ndani. Zito huna nafasi huko. Tubu kijana, unaweza ukasamehewa.
Kama kulikuwa na ukabila CDM ni huko nyuma siyo sasa.Acheni kutumiwa kuleta maada za kipropoganda humu.
After all who is Zito? Nje ya CDM Zito si kitu .Aende kwa kafulila wajenge NCCR yao,anabomowa CDM akifikiri anatakiwa ccm, akikosa apokewe na Kafulila. TO HELL, OFF YOU GO.
 
Kwaheri zitto kabwe njaa na sifa za kijinga zimekuponza mvueni madaraka yote akitaka kuondoka aende hatuna shida nae huyo mnafiki mkubwa chadema tuna hazina nyingi za kudumu. Dos santos ukitaka kumjua zitto waulize waliesoma nae sehemu yoyote. Yeye huwa ni matatizo tuu kila sehemu -hovyohovyo, pale kigoma sekondari yeye na wenzake 9 walibaka binti waliyekuwa wakisoma nae siri hiyo ikavuja kwa kuwa binti huyo alikuwa na hali mbaya, na binti huyo alikuwa ni mtoto wa discipline master, baada ya zengwe kugundulika kwa kuwa zito alikuwa kiongozi akapata fununu za kuchunguzwa ikabidi aanzishe mgomo hewa kuficha madhambi yake-watu wote waligoma wakiamini sababu za kugoma wakati ukweli ni kwmba ilikuwa kumwokoa zitto na wenzake tisa, shule ilifungwa uchunguzi ukafanyika, na zitto na wenzake 9 wakafukuzwa. Anayetaka source aende kigoma sekondari achukue faili ya zito mwaka 1994 akiwa form three, au aliye karibu na dr hamis andrew kigwangala mbunge wa nzega amuulize habari hiyo atapata ukweli. Zitto ni kigeugeu na anapenda mizengwe kila anapokuwa
 
Dos Santos,

either wewe ni Zitto mwenyewe au umeshirikianana na Zitto kuandika hii Pumba ya ya leo hapa JF,kama Zitto alijua CDM ni ya wachagga kwanini alijiunga? vipo vyama vingi tu hapa nchini kikiwemo NCCR anachokipigia Debe kwanini asiende huko? unavyosema swala la kuondoka buneni lilikuwa la mtu binafsi ni kwanini walipiga kura? Fikiri kabla ya kuandika. hii ni pumba kwa siku ya leo nyambafuuuuuuuuu
 
Mtu ahukumiwe kutokana na makosa yake na siyo kiwe kisingizio cha ukabila tushindwe kumsema yeyote yule. Kosa lake ni kutounga uamuzi wa chama kutoka nje ya bunge na yeye kaambiwa ajieleze, sasa ukabila unatoka wapi?
 
:teeth::teeth:KICHWA CHA MWANDISHI WA THREAD KINA MATATIZO NA DHAMBI KWA MUNGU
...........LOOOOOOOO
 
Kumbe ZiTtO ni BUbu Mchana Rangi ya Njano Usiku Rangi Nyeupe
PIGAaaaaaaaa Chini.:croc:
 
Duuuh! Zito mbona anaandamwa kiasi hiki? Haitakuja kutokea Zito kung'olewa/kuondolewa CDM, Sisi tujadili kwenye JF kwa kujifurahisha tu. Hivi ni Zito pekee yake aliyepinga kususia hotuba ya JK? Mjonge mjongeni lkn haki mpeni!!!
 
