Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,191
URAIS WA KI-UDALALI, MBELEKO MBELEKO, UANAMTANDAO NA VIGEZO VINGINE UCHWARA VINAVYOZUIA DEMOKRASIA KUFANYA KAZI KATIKA UHALISIA WAKE NA KWA KUZINGATIA TAMADUNI ZA TAIFA LETU JUU YA HILO KAMWE HAYANA NAFASI 2015
Mara nyingi mtatizo ya ki-utawala kwa Rais Kikwete ama ndani ya chama chake au ndani ya serikali yake yanatokea mra nyingi kuwa ni ya kujitakia mwenyewe hasa kwa kuokota mawazo ya barabarani na kuyarasmisha kinyume na matarajio ya watu na vyombo sahihi vyenye dhamana, mamlaka na madaraka kamili kuyafikia maamuzi ya kisera kama hayo.
Ndio, nasema hiviii, hili la 'Urais kwa Majaribio kwa Umri wa Vijitoto' ni mfano hai wa matatizo ya kujitakia mwenyewe Rais wetu maana jambo hili wala si kitu rahisi kukublika kama anavyodhani ndani ya taifa lililofifishiwa matumaini kama hili la kwetu kwa mambo mengi kwenda kombo ki-uongozi. Hakika haya yote ni matatizo ya kujitakia kuzua mtafaruku baada ya mtafaruku na kuendeleza mipasuko ya ajabu ndani ya chama chake CCM.
Baya zaidi, kitendo cha mwana-CHADEMA Zitto Zuberi Kabwe kugeuka Chief Decision-Maker on all unpopular policy issues within Chama Cha Mapinduzi fraternity na makada wa chama hicho wakiwemo wabunge kujikuta hawajui hili wala lile bali tu hulazimika kufuata maamuzi yake hayo kwa Rais Kikwete, hili nalo huenda likawafanya Wana-CCM wenye dhamana ya kufanya maamuzi kama hayo ya kisera (Policy Decisions) sio tu kumchukia zaidi kada huyo wa CHADEMA bali zaidi huenda wakamgomea ki-aina Mwenyekiti wao CCM taifa pamoja na DHANA POTOFU WA 'KUFANYIA MAJARIBIO YA WATANZANIA ZAIDI YA MILIONI 48 KWA KUWEKA 'URAIS WA TAIFA HILI MIKONONI MWAO VIJITOTO'. Na kwamba hayo yote yafanyike kwa hisani na maelekeze ya akina Zitto Kabwe na Januari Makamba.
Kiukweli maisha ya WaTanzania kufanyiwa nayo majaribio zaidi tena baada ya lile jaribio la dhana ya USPIKA KWA MISINGI YA JINSIA YA MTU kutuangukia vibaya mno kule bungeni, Umma wa Tanzania tunasema kwa kauli moja kwamba HAKIPITI KITU HAPA mpaka kupigiwa kura ya maoni kitaifa tena chini ya Tume Huru ya Uchaguzi ili sisi wenyewe wananchi wenye nchi hii tukayatolee maamuzi ya mwisho Contencious Constitutional issue kama hiyo na wala si vinginevyo.
Hakuna kuburuzwa mtu tena kwa mawazo ya kutoka kwenye ndoto ya mtu mmoja usingizini kwake kutwishwa kwenye mabega ya WTanzania karibia milioni 50 kulifuata tu kama kondoo bila kuhoji juu ya malengo yake na faida na hasara zitakazotokana na mambo kama hayo.
Binafsi naamini kwamba nchi yetu imekua ya amani wa kuigwa si ki-ajali tu bali ni kufuatia ukweli kwamba kuna baadhi ya mambo TULIJIZUIA KUJIINGIZA KAMA TAIFA, kama vile kuendekeza Urais KWA MISINGI WA UMRI WA 'VIJITOTO, Urais kwa misingi ya Dini ya mtu, Urais Kwa kufunuana nguo kuangalia kwanza JINSIA WALIZOUMBWA NAZO WATU, na vile vile hivi sasa tunaongeza kwenye orodha hiyo kujikatalia Urais wa Mbeleko kule kubebew tu mtu ndani ya gunia na watu kujistukia tu tumebwagiwa hata yule tusiemdhania kabisa ikulu Magogoni.
Rais wa JMT wa vipindi vijavyo watapatikana kwa kura ya wananchi moja kwa moja bila udalali wa ki-mbeleko mbeleko cha 'mwenzetu mara mwanamtandao' na kupitishwa kwa zengwe na ghiliba nyingi, urais wa aina hiyo haina nafasi tena katika Tanzania tunayoitaka mara baada ya Rais Kikwete; rais ajaye safari hii atapatikana kwa misingi yaUADILIFU, USHINDANI WA KUFA MTU, MHUSIKA MWENYEWE KUJINADI ANACHOKIFUATA IKULU na wla si mtu kutuletea tu vijivigezo mara usikie ooh safari hii KIGEZO ni mpaka mtu atoke mkoa wa Mwanza au Zanzibar ndio agombee urais.
Nasema hiviiiii, tuache kabisa mizaha katika taasisi hii kubwa aajabu na yenye kubeba matumaini ya mamilioni ya watu katika nchi na sasa kuanza kuliangalia sawa tu na cheo cha U-Katibu Kata vile.
Mara nyingi mtatizo ya ki-utawala kwa Rais Kikwete ama ndani ya chama chake au ndani ya serikali yake yanatokea mra nyingi kuwa ni ya kujitakia mwenyewe hasa kwa kuokota mawazo ya barabarani na kuyarasmisha kinyume na matarajio ya watu na vyombo sahihi vyenye dhamana, mamlaka na madaraka kamili kuyafikia maamuzi ya kisera kama hayo.
Ndio, nasema hiviii, hili la 'Urais kwa Majaribio kwa Umri wa Vijitoto' ni mfano hai wa matatizo ya kujitakia mwenyewe Rais wetu maana jambo hili wala si kitu rahisi kukublika kama anavyodhani ndani ya taifa lililofifishiwa matumaini kama hili la kwetu kwa mambo mengi kwenda kombo ki-uongozi. Hakika haya yote ni matatizo ya kujitakia kuzua mtafaruku baada ya mtafaruku na kuendeleza mipasuko ya ajabu ndani ya chama chake CCM.
Baya zaidi, kitendo cha mwana-CHADEMA Zitto Zuberi Kabwe kugeuka Chief Decision-Maker on all unpopular policy issues within Chama Cha Mapinduzi fraternity na makada wa chama hicho wakiwemo wabunge kujikuta hawajui hili wala lile bali tu hulazimika kufuata maamuzi yake hayo kwa Rais Kikwete, hili nalo huenda likawafanya Wana-CCM wenye dhamana ya kufanya maamuzi kama hayo ya kisera (Policy Decisions) sio tu kumchukia zaidi kada huyo wa CHADEMA bali zaidi huenda wakamgomea ki-aina Mwenyekiti wao CCM taifa pamoja na DHANA POTOFU WA 'KUFANYIA MAJARIBIO YA WATANZANIA ZAIDI YA MILIONI 48 KWA KUWEKA 'URAIS WA TAIFA HILI MIKONONI MWAO VIJITOTO'. Na kwamba hayo yote yafanyike kwa hisani na maelekeze ya akina Zitto Kabwe na Januari Makamba.
Kiukweli maisha ya WaTanzania kufanyiwa nayo majaribio zaidi tena baada ya lile jaribio la dhana ya USPIKA KWA MISINGI YA JINSIA YA MTU kutuangukia vibaya mno kule bungeni, Umma wa Tanzania tunasema kwa kauli moja kwamba HAKIPITI KITU HAPA mpaka kupigiwa kura ya maoni kitaifa tena chini ya Tume Huru ya Uchaguzi ili sisi wenyewe wananchi wenye nchi hii tukayatolee maamuzi ya mwisho Contencious Constitutional issue kama hiyo na wala si vinginevyo.
Hakuna kuburuzwa mtu tena kwa mawazo ya kutoka kwenye ndoto ya mtu mmoja usingizini kwake kutwishwa kwenye mabega ya WTanzania karibia milioni 50 kulifuata tu kama kondoo bila kuhoji juu ya malengo yake na faida na hasara zitakazotokana na mambo kama hayo.
Binafsi naamini kwamba nchi yetu imekua ya amani wa kuigwa si ki-ajali tu bali ni kufuatia ukweli kwamba kuna baadhi ya mambo TULIJIZUIA KUJIINGIZA KAMA TAIFA, kama vile kuendekeza Urais KWA MISINGI WA UMRI WA 'VIJITOTO, Urais kwa misingi ya Dini ya mtu, Urais Kwa kufunuana nguo kuangalia kwanza JINSIA WALIZOUMBWA NAZO WATU, na vile vile hivi sasa tunaongeza kwenye orodha hiyo kujikatalia Urais wa Mbeleko kule kubebew tu mtu ndani ya gunia na watu kujistukia tu tumebwagiwa hata yule tusiemdhania kabisa ikulu Magogoni.
Rais wa JMT wa vipindi vijavyo watapatikana kwa kura ya wananchi moja kwa moja bila udalali wa ki-mbeleko mbeleko cha 'mwenzetu mara mwanamtandao' na kupitishwa kwa zengwe na ghiliba nyingi, urais wa aina hiyo haina nafasi tena katika Tanzania tunayoitaka mara baada ya Rais Kikwete; rais ajaye safari hii atapatikana kwa misingi yaUADILIFU, USHINDANI WA KUFA MTU, MHUSIKA MWENYEWE KUJINADI ANACHOKIFUATA IKULU na wla si mtu kutuletea tu vijivigezo mara usikie ooh safari hii KIGEZO ni mpaka mtu atoke mkoa wa Mwanza au Zanzibar ndio agombee urais.
Nasema hiviiiii, tuache kabisa mizaha katika taasisi hii kubwa aajabu na yenye kubeba matumaini ya mamilioni ya watu katika nchi na sasa kuanza kuliangalia sawa tu na cheo cha U-Katibu Kata vile.