The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

Nato waja na mikakati kabambe ya kijeshi kumshikisha adabu Alhaji Kanali Qadhafi; kwa mtaji wa vyombo vilivyokwishapenyeshwa ndani ya Libya, Mi-Nyambizi kila kona Baharini, mwelekeo wa kuvuruga programme nzima ya mawasiliano ya marubani wa Libya na kugawa jeshi kati kati hadi ikulu ya Tripoli, shirika hili laongeza kwamba pindiwatakapoanza tu zoezi la NO-FLY ZONE LIBYA basi huenda wakahitaji siku chache tu isiozidi wiki moja kumtia nguvuni huyu Desert Rat Qaddafi.

Hii mikakati kwa Ghadhafi tu mwenye mafuta?.Mbona hawana habari na Gbago wa Ivory Coast.
Wameshindwa Iraq,Afghanistan,Pakistan,Somalia.na Libya nako watashindwa.Wataleta vurugu tu na kujivunjia hadhi.Wenye akili timamu wataendelea kupuuza nguvu na hadhi za nchi za Ulaya.Sasa hivi wako kwenye muadhara mkubwa ambao haujapata kutokea.
 
me namtakia gaddafi ushindi,hawa wananchi wanataka kuiga kila kitu ndo matokea yake haya watakufa ila mzee atazidi kushika nchi
 
ulisikia wapi nguvu ya umma ina mabunduki na mavifaru???huyu Gaddafi nakuambia siku zake zinahesabika hata kama akishiinda hii vita...take my note. Kwa damu zilizomwagika pale,hatakuja pata raha tena maishani mwake, mpaka siku yake ya mwisho.
 
A choice has to be made by the Rebels, kupokea msaada toka Ulaya na baadae waendeshwe kama gari bove na wazungu au wakatae huo msaada na baadae waendelee kuwa adui wa Wazungu.
Guys the isssue is that the Rebels wangewaachia wananchi waendelee kuandamana mpaka kieleweke kama Misri, then mwisho ndio waingie.
Sasa Gadafi anavisingizio Kibao, na atawang'oa.
 
Walibya wamekosea, wameharibu pale walipoanzisa mapambano ya moto dhidi ya Ghaddafi. Kinachotokea watajilaumu wenyewe na watapigwa saana na huyo kanali.
 
Tusubiri tuone nini kitatokea maana nilichokuwa nikikiona mimi ni utumiaji wa nguvu kupita kiasi dhidi ya wananchi huku wakinyemelewa na vita ya wenyewe kwa wenyewe.

Mkuu, nguvu iliyotumiwa na Qadaffi mpaka sasa bado ni relatively ndogo sana (lakini inakuwa exaggerated na western media) ndio maana Rebels wakawa wana-advance....

Sasa hivi Qadaffi ndio ameanza kuingiza gia ya kwanza...:hatari:

BTW: hii kitu imekuwa ikifanywa ionekane ni mbaya sana kuliko hata yale yaliyotokea na yanayoendelea kutokea huko Ivory Coast, Yemen, Buhran, Saudi, Jordan na kwingineko kwingi.

Tatizo ni mafuta ya Libya tu ....

Hebu soma hii mada hapa chini toka Pravda...

Libya: Media Manipulation - English pravda.ru
 
Lakini jamani hata kama akishinda , atamuongoza nani? Cha msingi tu ang'olewe madarakani kibabe, apande mtu mwingine...lakini Libya haitakuwa kama Libya ya zamani....
 
Muheshimiwa sana Bantugbro afadhali umeliona hili...mauaji wafanye wao ila ukiwa against na western hufai...ni gaidi mkubwa! Saddam alikua mbabe...well,km mimi au wewe usivyopenda mambo ya kipuuzi! Ukatili wa Sadam/Gadafi/Chavez/Ahmadnejad si kwa scale inayozungumzwa na western!
 
Je ni sahihi kuua watu wengi wako hivi ili kuendelea kutawala?

Sio sahihi kabisa hapa busara haikutumika. Tatizo ni kwamba nguvu ya umma imegeuzwa kuwa uasi pale walipoanza kujibu mapigo kwa silaha. Wasingejibu sasa hivi jumuiya ya kimataifa wangeshampelekea Gadafi yale ya Khosovo.
 
Haya mataifa makubwa nayo jamani hayafai huwa hayana msaada mtupu lazima kuna kitu wanakitaka ambacho ni mafuta ya libya...kama si hivyo mbona ivory coast hawaendi...? tuwaangalie sana hawa jamaa na misaaada yao.....
 
France has become the first country to recognise the Libyan rebel leadership, the National Libyan Council (NLC), as the country's legitimate government.
Source: BBC

It is an open secret that most of Libya's oil installations are in the rebel's controlled areas....(As we speak motorists are crying in France because the price of petrol is killing them (today it is Euro 1.9/Litter). In Spain, the government over-there have passed the speed limit law (people cant drive more than 110 Km/hr in order to save petrol.....:lol:))

Guess what will happen to the NLC when Qaddafi starts to re-take back the lost ground..... They will start to be introduced as a terrorist organization!
 
Kwasasa mataifa ya nje yatakuwa kama watazamaji tu kwani sasa imekuwa ni kama vita ya wenyewe kwa wenyewe. Wamekosea sana hapo walipoanza kutumia silaha za moto dhidi ya dictator.
 
You can live or you can die but whoever that bows to the West is a ****ing moron. Those NLC are psychopath lying bastards inshort they are ****ing pussies waiting to be laid. Where were they before? We are killing one another, they are watching on TV while taking their people and watch us dying. You all know our neighbour Rwanda and what happened during genocide in 1994. So you can not tell me anything about whether France or any Western Nation recognising NLC as a legitimate gov't. There is no legitimacy first by being recognised by its people through a ballot paper and second being recognised by AU
 
Muheshimiwa sana Bantugbro afadhali umeliona hili...mauaji wafanye wao ila ukiwa against na western hufai...ni gaidi mkubwa! Saddam alikua mbabe...well,km mimi au wewe usivyopenda mambo ya kipuuzi! Ukatili wa Sadam/Gadafi/Chavez/Ahmadnejad si kwa scale inayozungumzwa na western!

Mkuu Horseshoe Arch,

Subiri kidogo waanze kuweka no-fly zone.... Mashabiki wengi huwa hawajui concept ya no-fly zone! hii kitu inahusisha kuchapa kwa makombora air defenses zote za nchi husika. Halafu ndio wanaanza ku-patrol kwa ndege kwenye anga la nchi husika!. Sasa hebu nieleze ni raia wangapi wanaoishi karibu au kwenye millitary bases ambako ziko hizo air defenses za nchi husika (mfano mzuri ni Mbagala au Gongo la Mboto).

Libya ina more than 50 air defense sites na zote ziko kwenye maeneo ya pwani including Beghazi na Tripoli na ni maeneo ambayo yana raia wengi sana...


Kumbuka yaliyotokea Kosovo wakati wa air campaign ya NATO kule... Kila kukicha wana-bomb raia halafu wanasingizia kuwa wamekosea target....
 
hao wanafik walikuwa wanaomba usiku na mchana Mubarak asiondoke...sasa wameshapeleka meli za kivita karibu na Libya na wanataka kuweka no fly zone Libya!

Ebo! Hiyo fly zone ya kwenu?

hiyo no fly zone kwa nini isiwekwe Gaza na West bank
Mbona ikuwekwa ivory coast.

Kuna wamasri 50,0000 wanapafanya kazi libya,wa chad,wa mali wakenya na watanzania ma elfu.Kumanisha washapoteza mkate wao.

We all know how foreign exchange increase per capital of a nation.with what is happening in Libya, Egypt will be the most affected
 
A choice has to be made by the Rebels, kupokea msaada toka Ulaya na baadae waendeshwe kama gari bove na wazungu au wakatae huo msaada na baadae waendelee kuwa adui wa Wazungu.
Guys the isssue is that the Rebels wangewaachia wananchi waendelee kuandamana mpaka kieleweke kama Misri, then mwisho ndio waingie.
Sasa Gadafi anavisingizio Kibao, na atawang'oa.

umeongea ukweli mtupu, kilichoharibu mambo ni hawa rebels, nani ataachia madaraka kwa rebels? ingekuwa nguvu ya umma ingefanikiwa lakini rebels hata mimi siwasapoti manake wataingiza nnchi kwenye vita kama amabvyo tayari ishatokea.
 
Je ni sahihi kuua watu wengi wako hivi ili kuendelea kutawala?

Mzalendohalisi: Kinachotokea Libya ni uwasi, siyo maandamano hata kidogo. Hakuna waandamanaji ambao wana anti aircraft misiles, machine guns, missiles, mabomu, magari ya kivita, wanatraining camp, etc. Hao ni rebels na hao rebels wametumwa na wazungu maana kwa sasa mafuta yamekuwa matamu sana karibu pipa litafika US$200. Na kuwepo kwa machafuko huko Arabuni ambako ni kitovu cha mafuta inawanufaisha wazungu tu.
Hebu niambia nchi ya Africa inayochimba mafuta yake yenyewe kwa kampuni za ndani ya nchi, hakuna nyingine zaidi ya Libya.
Makumpuni makubwa yanayochimba mafuta: Exxon Mobil, Chevron, Conoco Philips, etc- wote hawa waMarekani, BP -Waingerza, Shell -Wadachi, Total -Wafaransa, Agip -Waitaliano, etc. Makampuni haya yote yanafaidi sana kwa sasa hivi mafuta yanapopanda bei maana wanatengeneza faida kubwa mno na wanaungwa mkono sana watawala wa nchi zao.
Mimi sishabikii kabisa kinachotokea Mashariki ya Kati na Kaskazini mwa Africa maana yote inalengo la kuwaneemesha wazungu na kuendelea kutuuwa sisi wa nchi maskini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom