Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 88
Kwanini watu wanawahi kuoa? Better yet, kwanini wanaoa at all kama hawawezi kukaa na mwanamke mmoja?
Mambo ya kufuata mkumbi hayo....hukuwa taka na huku wataka.....matokeo yake yote unakosa.....unajua hadi meaning ya ndoa haipo tena maana watu wanaona ili mradi tuu nimeoa au wanaogopa kuwa alone....