The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi


Of course sisi kama Watanzania, Gadaffi ametuathiri sana kiasi kwamba kama ni kupigwa tunapaswa wote kuunga mkono achapwe sawasawa mpaka ashike adabu
 

Kuhusu kujengea watu nyumba na kuwatolea mahari naliona hili kiaina kidogo. Imagine Juma, Ali na Roza wanakwenda kwa kaka ya John kumtembelea. Siku ya kuondoka John anawapa nauli ya kwenda kwao Dodoma na anapewa Juma kaka yenu. Nauli hiyo ni shilingi milioni 2 (lakini nauli ya Dodoma ni sh 15,000 per person). Yeye Juma anamua kuwagawia Ali na Roza shilingi laki moja kila moja naye anabaki na shs1,800,000.00.

1. Laki moja inawatosha Juma na Roza kwenda kwao Dodoma, je, hawapaswi kulalamikia huo mgao?
2. Ungekuwa wewe ndiyo Juma na Roza ungefanyaje?

Hiyo ndiyo hali halisi ya Libya. Watu wanajengewa nyumba na kulipiwa mahari lakini back stage kuna mambo mengi sana. Unaonaje?
 
SABABU 13 ZA GADAFFI KUPIGWA NA KUONDOLEWA MADARAKANI
Ndugu WanaJF, kumekuwa na ubishani mwingi wa viongozi wa Kiafrika, Waafrika wa kawaida, na wana jamii wa Kiislam kuwa kumuondoa Gadaffi ni uonevu, kuchukia Uislam na kuleta ukoloni mamboleo Afrika. Mimi ninao kuna sababu 13 za Gadaffi kupigwa na kuondolewa madarakani.
1. Gadaffi ndiye aliyeilipua ndege ya PANAM kule Lockerby Scotland mwaka 1986 hivyo ndiye gaidi mkongwe zaidi ya Osama.
2. Gadaffi alimtoa Al Magrahi yule gaidi mwenza kifungoni kwa kisingizio kuwa angekufa kwa kansa baada ya muda mfupi (wiki 3?). Mpaka leo bado anaishi.
3. Gadaffi alimsaidia Iddi Amin wa Uganda kuipiga Tanzania kwenye vita ya Kagera mwaka 1979. Askari wake walikamatwa mateka. Vita ile ndiyo aliyolimaliza Taifa la Tanzania na kutufikisha hapa tulipo.
4. Anasemekana kuwa mfadhiri wa ugaidi wa Wapelestina huko Islael na Gaza.
5. Amekuwa akifadhili ujenzi wa misikiti Afrika nzima badala ya maendeleo ya jamii. Kujenga misikiti siyo vibaya ila hilo siyo jumuku la mwanasiasa ni la kiongozi wa kidini.
6. Ana mali nyingi binafsi zimewekezwa nchi za Ulaya na Marekani na sasa zote zinashikiliwa.
7. Baada ya wananchi wa Libya kuandamana aliwaita PANYA NA MENDE! Wananchi wako wanawezaje kuwa panya na mende?( hivyo yeye pia ni panya na mende mwenzao. funny).
8. Ameahidi kuangamiza watu wote wanaompinga na ikibidi atabaki na mtu mmoja tu anayemtii!
9. Amekuwa akishambulia wanchi wake kwa ndege za kivita na makombora makubwa kwa lengo la kuwaangamiza.
10. Hakuna utawala wa sheria wa demokrasia ya aina yoyote Libya.
11. African Union haikufanya lolote kusuluhisha mgogolo wa Libya.
12. Hizo huduma za kijamii na kiuchumi kwa wananchi wake (Reality: ambazo ni nzuri) ni kidogo sana ukilinganisha na utajiri ilionao nchi ya libya. (kumbuka libya in raia pungufu ya milioni saba).
13. Ameahidi kushirikiana na ALKHAIDA iwapo WAZUNGU watamshambulia. (Note: Hao Alkhaida ambao hawajulikani waliko yeye atawapata wapi? Hii inaonyesha kuwa hao ni wenzake hiyo anajua mahali walipo kiasi cha kuweza kuwasiliana nao.

SABABU HII YA MWISHO INA UZITO SANA KIMATAIFA KULIKO TUNAVYOWEZA KUFIKIRIA. NI YA HATARI SANA NA HAIKUPASWA KUZUNGUMZWA HADHARANI NA MTU WA NGAZI YA RAIS KAMA YEYE.

Semeni wenyewe apigwe asipigwe?

Inaonyesha hapa ndo kikomo cha akili yako!
 
Marefu yote yana ncha. Baada ya miaka zaidi ya 40 mwisho wa comrade tuliyempenda sana wakati fulani sasa umefika
 
sababu 13 za gadaffi kupigwa na kuondolewa madarakani
ndugu wanajf, kumekuwa na ubishani mwingi wa viongozi wa kiafrika, waafrika wa kawaida, na wana jamii wa kiislam kuwa kumuondoa gadaffi ni uonevu, kuchukia uislam na kuleta ukoloni mamboleo afrika. Mimi ninao kuna sababu 13 za gadaffi kupigwa na kuondolewa madarakani.
1. gadaffi ndiye aliyeilipua ndege ya panam kule lockerby scotland mwaka 1986 hivyo ndiye gaidi mkongwe zaidi ya osama.
2. gadaffi alimtoa al magrahi yule gaidi mwenza kifungoni kwa kisingizio kuwa angekufa kwa kansa baada ya muda mfupi (wiki 3?). Mpaka leo bado anaishi.
3. gadaffi alimsaidia iddi amin wa uganda kuipiga tanzania kwenye vita ya kagera mwaka 1979. Askari wake walikamatwa mateka. Vita ile ndiyo aliyolimaliza taifa la tanzania na kutufikisha hapa tulipo.
4. anasemekana kuwa mfadhiri wa ugaidi wa wapelestina huko islael na gaza.
5. amekuwa akifadhili ujenzi wa misikiti afrika nzima badala ya maendeleo ya jamii. Kujenga misikiti siyo vibaya ila hilo siyo jumuku la mwanasiasa ni la kiongozi wa kidini.
6. ana mali nyingi binafsi zimewekezwa nchi za ulaya na marekani na sasa zote zinashikiliwa.
7. baada ya wananchi wa libya kuandamana aliwaita panya na mende! Wananchi wako wanawezaje kuwa panya na mende?( hivyo yeye pia ni panya na mende mwenzao. Funny).
8. ameahidi kuangamiza watu wote wanaompinga na ikibidi atabaki na mtu mmoja tu anayemtii!
9. amekuwa akishambulia wanchi wake kwa ndege za kivita na makombora makubwa kwa lengo la kuwaangamiza.
10. hakuna utawala wa sheria wa demokrasia ya aina yoyote libya.
11. african union haikufanya lolote kusuluhisha mgogolo wa libya.
12. hizo huduma za kijamii na kiuchumi kwa wananchi wake (reality: Ambazo ni nzuri) ni kidogo sana ukilinganisha na utajiri ilionao nchi ya libya. (kumbuka libya in raia pungufu ya milioni saba).
13. ameahidi kushirikiana na alkhaida iwapo wazungu watamshambulia. (note: Hao alkhaida ambao hawajulikani waliko yeye atawapata wapi? Hii inaonyesha kuwa hao ni wenzake hiyo anajua mahali walipo kiasi cha kuweza kuwasiliana nao.

sababu hii ya mwisho ina uzito sana kimataifa kuliko tunavyoweza kufikiria. Ni ya hatari sana na haikupaswa kuzungumzwa hadharani na mtu wa ngazi ya rais kama yeye.

semeni wenyewe apigwe asipigwe?

hii ni sawa gadafi acha apigwe na atoke madarakani, maana ni gaidi , dictator, huwezi kukaa madarakani miaka 40, why? Nchi ya kwako!!! Sasa alikuwa anamtayarisha mwanae amrithi!!!!
 
