Elections 2010 Tetesi za kutisha

Kwani si Rais yeyote yule anahitaji kuapishwa na sio kwamba ni kawaida Rais akiapishwa kuwe na Marais wa nchi rafiki... hivi mna matatizo gani ninyi?
 
Kasheshe,

..nadhani kinachotia mashaka ni huo uharaka wa toka kutangazwa matokeo na kuapishwa Raisi.

..vilevile, kama kutakuwa na mabadiliko ktk nafasi ya Uraisi, basi kuna ulazima wa timu ya Raisi mpya kuwa na input kuhusu nani aalikwe ktk sherehe za kuapishwa?

..au, unataka kutueleza kwamba unazo taarifa za vyama vyote vinavyogombea Uraisi vimeshirikishwa ktk zoezi la kuandaa orodha ya wageni watakaoalikwa?
 
Duh! Haya makubwa. Ina maana jamaa anajiandaa kutawala kwa mabavu wakati wapiga kura wengi zaidi watamkataa Oktoba 31?

Kuna wakati mwingine mimi huwa nashangaa kweli. Hivi kweli nyie watu wa CHADEMA seriously mnadhani kuwa SLAA atashinda? JK atashinda kwa kati ya ASILIMIA 77 NA 87 ya kura zitakazopigwa. Huu ndio ukweli. Maneno ya mitaani tuachane nayo. JK atashinda na CCM kwa ujumla itashinda sio kwa wizi wa kura bali kwa kukubaliwa na wananchi. SLAA atapata below 20% akifuatiwa na Prof. Lipumba. Sasa nyie wenye ndoto za SLAA kutwaa urais kaeni hivyo hivyo na muendelee na ndoto hizo. Mabadiliko hayaji kwa porojo na matumaini. Mabadiliko yatakuja kwa upinzani kufanya kazi na upinzani wenyewe ubadilike katika mbinu na mikakati. Mkiendelea na kauli za kumwaga damu, IKULU kamwe hamtaiona. Mkiendelea kuvaa magwanda yanu ya khaki na yenye sura ya kijeshi lile jengo jeupe mtalisikia kwenye bomba mpaka milelel.

Upinzani wa kweli katika nchi hii utatoka ndani ya CCM kama Nyerere alivyowahi kusema. Upinzani wa kweli hauwezi kutoka kwa wapiga porojo na wenye uchu wa madaraka na wasiojua hata kuichambua jamii waliyo nayo.
Funga domo lako mpumbavu wewe...
 
Kwani si Rais yeyote yule anahitaji kuapishwa na sio kwamba ni kawaida Rais akiapishwa kuwe na Marais wa nchi rafiki... hivi mna matatizo gani ninyi?

Haraka ya nini kwani atakuwa ameiba uongozi!, Tabia hizi ni za Kiafrika zaidi kwani viongozi wengi huwa si chaguo la wananchi, na kwa hofu ya siri kuvuja hukimbilia kuapishwa siku moja au ilele baada ya uchaguzi kama kibaki.

mbona wenzetu hawako hivyo, au katiba yetu inasema rais akisha tumpukiza kura yake kwenye kisanduku anapoteza urais wake hapohapo?

mialiko ya style hii ni ya kushtukiza, na inayotia hasara mataifa husika
 
tufanye maombi siku hiyo simu na mitandao isifanye kazi, we need to pray hard than ever
 
Upinzani wa kweli katika nchi hii utatoka ndani ya CCM kama Nyerere alivyowahi kusema. Upinzani wa kweli hauwezi kutoka kwa wapiga porojo na wenye uchu wa madaraka na wasiojua hata kuichambua jamii waliyo nayo.

Jamani hebu wana JF nisaidieni.
Hivi Dr Slaa hakuwahi kuwa mwanaccm?
 
[

Kuna wakati mwingine mimi huwa nashangaa kweli. Hivi kweli nyie watu wa CHADEMA seriously mnadhani kuwa SLAA atashinda? JK atashinda kwa kati ya ASILIMIA 77 NA 87 ya kura zitakazopigwa. Huu ndio ukweli. Maneno ya mitaani tuachane nayo. JK atashinda na CCM kwa ujumla itashinda sio kwa wizi wa kura bali kwa kukubaliwa na wananchi. SLAA atapata below 20% akifuatiwa na Prof. Lipumba. Sasa nyie wenye ndoto za SLAA kutwaa urais kaeni hivyo hivyo na muendelee na ndoto hizo. Mabadiliko hayaji kwa porojo na matumaini. Mabadiliko yatakuja kwa upinzani kufanya kazi na upinzani wenyewe ubadilike katika mbinu na mikakati. Mkiendelea na kauli za kumwaga damu, IKULU kamwe hamtaiona. Mkiendelea kuvaa magwanda yanu ya khaki na yenye sura ya kijeshi lile jengo jeupe mtalisikia kwenye bomba mpaka milelel.

Upinzani wa kweli katika nchi hii utatoka ndani ya CCM kama Nyerere alivyowahi kusema. Upinzani wa kweli hauwezi kutoka kwa wapiga porojo na wenye uchu wa madaraka na wasiojua hata kuichambua jamii waliyo nayo.[/QUOTE]

Wewe unajidanganya sana. Inaelekea huishi hapa Tanzania. Ukweli ni kwamba JK haakubaliki na akipata kura nyingi ni asilimia 40. lazima ujue kwamba hata wale mnaowalazimisha kuvaa magwanda ya kijani na posho ili kwenda kumshangilia kwenye kampeni, wengi wao hawatampigia kura huyo kilaza wenu. Walifanya makosa 2005 na kamwe hawatayarudia tena. And the truth is CCM faces heavy defeat in the October 31 election. Take my word.
 
Pia kuna habari kuwa JK anaandaa some kind of economic summit November 2010 ili naye aonekane kama Kagame vile.
 
Haraka ya nini kwani atakuwa ameiba uongozi!, Tabia hizi ni za Kiafrika zaidi kwani viongozi wengi huwa si chaguo la wananchi, na kwa hofu ya siri kuvuja hukimbilia kuapishwa siku moja au ilele baada ya uchaguzi kama kibaki.

mbona wenzetu hawako hivyo, au katiba yetu inasema rais akisha tumpukiza kura yake kwenye kisanduku anapoteza urais wake hapohapo?

mialiko ya style hii ni ya kushtukiza, na inayotia hasara mataifa husika
Mimi naupenda mfumo wa Wamarekani. Uchaguzi unafanyika November na rais mpya anaingia mamlakani January. Hii inatoa nafasi tosha ya transition kati ya rais anayemaliza muda wake na yule anayeingia mamlakani. Ila tu ni kwamba rais anayemaliza muda wake hana mamlaka tena ya kufanya maamuzi bila kushauriana na rais mpya. Pia inampa nafasi ya kufungasha virago vyake kutoka White House. Lakini hii ya kutangazwa na kuapishwa siku hiyo hiyo itatuletea shida huko baadaye hasa pale chama tofauti kinaposhinda na rais mpya anaingia mamlakani na maafisa wake wapya kutoka chama chake.
 
Duh! Haya makubwa. Ina maana jamaa anajiandaa kutawala kwa mabavu wakati wapiga kura wengi zaidi watamkataa Oktoba 31?

Kuna wakati mwingine mimi huwa nashangaa kweli. Hivi kweli nyie watu wa CHADEMA seriously mnadhani kuwa SLAA atashinda? JK atashinda kwa kati ya ASILIMIA 77 NA 87 ya kura zitakazopigwa. Huu ndio ukweli. Maneno ya mitaani tuachane nayo. JK atashinda na CCM kwa ujumla itashinda sio kwa wizi wa kura bali kwa kukubaliwa na wananchi. SLAA atapata below 20% akifuatiwa na Prof. Lipumba. Sasa nyie wenye ndoto za SLAA kutwaa urais kaeni hivyo hivyo na muendelee na ndoto hizo. Mabadiliko hayaji kwa porojo na matumaini. Mabadiliko yatakuja kwa upinzani kufanya kazi na upinzani wenyewe ubadilike katika mbinu na mikakati. Mkiendelea na kauli za kumwaga damu, IKULU kamwe hamtaiona. Mkiendelea kuvaa magwanda yanu ya khaki na yenye sura ya kijeshi lile jengo jeupe mtalisikia kwenye bomba mpaka milelel.

Upinzani wa kweli katika nchi hii utatoka ndani ya CCM kama Nyerere alivyowahi kusema. Upinzani wa kweli hauwezi kutoka kwa wapiga porojo na wenye uchu wa madaraka na wasiojua hata kuichambua jamii waliyo nayo.

kwani akina slaa si wametoka huko! ebu angalia wangapi wana maoni km ya kwako?ndio ujue ushindi utakuwa wa nani....
 
Ni kwamba jamaa wameshaanza kuandaa kadi za mialiko kwa ajili ya viongozi watakaoudhuria uapishwaji wa presidaa wa tz ajae...ambapo inaelezwa itakuwa kati ya tarehe 3 au 4..ni kwamba ushindi umepangwa kutangazwa usiku na asubuhi inaendelezwa ndani ya wanja la taifa.

Offcourse is DR SLAA!Kwani wao si wafanyakazi tu.Wanamwandalia yoyote atakayepatikana!kwa hapa si atakuwa Dr wa ukweli!
 
Kwa wale mnaotaka kumwaga damu anzeni za wake zenu,waume zenu,watoto wenu,wazazi wenu ndio mwende kwa watanzania wengine!

mkuu neno amani linafika mahali wananchi wanalichoka kutokana na madhila wanayofanyiwa na watawala wanaofaidi nchi wao huku wananchi wakiteseka kwa kisingizio cha amani, historia inasema hata nchi zilizoendelea zilipita kwenye msukosuko hata watu kumwaga damu ndo heshima ikajengwa, kwa maana hiyo basi watanzania tunaelekea kufika mwisho wa uvumilivu na neno amani ambalo haliendani na neno haki kwa watanzania wote hivyo ikibidi damu itamwagika kwa maslahi ya vizazi vitakavyobaki na vijavyo
 
Duh! Haya makubwa. Ina maana jamaa anajiandaa kutawala kwa mabavu wakati wapiga kura wengi zaidi watamkataa Oktoba 31?

Kuna wakati mwingine mimi huwa nashangaa kweli. Hivi kweli nyie watu wa CHADEMA seriously mnadhani kuwa SLAA atashinda? JK atashinda kwa kati ya ASILIMIA 77 NA 87 ya kura zitakazopigwa. Huu ndio ukweli. Maneno ya mitaani tuachane nayo. JK atashinda na CCM kwa ujumla itashinda sio kwa wizi wa kura bali kwa kukubaliwa na wananchi. SLAA atapata below 20% akifuatiwa na Prof. Lipumba. Sasa nyie wenye ndoto za SLAA kutwaa urais kaeni hivyo hivyo na muendelee na ndoto hizo. Mabadiliko hayaji kwa porojo na matumaini. Mabadiliko yatakuja kwa upinzani kufanya kazi na upinzani wenyewe ubadilike katika mbinu na mikakati. Mkiendelea na kauli za kumwaga damu, IKULU kamwe hamtaiona. Mkiendelea kuvaa magwanda yanu ya khaki na yenye sura ya kijeshi lile jengo jeupe mtalisikia kwenye bomba mpaka milelel.

Upinzani wa kweli katika nchi hii utatoka ndani ya CCM kama Nyerere alivyowahi kusema. Upinzani wa kweli hauwezi kutoka kwa wapiga porojo na wenye uchu wa madaraka na wasiojua hata kuichambua jamii waliyo nayo.

Kweli akili yako imechakachuliwa na umri wako nafikiri ni zaidi ya huo! Kikwete atashinda kama mama ako na baba ako watapiga kura! Kikwete msanii, fungu la kukosa!!! Aanze kufunga mizigo.
 
Duh! Haya makubwa. Ina maana jamaa anajiandaa kutawala kwa mabavu wakati wapiga kura wengi zaidi watamkataa Oktoba 31?

Kuna wakati mwingine mimi huwa nashangaa kweli. Hivi kweli nyie watu wa CHADEMA seriously mnadhani kuwa SLAA atashinda? JK atashinda kwa kati ya ASILIMIA 77 NA 87 ya kura zitakazopigwa. Huu ndio ukweli. Maneno ya mitaani tuachane nayo. JK atashinda na CCM kwa ujumla itashinda sio kwa wizi wa kura bali kwa kukubaliwa na wananchi. SLAA atapata below 20% akifuatiwa na Prof. Lipumba. Sasa nyie wenye ndoto za SLAA kutwaa urais kaeni hivyo hivyo na muendelee na ndoto hizo. Mabadiliko hayaji kwa porojo na matumaini. Mabadiliko yatakuja kwa upinzani kufanya kazi na upinzani wenyewe ubadilike katika mbinu na mikakati. Mkiendelea na kauli za kumwaga damu, IKULU kamwe hamtaiona. Mkiendelea kuvaa magwanda yanu ya khaki na yenye sura ya kijeshi lile jengo jeupe mtalisikia kwenye bomba mpaka milelel.

Upinzani wa kweli katika nchi hii utatoka ndani ya CCM kama Nyerere alivyowahi kusema. Upinzani wa kweli hauwezi kutoka kwa wapiga porojo na wenye uchu wa madaraka na wasiojua hata kuichambua jamii waliyo nayo.
Wewe inaonekana ni wa enzi za mwalimu ambapo mlikuwa mnaimba sifa za mwenyekiti. Sasa kuna mabadiliko na sio 1954.
 
Si alikuwa na uhakika na Kura zilikamtwa mpakani ila sasa itabidi ajiandae uopya na endapo uchaguzi utaahiarishwa naomba wanachi waelimishwe kutokukata tamaa wapigane mpaka tone la mwisho kudai haki yao...Kwani inavyoelekea uchaguzi unaweza kuharishwa ili kuwakatisha watu tamaa na ili waweze kupata wanachotaka....ELIMU KWA WAPIGA KURA NI MUHIMU SANA HATA KULIKO KAMPENI WANAJAMII FORUM WENZANGU!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom