luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Kuna Taarifa zisizo rasmi zina zagaa eti ya kuwa katika mchezo wa kesho Namungo fc vs Yanga , eti yanga hawataleta timu kiwanjani kwa maana watagomea mchezo kushinikiza mnyama acheze kwanza viporo vyake .
Kama watafanya hivyo basi TFF msipepese macho walaa msiruhusu mazungumzo nyie pigilieni msumari iporomosheni daraja iyo club na kuibokora points zake.
MSIWADEKEZEE watajiona wao ni SPECIAL
Kama watafanya hivyo basi TFF msipepese macho walaa msiruhusu mazungumzo nyie pigilieni msumari iporomosheni daraja iyo club na kuibokora points zake.
MSIWADEKEZEE watajiona wao ni SPECIAL