SABABU 13 ZA GADAFFI KUPIGWA NA KUONDOLEWA MADARAKANI
Ndugu WanaJF, kumekuwa na ubishani mwingi wa viongozi wa Kiafrika, Waafrika wa kawaida, na wana jamii wa Kiislam kuwa kumuondoa Gadaffi ni uonevu, kuchukia Uislam na kuleta ukoloni mamboleo Afrika. Mimi ninao kuna sababu 13 za Gadaffi kupigwa na kuondolewa madarakani.
1. Gadaffi ndiye aliyeilipua ndege ya PANAM kule Lockerby Scotland mwaka 1986 hivyo ndiye gaidi mkongwe zaidi ya Osama.
2. Gadaffi alimtoa Al Magrahi yule gaidi mwenza kifungoni kwa kisingizio kuwa angekufa kwa kansa baada ya muda mfupi (wiki 3?). Mpaka leo bado anaishi.
3. Gadaffi alimsaidia Iddi Amin wa Uganda kuipiga Tanzania kwenye vita ya Kagera mwaka 1979. Askari wake walikamatwa mateka. Vita ile ndiyo aliyolimaliza Taifa la Tanzania na kutufikisha hapa tulipo.
4. Anasemekana kuwa mfadhiri wa ugaidi wa Wapelestina huko Islael na Gaza.
5. Amekuwa akifadhili ujenzi wa misikiti Afrika nzima badala ya maendeleo ya jamii. Kujenga misikiti siyo vibaya ila hilo siyo jumuku la mwanasiasa ni la kiongozi wa kidini.
6. Ana mali nyingi binafsi zimewekezwa nchi za Ulaya na Marekani na sasa zote zinashikiliwa.
7. Baada ya wananchi wa Libya kuandamana aliwaita PANYA NA MENDE! Wananchi wako wanawezaje kuwa panya na mende?( hivyo yeye pia ni panya na mende mwenzao. funny).
8. Ameahidi kuangamiza watu wote wanaompinga na ikibidi atabaki na mtu mmoja tu anayemtii!
9. Amekuwa akishambulia wanchi wake kwa ndege za kivita na makombora makubwa kwa lengo la kuwaangamiza.
10. Hakuna utawala wa sheria wa demokrasia ya aina yoyote Libya.
11. African Union haikufanya lolote kusuluhisha mgogolo wa Libya.
12. Hizo huduma za kijamii na kiuchumi kwa wananchi wake (Reality: ambazo ni nzuri) ni kidogo sana ukilinganisha na utajiri ilionao nchi ya libya. (kumbuka libya in raia pungufu ya milioni saba).
13. Ameahidi kushirikiana na ALKHAIDA iwapo WAZUNGU watamshambulia. (Note: Hao Alkhaida ambao hawajulikani waliko yeye atawapata wapi? Hii inaonyesha kuwa hao ni wenzake hiyo anajua mahali walipo kiasi cha kuweza kuwasiliana nao.

SABABU HII YA MWISHO INA UZITO SANA KIMATAIFA KULIKO TUNAVYOWEZA KUFIKIRIA. NI YA HATARI SANA NA HAIKUPASWA KUZUNGUMZWA HADHARANI NA MTU WA NGAZI YA RAIS KAMA YEYE.

Semeni wenyewe apigwe asipigwe?
kwa kweli wacha wamchape tuu amezidi sana
 
14 - Haamini kuondoka katika ukuu wa nchi kwa kura eti kwa sababu aliingia kwa kupindua - ndiye aliyemshauri museveni na mugabe kung'ang'ania madaraka.

15 - Rumours has that yeye ndiye mfadhili mkubwa wa migogoro ya kidini barani africa - Ivory Coast, Nigeria-alipendekezwa nchi igawanywe
 
Ang'olewe tu, angalau maimamu wa misikiti watakuwa na amani na wataishi bila hofu ya kutekwa misikiti yao au kupinduliwa, maana vijisenti vya huyu jamaa ndio vilikuwa chanzo kikubwa cha migogoro misikitini.
 
