The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,082
Hauna Avatar wala Signature lazima thread ipoteze mwelekeo.naona thread ishapoteza direction. dah!
Hauna Avatar wala Signature lazima thread ipoteze mwelekeo.naona thread ishapoteza direction. dah!
Lol....hivi uliweza kum-asses Kongosho wa Boss maana sikuwepo
Lol....hivi uliweza kum-asses Kongosho wa Boss maana sikuwepo
Hauna Avatar wala Signature lazima thread ipoteze mwelekeo.
Hahaha! Sasa Boss atie maguu hapa yule shorii wa jana Boss lazima huyo uingie mitini na kutuwekea vigingi vya kutosha si unajua namzungumzia nani lolumeona ulivyo 'mroho'
na vilivyokuja ulipokuwa haupo unaviulizia lol
Hehehe maana sijui hata nianzie wapi! ....Boss alikuwa ana play hard to get (lol)
Si umeona kwa nini vidume vinataka sometimes upotee hewani JF!
Aisee nimekusoma loud and clear ndio maana Bishanga na Rocky wananipiga madongo sana.Hehehe maana sijui hata nianzie wapi! ....Boss alikuwa ana play hard to get (lol)
Si umeona kwa nini vidume vinataka sometimes upotee hewani JF!
wewe...
actually nilitaka dogo awepo 'aone' kaka zake ' tuna handle vipi'
unamkumbuka JUX na jinsi dogo 'alivyolowa'????
lol jamani mlio kwenye PC jibuni
Ukicheki kwa udeep una point.
Ila waswahili wanasema "Debe tupu ..." sasa isije kuwa wewe mwenyewe ndo wale wale tu
Boss bana.....lol unajua hizi mambo nyingine hizi acha tuwewe...
actually nilitaka dogo awepo 'aone' kaka zake ' tuna handle vipi'
unamkumbuka JUX na jinsi dogo 'alivyolowa'????
uli lie low au SL alikuficha La Gemma zanzibar?huko nasikia kila chumba kina swimming pool yake,hongera aisee
leo umeniamkia naona lol......
ngoja nifanye 'the homework'..lol