Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
Kuna tetesi kuwa ushindi wa rais wa sasa wa Burundi umefifilisha ndoto ya wahima wote wanaoishi katika ukanda wa maziwa makuu ya kuhakisha kuwa nchi zote za ukanda huu zinatawaliwa na wao.
Ili kuirejesha burundi katika himaya hii inasemekana kuwa aliyewahi kuwa kiongozi wa nchi hiyo: Mjr Buyoya akishilikiana na viongozi wengine wa hima empire wameandaa mpango wa vita kwa lengo la kuwateketeza wasio wahima katika nchi ya burundi.
Katika mpango huo, makundi ya wahutu yaliyoshindwa uchaguzi yatafadhiwa na waandaji (Buyoya, Kagame, Mu7) ili waanzi mapigano kisha viongozi hawa wataleta makundi ya wapiganaji wa kihima kutoka kongo,rwanda na uganda kuteketeza wasio wahima.
Ili kuirejesha burundi katika himaya hii inasemekana kuwa aliyewahi kuwa kiongozi wa nchi hiyo: Mjr Buyoya akishilikiana na viongozi wengine wa hima empire wameandaa mpango wa vita kwa lengo la kuwateketeza wasio wahima katika nchi ya burundi.
Katika mpango huo, makundi ya wahutu yaliyoshindwa uchaguzi yatafadhiwa na waandaji (Buyoya, Kagame, Mu7) ili waanzi mapigano kisha viongozi hawa wataleta makundi ya wapiganaji wa kihima kutoka kongo,rwanda na uganda kuteketeza wasio wahima.