SABABU 13 ZA GADAFFI KUPIGWA NA KUONDOLEWA MADARAKANI
Ndugu WanaJF, kumekuwa na ubishani mwingi wa viongozi wa Kiafrika, Waafrika wa kawaida, na wana jamii wa Kiislam kuwa kumuondoa Gadaffi ni uonevu, kuchukia Uislam na kuleta ukoloni mamboleo Afrika. Mimi ninao kuna sababu 13 za Gadaffi kupigwa na kuondolewa madarakani.
1. Gadaffi ndiye aliyeilipua ndege ya PANAM kule Lockerby Scotland mwaka 1986 hivyo ndiye gaidi mkongwe zaidi ya Osama.
2. Gadaffi alimtoa Al Magrahi yule gaidi mwenza kifungoni kwa kisingizio kuwa angekufa kwa kansa baada ya muda mfupi (wiki 3?). Mpaka leo bado anaishi.
3. Gadaffi alimsaidia Iddi Amin wa Uganda kuipiga Tanzania kwenye vita ya Kagera mwaka 1979. Askari wake walikamatwa mateka. Vita ile ndiyo aliyolimaliza Taifa la Tanzania na kutufikisha hapa tulipo.
4. Anasemekana kuwa mfadhiri wa ugaidi wa Wapelestina huko Islael na Gaza.
5. Amekuwa akifadhili ujenzi wa misikiti Afrika nzima badala ya maendeleo ya jamii. Kujenga misikiti siyo vibaya ila hilo siyo jumuku la mwanasiasa ni la kiongozi wa kidini.
6. Ana mali nyingi binafsi zimewekezwa nchi za Ulaya na Marekani na sasa zote zinashikiliwa.
7. Baada ya wananchi wa Libya kuandamana aliwaita PANYA NA MENDE! Wananchi wako wanawezaje kuwa panya na mende?( hivyo yeye pia ni panya na mende mwenzao. funny).
8. Ameahidi kuangamiza watu wote wanaompinga na ikibidi atabaki na mtu mmoja tu anayemtii!
9. Amekuwa akishambulia wanchi wake kwa ndege za kivita na makombora makubwa kwa lengo la kuwaangamiza.
10. Hakuna utawala wa sheria wa demokrasia ya aina yoyote Libya.
11. African Union haikufanya lolote kusuluhisha mgogolo wa Libya.
12. Hizo huduma za kijamii na kiuchumi kwa wananchi wake (Reality: ambazo ni nzuri) ni kidogo sana ukilinganisha na utajiri ilionao nchi ya libya. (kumbuka libya in raia pungufu ya milioni saba).
13. Ameahidi kushirikiana na ALKHAIDA iwapo WAZUNGU watamshambulia. (Note: Hao Alkhaida ambao hawajulikani waliko yeye atawapata wapi? Hii inaonyesha kuwa hao ni wenzake hiyo anajua mahali walipo kiasi cha kuweza kuwasiliana nao.

SABABU HII YA MWISHO INA UZITO SANA KIMATAIFA KULIKO TUNAVYOWEZA KUFIKIRIA. NI YA HATARI SANA NA HAIKUPASWA KUZUNGUMZWA HADHARANI NA MTU WA NGAZI YA RAIS KAMA YEYE.

Semeni wenyewe apigwe asipigwe?


sikubaliani nawe kwenye hiyo red.... umaaskini wetu hakuletwa na vita ya iddi amini... kuna nchi zimetoka wkenye vita mbaya kuliko yetu (mathalani rwanda) lakini bado wanafanya vizuri kwenye uchumi.. sisi tuna zaidi ya miaka ishirini toka tupigane hiyo vita ambayo mikoa iliyoathirika sio mingi na bado hatujafanya lolote la maana..

UMASKINI WAKO MTANZANIA UNALETWA N AVIONGOZI WAKO WALAFI SIO USINGIZIE VITA AMBAYO IMEKWISHA MIAKA MINGI ILIYOPITA hebu lete sababu za msingi.... tafuta sababu nyingine ya kumpiga ghadafi sio hiyo ya vita wala hiyo ya huduma za jamii... kuna wanaojilimbikiza mali wengi tu katika mataifa yote ulimwenguni... ila husikiiw engine wametulia coz wanahakikisha mwananchi wa kawaida hafikirii kesho atakula nini... wanajua jinsi ya kula na kipofu ... viongozi wenu wao sio tu kuwa wakila na vipofu wanawashika mikono wao wameifunga hiyo mikono kwenye mti kabisa...

acha siasa za mitaani na kuwa fikra za kujazwa.. wote tunajua kwa nini western country wanataka kumtoa ghadafi libya.... ndio maana wale wanaopigana nae ndani wakaitwa WAASI... ni tofauti na misri waliitwa UMMA.
 
Mnaanza kunifungua macho sasa kuhusu Ghadafi, mie nilikuwa namchukulia kama mpiganaji wa haki za wanyonge kumbe ni gaidi??

Mwaga data zote za Ghadafi hapa tumjue kiundani, ziwe za kweli sio kumzushia majungu.
 
