Eqlypz
JF-Expert Member
- May 24, 2009
- 4,065
- 632
Gee! Jana wakati hii habari ilipokuwa ni Breaking News ulikuwa unalijua hili la kugonga Fire Hydrant!?
Ndiyo nilikuwa najua kuwa amegonga fire hydrant (ukisoma post yangu ya kwanza kwenye hii thread ilikuwa zaidi ya masaa 12 baada ya ajali kutokea). Yani mtu maarufu mweusi asipatwe na kitu ata kama ni kwa uzembe wake lazima kutakuwa na kuna mkono wa wazungu, hao wazungu wakija kukuomba ushahidi utautoa?