Mpango wa muda mrefu wa kumng’oa chamani mbunge machachari zitto Zuber Kabwe,sasa unaonekana umeiva na harakati zaonekana kwenda vizuri.Chanzo cha uhakika zaidi kinaeleza kwamba kwa muda mrefu uongozi umekuwa hauridhiki na mwenendo wa mbunge huyo wa kigoma kaskazini.Kubwa zaidi linaloukera uongozi chadema na waasisi wa chama hicho ni kuwa msimamo wa mbunge huyo unahatarisha kutokutimia kwa malengo maalum ya waasisi wa chama hicho iliyojiwekea kuwapa kipaumbele na upendeleo maalum jamii ya anayeitwa muasisi wa chama hicho.
Aidha kwa muda mrefu lengo la Zitto ni kwamba chama kisiwe na maslahi ya jamii(chagga tribe) moja tu bali maslahi kwa wote(watanzania).Na ndo maana hali hii ilimpelekea kuamua kugombea nafasi ya uenyekiti ili kuondoa hali hiyo ya kuweka maslahi kwa jamii moja kama ilivyo sasa.Kuchukua kwake fomu Zitto ya kugombea nafasi ya uenyekiti na nguvu aliyokuwa nayo ilitishia maslahi na malengo ya waasisi pindi akikamata uongozi wa juu kabisa wa chama hicho,ndio walipoingilia waliojiita wazee wa chama kumuomba atoe jina ili kunusuru chama.Baada ya nguvu kubwa kutumika Zitto aliamua kutoa jina lake.Hata kupewa unaibu kiongozi wa upinzani bungeni ilikuwa ni kupunguza ukali wake wa kuitaka nafasi ya kiongozi wa upinzani bungeni.Ambacho kimefanya viongozi wa Chadema wamshindwe Zitto ni kwamba uongoza akitumia vizuri katiba ya chama na kananu zake kama muongozo wa kila anachokidai,kusimamia au kukitetea.Baada ya kumwinda kwa muda mrefu sasa uongozi wa chadema umepata pa kuanzia.Mpango uliopo kwa kuanzia ni kumuondoa katika nafasi ya unaibu kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni.Rejea maelezo ya tundu lissu kwa vyombo vya habari.Tayari Zitto ameshapewa barua ya kujieleza kwa nini hakuunga mkono msimamo wa kususia hotuba ya rais.Zitto anaonekana jeuri na kiburi hasa pale asipounga mkono maamuzi binafsi kufanywa ni ya msimamo wa chama.Mpango wa kumpa majina na sifa mbaya kama msaliti wa chama ndo umefanywa kama njia halali ya maamuzi yatakayotolewa juu yake.Angalia mwanahalisi la jana na maoni yana JF juu yake.Ukitaka kumuua mbwa kwanza mpe majina mabaya.Wana chadema wenye kutaka kusimamisha demokrasia ndani ya chama wanamuona Zitto kama shujaa na kiongozi imara,ila wale wa jamii ya muasisi ni msaliti na fisadi.Anaambiwa yupo karibu na mafisadi na anajipendekeza kwa rais haya yote ni mambo ya kubuni na hayana ushahidi wa kutosha.Na hata kama yupo nao karibu.Je ni ukaribu upi na kwa ajili ya nini.Kwani hao wanaotuhumiwa ufisadi ni kosa kushiriana nao katika mambo ya kibinaadamu.Hoja ya kipuuzi ya ubaguzi na ya kunyanyapaa. zoezi la kwanza avuliwe unaibu kiongozi kambi ya upinzani bungeni.Ambalo hili litafanyika hivi karibuni.Pia swala la udini limekuwa likiisumbua chadema kutokumg’oa Zitto kwa muda mrefu,kwa hofu ya kuonekana ni chama chenye kuwapa kipaumbele watu dini Fulani.Hata hivyo baadhi ya viongozi wameona si ishu kwa kuwa yupo makamu wa mwenyekiti anayeonesha hakuna udini katika chama hicho,Said Alfi.Huyu hawana tabu naye kwani mkimya na anayekubali kila kitu.Ni kama anayelipa fadhila za kupewa uongozi.
Kwa sasa naomba niwasilishe hoja za jazba,ushabiki hazina nafasi

tumechoka na hii habari, kama vile imekuwa tangazo. leteni mada zingine tumechoka na habari za zittom plse
 
