Hata kama watamdrop the guy is already a billionaire. He does not have to work a single day the rest of his life.Asipokuwa makini utaanza kusikia Nike wanamdrop and then the list goes on,inategemea na atakavyo ihandle issue,akicheza itamyumbisha.Huyo kicheche mwenye sura tu,zaidi ya hapo baskeli tu.
Kiwanja hakuna ma house gal.....
Inategemea na investment,ni mambo mengi hatuyajui kwasasa zaidi tu ya kwamba ni billionaire,lakini kama hakuna income bana uwezekano wa kuporomoka upo,hivi unafikiri mtu kama Michael Jackson angekuwa anaendelea kupata kipato kwa style ile ile ya ki thriller angekuwa na matatizo?Pia kuna mambo ya check and balance,sasa hivi ana income,asipokuwa nayo unategemea nini?Tatizo ni matumizi yanapoendelea na mapato yanapokuwa hayapo halafu kuwe na poor investment.Hayo yote hatujui kwasasa lakini trust me kama maendorser wote wakimdrop the guy will have something to fear mkuu,hataweza kuwa na raha tu na kusema yeye ni billionaire,no way,halafu ukute kuna na mambo ya divorce kama hii issue iki escelate.Hata kama watamdrop the guy is already a billionaire. He does not have to work a single day the rest of his life.
Wednesday, Dec. 2, 2009 - 2:48 p.m. ET
Tiger Woods' wife, Elin, is being paid a hefty seven-figure amount to stay with her husband, according the Chicago Sun-Times. The money is being transferred into an account she controls.
Additionally, Elin has demanded and will get a rewrite on the couple's prenuptial agreement. Originally, the agreement said the couple needed to remain married for 10 years in order for her to collect a divorce settlement of $20 million. Under the rewritten agreement, the time frame has been shortened and the dollar amount increased "substantially," the newspaper reports.
Hawa black celebrities wanayataka wenyewe...wooote lazima waoe wazungu baada ya kuukata...amabao hufuata pesa na kutaka njia rahisi kuchomoka......OJ,A.Cole et al....
Hawa black celebrities wanayataka wenyewe...wooote lazima waoe wazungu baada ya kuukata...amabao hufuata pesa na kutaka njia rahisi kuchomoka......OJ,A.Cole et al....
Hizi ndoa za makubaliano ya mshko noma, mbona huku kwetu hazipo?
Acha ujinga wewe. Mbona Shaquille O'Neal kaoa mweusi na sasa mdada anataka talaka na kahama jimbo kwenda California ambako inasemekana sheria inampendelea kupata settlement kubwa. Mjitu mingine bana....yaani nyinyi kila kitu mnakiangalia kupitia prism ya race. Ni akili ndogo sana hiyo.
Dawa hapa ni kutokuoa, period. Uwe na hela usiwe na hela usioe na utaishi maisha yako kwa raha mustarehe!
Hivi mtu usipooa maisha yako kimapenzi yatakuaje kweli? Mie naona ndio utakuwa kila siku unabadili wanawake kama nguo.
Bora muoe tu maana ndoa haina kanuni, unavyoona ndoa ya flani imeharibika ni yao wala isikutishe.
Wewe mwanaume ukiamua unaweza kufanya ndoa yako iwe paradiso ndogo hapa duniani.
Kwa hiyo Michael Jordan, Eddy Muphy nao walikuwa wameoa wazungu du basi kazi ipo!.Hawa black celebrities wanayataka wenyewe...wooote lazima waoe wazungu baada ya kuukata...amabao hufuata pesa na kutaka njia rahisi kuchomoka......OJ,A.Cole et al....
Hivi mtu usipooa maisha yako kimapenzi yatakuaje kweli? Mie naona ndio utakuwa kila siku unabadili wanawake kama nguo.
Bora muoe tu maana ndoa haina kanuni, unavyoona ndoa ya flani imeharibika ni yao wala isikutishe.
Wewe mwanaume ukiamua unaweza kufanya ndoa yako iwe paradiso ndogo hapa duniani.
Kwani wasio weusi ndio wana tabia nzuri?
Lakini, kwani yeye ni mweusi halisi? Si anajiita Cablinesian...akiwa na maana yeye ni mchanganyiko wa Caucasian, black, na Asian. Sasa kibaya kipi hapo maana yeye anakumbatia asili zake zote. Wewe ulitaka ajiite au ajione ni mweusi tu peke yake wakati hayuko hivyo? Au weusi ni kitu gani hasa maana inawezekana weusi ukawa ni zaidi ya rangi ya ngozi kwa mujibu wa baadhi ya watu...wewe weusi unauchukuliaje?
In 1982-83, Susie Guillory Phipps unsuccessfully sued the Louisiana Bureau of Vital Records to change her racial classification from black to white. The descendant of an eighteenth-century white planter and a black slave, Phipps was designated as "black" in her birth certificate in accordance with a 1970 state law which declared anyone with at least one-thirty-second "Negro blood" to be black. The legal battle raised intriguing questions about the concept of race, its meaning in contemporary society, and its use (and abuse) in public policy. Assistant Attorney General Ron Davis defended the law by pointing out that some type of racial classification was necessary to comply with federal record-keeping requirements and to facilitate programs for the prevention of genetic diseases. Phipp's attorney, Brian Begue, argued that the assignment of racial categories on birth certificates was unconstitutional and that the one-thirty-second designation was inaccurate. He called on a retired Tulane University professor who cited research indicating that most whites have one-twentieth "Negro" ancestry. In the end, Phipps lost. The court upheld a state law which quantified racial identity, and in so doing affirmed the legality of assigning individuals to specific racial groupings.