SABABU 13 ZA GADAFFI KUPIGWA NA KUONDOLEWA MADARAKANI

10. Hakuna utawala wa sheria wa demokrasia ya aina yoyote Libya.
11. African Union haikufanya lolote kusuluhisha mgogolo wa Libya.
12. Hizo huduma za kijamii na kiuchumi kwa wananchi wake (Reality: ambazo ni nzuri) ni kidogo sana ukilinganisha na utajiri ilionao nchi ya libya. (kumbuka libya in raia pungufu ya milioni saba).
13. Ameahidi kushirikiana na ALKHAIDA iwapo WAZUNGU watamshambulia. (Note: Hao Alkhaida ambao hawajulikani waliko yeye atawapata wapi? Hii inaonyesha kuwa hao ni wenzake hiyo anajua mahali walipo kiasi cha kuweza kuwasiliana nao.

SABABU HII YA MWISHO INA UZITO SANA KIMATAIFA KULIKO TUNAVYOWEZA KUFIKIRIA. NI YA HATARI SANA NA HAIKUPASWA KUZUNGUMZWA HADHARANI NA MTU WA NGAZI YA RAIS KAMA YEYE.

Semeni wenyewe apigwe asipigwe?
...(hapo kwenye red) lakini wakati maandamano ya wananchi yanaanza alisema ni vikundi vya 'Alkaida'! Na watu wanashangaa waasi kuwa na siraha lakini Ghadafi amekataliwa siku nyingi ila sema ubabe wake tu
 
SABABU 13 ZA GADAFFI KUPIGWA NA KUONDOLEWA MADARAKANI
Ndugu WanaJF, kumekuwa na ubishani mwingi wa viongozi wa Kiafrika, Waafrika wa kawaida, na wana jamii wa Kiislam kuwa kumuondoa Gadaffi ni uonevu, kuchukia Uislam na kuleta ukoloni mamboleo Afrika. Mimi ninao kuna sababu 13 za Gadaffi kupigwa na kuondolewa madarakani.
1. Gadaffi ndiye aliyeilipua ndege ya PANAM kule Lockerby Scotland mwaka 1986 hivyo ndiye gaidi mkongwe zaidi ya Osama.
2. Gadaffi alimtoa Al Magrahi yule gaidi mwenza kifungoni kwa kisingizio kuwa angekufa kwa kansa baada ya muda mfupi (wiki 3?). Mpaka leo bado anaishi.
3. Gadaffi alimsaidia Iddi Amin wa Uganda kuipiga Tanzania kwenye vita ya Kagera mwaka 1979. Askari wake walikamatwa mateka. Vita ile ndiyo aliyolimaliza Taifa la Tanzania na kutufikisha hapa tulipo.
4. Anasemekana kuwa mfadhiri wa ugaidi wa Wapelestina huko Islael na Gaza.
5. Amekuwa akifadhili ujenzi wa misikiti Afrika nzima badala ya maendeleo ya jamii. Kujenga misikiti siyo vibaya ila hilo siyo jumuku la mwanasiasa ni la kiongozi wa kidini.
6. Ana mali nyingi binafsi zimewekezwa nchi za Ulaya na Marekani na sasa zote zinashikiliwa.
7. Baada ya wananchi wa Libya kuandamana aliwaita PANYA NA MENDE! Wananchi wako wanawezaje kuwa panya na mende?( hivyo yeye pia ni panya na mende mwenzao. funny).
8. Ameahidi kuangamiza watu wote wanaompinga na ikibidi atabaki na mtu mmoja tu anayemtii!
9. Amekuwa akishambulia wanchi wake kwa ndege za kivita na makombora makubwa kwa lengo la kuwaangamiza.
10. Hakuna utawala wa sheria wa demokrasia ya aina yoyote Libya.
11. African Union haikufanya lolote kusuluhisha mgogolo wa Libya.
12. Hizo huduma za kijamii na kiuchumi kwa wananchi wake (Reality: ambazo ni nzuri) ni kidogo sana ukilinganisha na utajiri ilionao nchi ya libya. (kumbuka libya in raia pungufu ya milioni saba).
13. Ameahidi kushirikiana na ALKHAIDA iwapo WAZUNGU watamshambulia. (Note: Hao Alkhaida ambao hawajulikani waliko yeye atawapata wapi? Hii inaonyesha kuwa hao ni wenzake hiyo anajua mahali walipo kiasi cha kuweza kuwasiliana nao.

SABABU HII YA MWISHO INA UZITO SANA KIMATAIFA KULIKO TUNAVYOWEZA KUFIKIRIA. NI YA HATARI SANA NA HAIKUPASWA KUZUNGUMZWA HADHARANI NA MTU WA NGAZI YA RAIS KAMA YEYE.

Semeni wenyewe apigwe asipigwe?[/FON


your words might be logical BUT NOT EVERY LOGIC IS TRUE achana na data usizokuwa na uhakika nazo pamoja na kupumbazwa na siasa za magharibi ambazo kila kukicha zinataka kunyonya raia wa nchi nyingine ili kufurahisha raia zao))nyie ndo wale watu ambao mnawachukulia watu kama waingereza eti ndugu zenu ..tangu lini mnadiriki hata kumuita malkia eti Bibi yenu toka lini unazani nanyi wanawachukulia kama mnavyowachukulia?wacha bwana
 
...too much blah blah kutokana na propaganda za magazetini, Radio, TV na story za vijiweni.
Tuwe wawazi na wakweli. Tuwe wachunguzi wa mambo. Tusome tuelimike. Tusitarajie wengine watusomee na kututafsiria matukio ya maisha.

Blah blah za Ghadaffi kujenga msikiti Dodoma ina justify vipi kuondolewa madarakani? Eti vita vya Kagera, Ushawahi kuisoma vizuri historia ya vita ile kuanzia 1971? Unaongelea msaada wa Ghadaffi kwa Palestinians, hivi unajua kinachogombewa kwenye eneo lile, au hata hilo hujajishughulisha kusoma?

four-panel-map.jpg



"Until you free yourself from the final monster in the jungle of your life, your soul is up for grabs"
- Rona Barrett.



"Emancipate yourselves from mental slavery
None but ourselves can free our minds

Have no fear for atomic energy
'Cause none of them can stop the time

How long shall they kill our prophets
While we stand aside and look? Ooh
Some say it's just a part of it"

- Redemption Song, Bob Marley

slaves19-600x400.jpg


"You will Never Know who you are in the world until you know Thyself!"
-Dr JH Clarke.

...take a closer look at yourself, make it a long and hard closer look.
Think!... who are you to judge others?
 
U cant compare misri na libya or mubarak na gadaf,mubarak ni kiongozi mwenye busara ambaye alionyesha kila dalili ya kufuata matakwa ya umma na wala hakuwatukana watu wake!gadaf hajaonesha heshima kwa watu wake na amesema atafia ikulu kuliko kuachia madaraka!wale wanaopigana na gadaf ni umma!tofauti yao na wale wa misri ni kwamba ubabe wa gadaf ulisababisha wananchi na wanajeshi walioasi wavamie kambi za jeshi na kuteka silaha kupambana na kiburi cha gadaf!hivi mwalimu wa shule ya msingi ajishika silaha kupambana na kiongozi mbabe kama gadaf anakuwa siyo umma!wale wapiganao libya hata hizo skills za kivita hawana,yaani ni kama wamejitoa muhanga ili gadaf achomolewe!si waasi wale,ni raia wa kawaida wenye kazi zao waliomchoka gadaf
sikubaliani nawe kwenye hiyo red.... umaaskini wetu hakuletwa na vita ya iddi amini... kuna nchi zimetoka wkenye vita mbaya kuliko yetu (mathalani rwanda) lakini bado wanafanya vizuri kwenye uchumi.. sisi tuna zaidi ya miaka ishirini toka tupigane hiyo vita ambayo mikoa iliyoathirika sio mingi na bado hatujafanya lolote la maana..

UMASKINI WAKO MTANZANIA UNALETWA N AVIONGOZI WAKO WALAFI SIO USINGIZIE VITA AMBAYO IMEKWISHA MIAKA MINGI ILIYOPITA hebu lete sababu za msingi.... tafuta sababu nyingine ya kumpiga ghadafi sio hiyo ya vita wala hiyo ya huduma za jamii... kuna wanaojilimbikiza mali wengi tu katika mataifa yote ulimwenguni... ila husikiiw engine wametulia coz wanahakikisha mwananchi wa kawaida hafikirii kesho atakula nini... wanajua jinsi ya kula na kipofu ... viongozi wenu wao sio tu kuwa wakila na vipofu wanawashika mikono wao wameifunga hiyo mikono kwenye mti kabisa...

acha siasa za mitaani na kuwa fikra za kujazwa.. wote tunajua kwa nini western country wanataka kumtoa ghadafi libya.... ndio maana wale wanaopigana nae ndani wakaitwa WAASI... ni tofauti na misri waliitwa UMMA.
 
swali: wameulizwa swali moja mkimtoa gadaffi nani ataongoza Libya?
Jibu: hawajui what will follow if Gaddafi is to be toppled.
Motive: mafuta simple 1.5 million barrels per day (by the way crude ya Libya ndio inatoa hile super petrol)

swali: wameulizwa why not Yemen? ambapo jamaa kaua kushinda Gadaffi, juzi tu kapiga hamsini mchana kweupe.
Jibu: Jamaa yuko upande wao kwenye masuala ya al-qaeda despite his undemoctratic ways
Motive: fighting religious ideology

swali: why not invade Bahrain it is also undemocratic, considering wazungu wameshatangaza watu wao wasifike huko ni hatari si hata 'formula one' wamezuia isifike huko mpaka mambo yawe sawa.
jibu: American navy habours in those shores.
Motive: it offers them an easy access in bombing the middle-east nations

Swali: why not syria another enemy of there's
Jibu: simply they can not afford it for now, and the excuse is the president has much support nation wide
Motive: an ideal place to bomb because of its stance with Israel, but its one too many at this time.

swali: is it only in the arab world where democracy is being deprived? if not, why only concentrate in that region
Jibu: mmh haaa ooh, the're just dictators and people must be protected from this despots.
Motive: oil, racism and hatred towards islam

swali: after the election Museveni shot scores of people in the day light during the Kampla mayoral election rally.
Jibu: the're are black bastards let them kill themselves who cares if there are muslims or christians according to the white we are just chimpanzees.
Motive: Tullow (a british based oil company) is about to start drilling oil in Uganda, Museveni poses no danger to their want.

Africans need to wake up and stop this religious nonsense personally i dont care if they bomb the whole of the middle-east, but im weary of their racist views and their supremacy thinking. Who's to say tommorow they wont Bomb kenya were they have interest, they have punished Mugabe and got you all saying Mugabe is a dictator, why the hell dont they git rid of their queen.

Do you even know the politicians of the west are of the same families and class who's compalining. try gooling Cameron's 'life tree' and you'd find he is a distance cousin of the queen, who the **** moans about their rigid class structure.

See yourselves for what you are first (that is an African) rather than support this western racist ideologies just because you identify yourself with your religion first, truth be said they dont give a ****, especially you rev. masa (you need help, your a sick individual).

halafu we mleta mada hiyo point yako ya pili inaonesha naivity iliyoko kichwani mwako about world affairs, homework why not try find out what really happened and the motive behind the release. Why do you think America decided to punish BP, because of this saga.
 
SABABU 13 ZA GADAFFI KUPIGWA NA KUONDOLEWA MADARAKANI
Ndugu WanaJF, kumekuwa na ubishani mwingi wa viongozi wa Kiafrika, Waafrika wa kawaida, na wana jamii wa Kiislam kuwa kumuondoa Gadaffi ni uonevu, kuchukia Uislam na kuleta ukoloni mamboleo Afrika. Mimi ninao kuna sababu 13 za Gadaffi kupigwa na kuondolewa madarakani.
1. Gadaffi ndiye aliyeilipua ndege ya PANAM kule Lockerby Scotland mwaka 1986 hivyo ndiye gaidi mkongwe zaidi ya Osama.
2. Gadaffi alimtoa Al Magrahi yule gaidi mwenza kifungoni kwa kisingizio kuwa angekufa kwa kansa baada ya muda mfupi (wiki 3?). Mpaka leo bado anaishi.
3. Gadaffi alimsaidia Iddi Amin wa Uganda kuipiga Tanzania kwenye vita ya Kagera mwaka 1979. Askari wake walikamatwa mateka. Vita ile ndiyo aliyolimaliza Taifa la Tanzania na kutufikisha hapa tulipo.
4. Anasemekana kuwa mfadhiri wa ugaidi wa Wapelestina huko Islael na Gaza.
5. Amekuwa akifadhili ujenzi wa misikiti Afrika nzima badala ya maendeleo ya jamii. Kujenga misikiti siyo vibaya ila hilo siyo jumuku la mwanasiasa ni la kiongozi wa kidini.
6. [C...hizo ni 7bu zilizo wazi, muhimu ni mabadiliko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom