Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,375
Nakubaliana sana na Miss Juddy kwa theory yake ila nataka kuongezea mawili matatu hv ambayo yapo sana cku hz
1.Siku hizi kuwadi namba moja ni simu na email
2.Wadada wengi wenye upendo wa dhati huvutiwa na wanaume wa mvuto wao kama umbile,urefu,utanashati na caring
3.Wadada wasio na mapenzi ya kweli huangalia mshiko,aina ya maisha ya juu ya mtongozaji zaidi bila hata kujali vigezo vingine vya watongozaji
4.Kwa wanaume wengi utongozaji hutawaliwa na tamaa kwanza na mvuto wa mwanamke..fursa ikipatikana ndo utakuta wanaume wanaanza kufungua pazia la pili kujua mambo mengine kama elimu,tabia,kazi nk
5.Wapo pia wanaume wachache wanaotegemea mvuto wao kuwavutia wanawake mapenzini lakini hawa wengi huishia kuwaumiza wanawake mioyo ama hata kuwachuna...mfano vijana wa Congo na Nigeria
Ni mtazamo tu..hasa ukizingatia maisha ya sasa mapenzi yamekuwa cheap sana na aibu katika kutongozana haipo tena kama enzi zile alizokuwa anasoma Miss Juddy
nakupa big up kwa mada hii..natafakari nitumie mbinu ipi kati ya ulizotaja nikamilishe sanaa hiyo kwa kumpata ndege wangu,na ukizingatia ndege wa siku hizi wote wajanja mno kabla hujarusha jiwe yeye keshajua zamani nia yako!
1.Siku hizi kuwadi namba moja ni simu na email
2.Wadada wengi wenye upendo wa dhati huvutiwa na wanaume wa mvuto wao kama umbile,urefu,utanashati na caring
3.Wadada wasio na mapenzi ya kweli huangalia mshiko,aina ya maisha ya juu ya mtongozaji zaidi bila hata kujali vigezo vingine vya watongozaji
4.Kwa wanaume wengi utongozaji hutawaliwa na tamaa kwanza na mvuto wa mwanamke..fursa ikipatikana ndo utakuta wanaume wanaanza kufungua pazia la pili kujua mambo mengine kama elimu,tabia,kazi nk
5.Wapo pia wanaume wachache wanaotegemea mvuto wao kuwavutia wanawake mapenzini lakini hawa wengi huishia kuwaumiza wanawake mioyo ama hata kuwachuna...mfano vijana wa Congo na Nigeria
Ni mtazamo tu..hasa ukizingatia maisha ya sasa mapenzi yamekuwa cheap sana na aibu katika kutongozana haipo tena kama enzi zile alizokuwa anasoma Miss Juddy
nakupa big up kwa mada hii..natafakari nitumie mbinu ipi kati ya ulizotaja nikamilishe sanaa hiyo kwa kumpata ndege wangu,na ukizingatia ndege wa siku hizi wote wajanja mno kabla hujarusha jiwe yeye keshajua zamani nia yako!