Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,774
- 24,209
TFF haina bifu na Yanga kama inavyosemekana but inasimamia Sheria strictly Kwa Yanga kuliko timu nyingine ,.......unajua kwanini Kwa sababu yanga mwaka 2021 waliwagomea TFF kubadilisha muda wamechi na Simba wakitaka Sheria zifuatwe
Jikumbushe hapa 8 may 2021
"Muda mfupi baada ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kusogeza mbele mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Simba SC na Yanga SC iliyokuwa ianze saa 11 jioni na kutakiwa kuanza saa 1 usiku, Klabu ya Yanga imegomea uamuzi huo
Kupitia taarifa iliyotoa timu hiyo kwa umma imesema kuwa wao watapeleka timu uwanjani saa 11 jioni kama ilivyokuwa awali na kuitaka Bodi ya Ligi kufanya kazi kwa kuzingatia kanuni ambazo zinawataka kubadili ratiba saa 24 kabla ya mchezo"
Ikumbukwe TFF ni kama mzazi so Kuna vitu hata mtoto ukikosea ....anafunika kombe So Baada ya kuona mtoto anataka sheria zifuatwe.....ndicho kinachofanywa...zile fairness Kwa Yanga ni empty
Kuna mdau humu jf Tate Mkuu alitoa alert kuwa Kwa hili .....Yanga tujiandae kukamiwa......but naona that's what happening right now
Jikumbushe hapa 8 may 2021
"Muda mfupi baada ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kusogeza mbele mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Simba SC na Yanga SC iliyokuwa ianze saa 11 jioni na kutakiwa kuanza saa 1 usiku, Klabu ya Yanga imegomea uamuzi huo
Kupitia taarifa iliyotoa timu hiyo kwa umma imesema kuwa wao watapeleka timu uwanjani saa 11 jioni kama ilivyokuwa awali na kuitaka Bodi ya Ligi kufanya kazi kwa kuzingatia kanuni ambazo zinawataka kubadili ratiba saa 24 kabla ya mchezo"
Ikumbukwe TFF ni kama mzazi so Kuna vitu hata mtoto ukikosea ....anafunika kombe So Baada ya kuona mtoto anataka sheria zifuatwe.....ndicho kinachofanywa...zile fairness Kwa Yanga ni empty
Kuna mdau humu jf Tate Mkuu alitoa alert kuwa Kwa hili .....Yanga tujiandae kukamiwa......but naona that's what happening right now