Mdondoaji; David Beckham au Bill Clinton hawakuwa na mabibi 14,kama Tiger.
Kusingizia wazungu kwa kila kitu,it is stupidity!Michael Jordan alipay high divorce
settlement kwa mweusi mwenzake.
Ukweli weusi America wamesuffer slavery mpaka sasa hawana dignity!Lakini kuna mambo mengine ni wao wenyewe;majority uzembe,kutokwenda shule ,only kusucced ni kurap na kuwa mcheza !Na wazungu wametuchukua hivyo.Hata Ulaya ipo hivyo hasa Uingereza,weusi wanaojulikana ni footballers,hasa waliozaliwa Uingereza!
Divorce rate ni kubwa kwa weusi kuliko wazungu ,Ulaya na Marekani!huwezi kuwalaumu wazungu kwa hili,almost 50% ya wanawake weusi UK ni single mothers,
na vibaka zaidi ni weusi though population yao ni ndogo sana.
Siju walimuandama vipi Jordan?fafanua.
Wahindi wanafanya vizuri UK,sababu ya family na kujua kuwa elimu ni msingi wa maisha yao.Ndio maana wako wengi mabenki,kwenye law,medicine ndio ya kwao.
Bila kusahau biashara ndogo ndogo.
Tiger ni so stupid.Hela alizotumia kwa hao vimada 14,angeweza kujenga kitu cha muhimu afrika au pengine,ingawa anafoundation yake.Kwa hiyo kumsingia Mzungu kwa kila kila kitu ni irresponsible.Ukiona ufisadi Tanzania,Mzungu mmoja hakuamini Mbunge anatembelea gari la millioni 50,wakati jimboni kwake watoto hawana madawati,hawana choo,maji etc.
Tuamke waafrika,Mzungu atatukejeli mpaka mwisho wa dunia
Mdondoaji; David Beckham au Bill Clinton hawakuwa na mabibi 14,kama Tiger.
Kusingizia wazungu kwa kila kitu,it is stupidity!Michael Jordan alipay high divorce
settlement kwa mweusi mwenzake.
Ukweli weusi America wamesuffer slavery mpaka sasa hawana dignity!Lakini kuna mambo mengine ni wao wenyewe;majority uzembe,kutokwenda shule ,only kusucced ni kurap na kuwa mcheza !Na wazungu wametuchukua hivyo.Hata Ulaya ipo hivyo hasa Uingereza,weusi wanaojulikana ni footballers,hasa waliozaliwa Uingereza!
Divorce rate ni kubwa kwa weusi kuliko wazungu ,Ulaya na Marekani!huwezi kuwalaumu wazungu kwa hili,almost 50% ya wanawake weusi UK ni single mothers,
na vibaka zaidi ni weusi though population yao ni ndogo sana.
Siju walimuandama vipi Jordan?fafanua.
Wahindi wanafanya vizuri UK,sababu ya family na kujua kuwa elimu ni msingi wa maisha yao.Ndio maana wako wengi mabenki,kwenye law,medicine ndio ya kwao.
Bila kusahau biashara ndogo ndogo.
Tiger ni so stupid.Hela alizotumia kwa hao vimada 14,angeweza kujenga kitu cha muhimu afrika au pengine,ingawa anafoundation yake.Kwa hiyo kumsingia Mzungu kwa kila kila kitu ni irresponsible.Ukiona ufisadi Tanzania,Mzungu mmoja hakuamini Mbunge anatembelea gari la millioni 50,wakati jimboni kwake watoto hawana madawati,hawana choo,maji etc.
Tuamke waafrika,Mzungu atatukejeli mpaka mwisho wa dunia
Lakini Tiger sio Mwafrika!