Mpango wa muda mrefu wa kumng’oa chamani mbunge machachari zitto Zuber Kabwe,sasa unaonekana umeiva na harakati zaonekana kwenda vizuri.Chanzo cha uhakika zaidi kinaeleza kwamba kwa muda mrefu uongozi umekuwa hauridhiki na mwenendo wa mbunge huyo wa kigoma kaskazini.Kubwa zaidi linaloukera uongozi chadema na waasisi wa chama hicho ni kuwa msimamo wa mbunge huyo unahatarisha kutokutimia kwa malengo maalum ya waasisi wa chama hicho iliyojiwekea kuwapa kipaumbele na upendeleo maalum jamii ya anayeitwa muasisi wa chama hicho.
Aidha kwa muda mrefu lengo la Zitto ni kwamba chama kisiwe na maslahi ya jamii(chagga tribe) moja tu bali maslahi kwa wote(watanzania).Na ndo maana hali hii ilimpelekea kuamua kugombea nafasi ya uenyekiti ili kuondoa hali hiyo ya kuweka maslahi kwa jamii moja kama ilivyo sasa.Kuchukua kwake fomu Zitto ya kugombea nafasi ya uenyekiti na nguvu aliyokuwa nayo ilitishia maslahi na malengo ya waasisi pindi akikamata uongozi wa juu kabisa wa chama hicho,ndio walipoingilia waliojiita wazee wa chama kumuomba atoe jina ili kunusuru chama.Baada ya nguvu kubwa kutumika Zitto aliamua kutoa jina lake.Hata kupewa unaibu kiongozi wa upinzani bungeni ilikuwa ni kupunguza ukali wake wa kuitaka nafasi ya kiongozi wa upinzani bungeni.Ambacho kimefanya viongozi wa Chadema wamshindwe Zitto ni kwamba uongoza akitumia vizuri katiba ya chama na kananu zake kama muongozo wa kila anachokidai,kusimamia au kukitetea.Baada ya kumwinda kwa muda mrefu sasa uongozi wa chadema umepata pa kuanzia.Mpango uliopo kwa kuanzia ni kumuondoa katika nafasi ya unaibu kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni.Rejea maelezo ya tundu lissu kwa vyombo vya habari.Tayari Zitto ameshapewa barua ya kujieleza kwa nini hakuunga mkono msimamo wa kususia hotuba ya rais.Zitto anaonekana jeuri na kiburi hasa pale asipounga mkono maamuzi binafsi kufanywa ni ya msimamo wa chama.Mpango wa kumpa majina na sifa mbaya kama msaliti wa chama ndo umefanywa kama njia halali ya maamuzi yatakayotolewa juu yake.Angalia mwanahalisi la jana na maoni yana JF juu yake.Ukitaka kumuua mbwa kwanza mpe majina mabaya.Wana chadema wenye kutaka kusimamisha demokrasia ndani ya chama wanamuona Zitto kama shujaa na kiongozi imara,ila wale wa jamii ya muasisi ni msaliti na fisadi.Anaambiwa yupo karibu na mafisadi na anajipendekeza kwa rais haya yote ni mambo ya kubuni na hayana ushahidi wa kutosha.Na hata kama yupo nao karibu.Je ni ukaribu upi na kwa ajili ya nini.Kwani hao wanaotuhumiwa ufisadi ni kosa kushiriana nao katika mambo ya kibinaadamu.Hoja ya kipuuzi ya ubaguzi na ya kunyanyapaa. zoezi la kwanza avuliwe unaibu kiongozi kambi ya upinzani bungeni.Ambalo hili litafanyika hivi karibuni.Pia swala la udini limekuwa likiisumbua chadema kutokumg’oa Zitto kwa muda mrefu,kwa hofu ya kuonekana ni chama chenye kuwapa kipaumbele watu dini Fulani.Hata hivyo baadhi ya viongozi wameona si ishu kwa kuwa yupo makamu wa mwenyekiti anayeonesha hakuna udini katika chama hicho,Said Alfi.Huyu hawana tabu naye kwani mkimya na anayekubali kila kitu.Ni kama anayelipa fadhila za kupewa uongozi.
Kwa sasa naomba niwasilishe hoja za jazba,ushabiki hazina nafasi


