John Marwa
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 275
- 28
Kwa akili yako Ipo siku Nato wataivamia Tanzania na kuitafuta CCM mafichoni na Kuiua au Kuipeleka The Haque? Nato ndio nguvu ya Umma? JF ina mchanganyiko wa watu mbalimbali wenye elimu tofauti na uelewa tofauti!