Uongo hufariji kwa muda fulani lakini ukweli huja kujulikana na ukweli umeanza kujulikana na ndio maana wadai mabadiliko wanazidi kuongezeka kila siku...sawa mkuu, lakini CCM walichofanikiwa ni:
Na hii ndiyo hatari tuliyo nayo kama taifa, "Watanzania ni waongo sana"
- Kudanganya wananchi na mataifa ya magharibi kuwa wanapendeka na wananchi
- Kikwete anawashauri wabovu au ubishi wake, kwani huwa hawamuambii hali halisi, wanachofanya
- Ni kuhakikisha wanaiba kura (kama walivyofanya igunga na kwenye halmshauri nyingene kwenye udiwani), halafu
- Wanamdanganya mzee tumefanya kazi mpaka tumeshinda,
Ujumbe gani?. Hauwezi kuilinganisha Gadaf na ccm. Pia Afrika tumempoteza kiongozi wa ukweli.
R.I.P Gadaf.
Libya hapo baadae watamkumbuka gaddaf kwa mengi ...
Tusichanganye mambo! Ulaya na Marekani ni marafiki wa CCM sababu wana maslahi hapa Tanzania..
Msijidanganye hata siku moja kuwa Nato na US kuna siku wataitoa madarakani CCM kama walivyomtoa Gaddafi
naona ha bbc lakini "cuptured" sasa sielewi kwa nini wameweka in quote, ngoja nifuatilie pia
Wale Mabaeberu hatimaye wameweza kufanya waliyokusudia nacho ni kufurahia kutoa uhahi wa Shujaa wa Africa, Haitoshi wanaudhihirishia ulimwengu kwamba Unyama ndiyo jadi Yao, Muhamar Gadafi Daima utakumbukwa kwenye Historia ya Maendeleo na Mageuzi ya kisiasa na kiuchumi Barani Africa, Kapumzike salama Mbele ya haki wasalimie Nkuruma, Nyerere, Abdul Nasser,Chachage na Samola Machel, waambie Bara la Africa limetawaliwa na makuwadi wa Ubeberu Mamboleo. AMEN
Chatu dume,
That is just a matter of time.
Osama was very close friend to the Americans. Even Ghadaffy for some time was a friend to the US!Sasa Osama na Ghadaffy wako wapi?Inaonekana hata hufanyi utafiti wa kutosha katika nyanja za kimataifa kisiasa na kiuchumi. Rejea mitandao ya WikiLeaks inavyoibua mauzauza ya viongozi wa Kiafrika na kwingineko!
Wewe subiri pale Tanzania tutakapoanza kuchimba MAFUTA na URANIUM yetu. Wenzako wanaangalia maslahi ya nchi zao na si vidampa kama CCM!
i don't think so!libya hapo baadae watamkumbuka gaddaf kwa mengi ...