Watu tujaribu kuwa wakweli,hivi matatizo ya Zitto mbona yapo wazi mno?utetezi wa kijinga unatoka wapi?kwa mtu mwenye akili timamu hawezi kushindwa kuona mapungufu ya Zitto labda tu uwe umetumwa kuandika vitu vya ajabu kama hivi,ushauri wangu mngemshauri Zitto kubadilika badala ya kupost upuuzi humu,na asijidanganye kuwa kuondoka kwake chama kitayumba,NO.
Naomba aelewe kuwa wanachama wengi wa mageuzi ni wasomi ujinga wake hautaathiri chochote,mimi binafsi nilikuwa shabiki wake ila kwa ubwege anaouonyesha sina hamu naye hata kidogo,hata akibadirika kamwe siwezi kumwamini tena mpaka naingia kaburini,wenye roho za huruma mnaweza kumsamehe ila siyo mimi,kwanza nasikitika kuwa wanamchelewesha kumwondoa,yeye ni nani mpaka watu wenye akili wakae wanamjadili hivi?
Kuhusu ukabira na udini ni mwendawazimu na punguani tu anayeweza kuufanyia kazi,upuuzi huu uwa unatolewa na CCM wakifikiri kuwa wanachama wa vyama vingine ni wajinga kama wa kwao,nani mwenye akili asiyejua kuwa udini na ukabira ni silaha ya CCM kuangamiza mageuzi bila kusahau maneno kama vita na machafuko?
Ushauri wangu watu wasiogopwe kuadabishwa kwa sababu za hovyo na nyepesi kama hizi,ni bora kubomoa ili kujenga vizuri kuliko kupaka rangi mwisho nyumba inaanguka.
 
Mpango wa muda mrefu wa kumng’oa chamani mbunge machachari zitto Zuber Kabwe,sasa unaonekana umeiva na harakati zaonekana kwenda vizuri.Chanzo cha uhakika zaidi kinaeleza kwamba kwa muda mrefu uongozi umekuwa hauridhiki na mwenendo wa mbunge huyo wa kigoma kaskazini.Kubwa zaidi linaloukera uongozi chadema na waasisi wa chama hicho ni kuwa msimamo wa mbunge huyo unahatarisha kutokutimia kwa malengo maalum ya waasisi wa chama hicho iliyojiwekea kuwapa kipaumbele na upendeleo maalum jamii ya anayeitwa muasisi wa chama hicho.
Aidha kwa muda mrefu lengo la Zitto ni kwamba chama kisiwe na maslahi ya jamii(chagga tribe) moja tu bali maslahi kwa wote(watanzania).Na ndo maana hali hii ilimpelekea kuamua kugombea nafasi ya uenyekiti ili kuondoa hali hiyo ya kuweka maslahi kwa jamii moja kama ilivyo sasa.Kuchukua kwake fomu Zitto ya kugombea nafasi ya uenyekiti na nguvu aliyokuwa nayo ilitishia maslahi na malengo ya waasisi pindi akikamata uongozi wa juu kabisa wa chama hicho,ndio walipoingilia waliojiita wazee wa chama kumuomba atoe jina ili kunusuru chama.Baada ya nguvu kubwa kutumika Zitto aliamua kutoa jina lake.Hata kupewa unaibu kiongozi wa upinzani bungeni ilikuwa ni kupunguza ukali wake wa kuitaka nafasi ya kiongozi wa upinzani bungeni.Ambacho kimefanya viongozi wa Chadema wamshindwe Zitto ni kwamba uongoza akitumia vizuri katiba ya chama na kananu zake kama muongozo wa kila anachokidai,kusimamia au kukitetea.Baada ya kumwinda kwa muda mrefu sasa uongozi wa chadema umepata pa kuanzia.Mpango uliopo kwa kuanzia ni kumuondoa katika nafasi ya unaibu kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni.Rejea maelezo ya tundu lissu kwa vyombo vya habari.Tayari Zitto ameshapewa barua ya kujieleza kwa nini hakuunga mkono msimamo wa kususia hotuba ya rais.Zitto anaonekana jeuri na kiburi hasa pale asipounga mkono maamuzi binafsi kufanywa ni ya msimamo wa chama.Mpango wa kumpa majina na sifa mbaya kama msaliti wa chama ndo umefanywa kama njia halali ya maamuzi yatakayotolewa juu yake.Angalia mwanahalisi la jana na maoni yana JF juu yake.Ukitaka kumuua mbwa kwanza mpe majina mabaya.Wana chadema wenye kutaka kusimamisha demokrasia ndani ya chama wanamuona Zitto kama shujaa na kiongozi imara,ila wale wa jamii ya muasisi ni msaliti na fisadi.Anaambiwa yupo karibu na mafisadi na anajipendekeza kwa rais haya yote ni mambo ya kubuni na hayana ushahidi wa kutosha.Na hata kama yupo nao karibu.Je ni ukaribu upi na kwa ajili ya nini.Kwani hao wanaotuhumiwa ufisadi ni kosa kushiriana nao katika mambo ya kibinaadamu.Hoja ya kipuuzi ya ubaguzi na ya kunyanyapaa. zoezi la kwanza avuliwe unaibu kiongozi kambi ya upinzani bungeni.Ambalo hili litafanyika hivi karibuni.Pia swala la udini limekuwa likiisumbua chadema kutokumg’oa Zitto kwa muda mrefu,kwa hofu ya kuonekana ni chama chenye kuwapa kipaumbele watu dini Fulani.Hata hivyo baadhi ya viongozi wameona si ishu kwa kuwa yupo makamu wa mwenyekiti anayeonesha hakuna udini katika chama hicho,Said Alfi?????????? Ndio nani huyu au unaamanisha Arfi?.Huyu hawana tabu naye kwani mkimya na anayekubali kila kitu.Ni kama anayelipa fadhila za kupewa uongozi.
Kwa sasa naomba niwasilishe hoja za jazba,ushabiki hazina nafasi

I can read between lines maelezo yako yanajipinga unaweza kuweka vizuri (edit) tupate concept?
 
Zitto lingekuwa jina la bwana wanaJF wote wangeuona ufalme wa milele......................
 
Wanajamii tambueni kuwa hizo zaweza kuwa ni propaganda za chama tawala kutaka kudhoofisha nguvu ya umma. Kama ni ukatoliki huko ccm wako wengi tu,kama ni wachaga ccm ndo inao tele tena wa kumwaga hata baraza lao la mawaziri wachaga kibao lakini haisemwi kuwa ni serkali ya wachaga.Sangara endelea kutoa mafuta ili 2015 wateleze zaidi................pipooooz!!!!!!pawaaaaaaaaaaaaaa:A S crown-1::A S crown-1::A S crown-1:
 
Naona hapa jamvini wengi wanaulizia as to whether Nyepesi ndiye analeta hizi threads. Sijui na sioni kwa nini afanye hivyo labda kama anayo sababu ya kupima joto la umma.
 
mpango wa muda mrefu wa kumng’oa chamani mbunge machachari zitto zuber kabwe,sasa unaonekana umeiva na harakati zaonekana kwenda vizuri.chanzo cha uhakika zaidi kinaeleza kwamba kwa muda mrefu uongozi umekuwa hauridhiki na mwenendo wa mbunge huyo wa kigoma kaskazini.kubwa zaidi linaloukera uongozi chadema na waasisi wa chama hicho ni kuwa msimamo wa mbunge huyo unahatarisha kutokutimia kwa malengo maalum ya waasisi wa chama hicho iliyojiwekea kuwapa kipaumbele na upendeleo maalum jamii ya anayeitwa muasisi wa chama hicho.
aidha kwa muda mrefu lengo la zitto ni kwamba chama kisiwe na maslahi ya jamii(chagga tribe) moja tu bali maslahi kwa wote(watanzania).na ndo maana hali hii ilimpelekea kuamua kugombea nafasi ya uenyekiti ili kuondoa hali hiyo ya kuweka maslahi kwa jamii moja kama ilivyo sasa.kuchukua kwake fomu zitto ya kugombea nafasi ya uenyekiti na nguvu aliyokuwa nayo ilitishia maslahi na malengo ya waasisi pindi akikamata uongozi wa juu kabisa wa chama hicho,ndio walipoingilia waliojiita wazee wa chama kumuomba atoe jina ili kunusuru chama.baada ya nguvu kubwa kutumika zitto aliamua kutoa jina lake.hata kupewa unaibu kiongozi wa upinzani bungeni ilikuwa ni kupunguza ukali wake wa kuitaka nafasi ya kiongozi wa upinzani bungeni.ambacho kimefanya viongozi wa chadema wamshindwe zitto ni kwamba uongoza akitumia vizuri katiba ya chama na kananu zake kama muongozo wa kila anachokidai,kusimamia au kukitetea.baada ya kumwinda kwa muda mrefu sasa uongozi wa chadema umepata pa kuanzia.mpango uliopo kwa kuanzia ni kumuondoa katika nafasi ya unaibu kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni.rejea maelezo ya tundu lissu kwa vyombo vya habari.tayari zitto ameshapewa barua ya kujieleza kwa nini hakuunga mkono msimamo wa kususia hotuba ya rais.zitto anaonekana jeuri na kiburi hasa pale asipounga mkono maamuzi binafsi kufanywa ni ya msimamo wa chama.mpango wa kumpa majina na sifa mbaya kama msaliti wa chama ndo umefanywa kama njia halali ya maamuzi yatakayotolewa juu yake.angalia mwanahalisi la jana na maoni yana jf juu yake.ukitaka kumuua mbwa kwanza mpe majina mabaya.wana chadema wenye kutaka kusimamisha demokrasia ndani ya chama wanamuona zitto kama shujaa na kiongozi imara,ila wale wa jamii ya muasisi ni msaliti na fisadi.anaambiwa yupo karibu na mafisadi na anajipendekeza kwa rais haya yote ni mambo ya kubuni na hayana ushahidi wa kutosha.na hata kama yupo nao karibu.je ni ukaribu upi na kwa ajili ya nini.kwani hao wanaotuhumiwa ufisadi ni kosa kushiriana nao katika mambo ya kibinaadamu.hoja ya kipuuzi ya ubaguzi na ya kunyanyapaa. Zoezi la kwanza avuliwe unaibu kiongozi kambi ya upinzani bungeni.ambalo hili litafanyika hivi karibuni.pia swala la udini limekuwa likiisumbua chadema kutokumg’oa zitto kwa muda mrefu,kwa hofu ya kuonekana ni chama chenye kuwapa kipaumbele watu dini fulani.hata hivyo baadhi ya viongozi wameona si ishu kwa kuwa yupo makamu wa mwenyekiti anayeonesha hakuna udini katika chama hicho,said alfi.huyu hawana tabu naye kwani mkimya na anayekubali kila kitu.ni kama anayelipa fadhila za kupewa uongozi.
kwa sasa naomba niwasilishe hoja za jazba,ushabiki hazina nafasi

zitto atakuoa lazima kila siku zito zito sio bash kweli huyu jamaaaaaa?????
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom