Ten Commandments

Hahaaaaaaaaa

Yaani mpaka sasa hili swali halipatiwi jibu.

Max yuko wapi? bado hajapata majibu kwenye masomo yake ya kukopi?


I am always here. The thing is, wewe bado upo dunia ya darwin ambayo haipo, ndio maana hunioni. lol
 
And He gave to Moses when he had finish speaking to him in Mount Sinai, the two tablet of the testimony, tablet of stones, writen with the finger of God. Exodus 31:18.

That means, the ten commadments are special sets of spiritual imperative (laws) that the Lord Himself on two stone tablet (luchot) that Moses brought down from Mount Sinai kama nilivyo weka exhibit hapo juu.

In the scriptures, the laws are called aseret hadevarim, ikimaanisha THE TEN WORDS na/au ten utterances (USHAIDI angalia Exodus 34:28, Deut 4:13 and Deut 10:4). In rabbinical writings they are usualy referred to kama Aseret HaDiberot and in Christian theological writings they are called the Decalogue kutoka kwenye neno la Greek la deca (10) and logoi (words).

I asked this so called darwin a very simple question, to tell me the language Moses and Israelites waliyo kuwa wanatumia wakati wakiwa Misri, and upto when was the said language used during their exodus, mpaka hii leo amekimbia na kushindwa kunipa jibu, na kudai eti mimi sijui ninacho sema.

If, someone who claims that he knows what he is talking and/or doing, why then this very same person failed and continue to fail to reply to a kindergatten question? Hapo ndipo utajuwa kuwa jamaa, darwin, ni mfuata mkumbo na silolote zaidi ya kufilisika kifikra.
 
I asked this so called darwin a very simple question, to tell me the language Moses and Israelites waliyo kuwa wanatumia wakati wakiwa Misri, and upto when was the said language used during their exodus, mpaka hii leo amekimbia na kushindwa kunipa jibu, na kudai eti mimi sijui ninacho sema.

If, someone who claims that he knows what he is talking and/or doing, why then this very same person failed and continue to fail to reply to a kindergatten question? Hapo ndipo utajuwa kuwa jamaa, darwin, ni mfuata mkumbo na silolote zaidi ya kufilisika kifikra.

Max,
Ni mimi ndie niliyekuuliza kuhusu lugha, usije ukajichanganya kwamba Moses au Israelites.
Niliomba jibu la lugha moja tu iliyotumika.
Kama hujanipa jibu la lugha moja tu basi haina haja yakumjua Moses

And again and again your answers are still bla bla, with no evidence at all.

Kwani huoni kwamba unajipinga mwenyewe?

Hey listen; I dont know Moses and I dont believe, there is one fella called Moses/Moshee/Mussa. Ni wewe kunithibitishia kwamba alikuwepo Moses na alipewa amri kumi za mungu kwa lugha hii.
Wewe si unamjua! sasa kwanini ushindwe kunipa lugha moja?
au bado umeshikilia hii uliyoandika mwanzo?
In Genesis 31:47, Laban and Jacob refer a heap of stones in their native speech. Laban uses phrase "Yegar Sahaduta" which is Aramaic, lakini Jacob anatumia "Gal-Ed" ambayo ni Hebrew.

Kama utakwenda na hatua ungenipa jibu moja tu kuhusu lugha.
Mpaka sasa unababaika huna lugha moja uliyoshikilia.

Once again, lugha moja tuuuuuu.
Na hio pia inakushinda?
 
Answering question number one of darwin kuhusu lugha katika Aseret Hadiberot:

According to the Jewish tradition claims, I repeat, the Jewish tradition claims, that the HEBREW SCRIPT used was Ketav Ashurit (Ikiwa inamaanisha kuwa ni "the classical Hebrew srcipt used in the Scriptures today), and not the older Ketav Ivri (Which was later written [by God] on the second set of the tablets that Moses hewed after he broke the original set)

Sasa, kufuatana na [The Talmud (Hebrew: תַּלְמוּד) ambayo ni record ya rabbinic discussions pertaining to Jewish laws, ethics, customs, and history.] The sript God wrote the Ten Commandment was in Ketav Ivri (the older sript), instead of Ketav Ashurit (the divine script that was later restored by Ezra kwa Waisraeli). Hivyo basi, the Talmud Yerushalmi inaelezea kwamba ilikuwa ni Ayin ambayo was miraculously suspended in the tablets, na sio the final Mem and Samekh.
Do you remember this post?
 
Do you remember this post?

Yes mista!
Na unajua kwamba huo mlolongo mzima uliotoa hatima yake ni lugha moja?
Au hata kuona huoni?


Jengine.

Hio lugha kutokana na mnavyomtaja Musa/Moses/Moshe na uhai wake ilikua haina alphabet.

Mwisho.
Kitu kilichoandikwa kwenye jiwe kina alphabet
Au ilikua michoro ya tingatinga haahahaaaa
 
Yes mista!
Na unajua kwamba huo mlolongo mzima uliotoa hatima yake ni lugha moja?
Au hata kuona huoni?


Jengine.

Hio lugha kutokana na mnavyomtaja Musa/Moses/Moshe na uhai wake ilikua haina alphabet.

Mwisho.
Kitu kilichoandikwa kwenye jiwe kina alphabet
Au ilikua michoro ya tingatinga haahahaaaa

Define language AND Alphabet?
 
Define language AND Alphabet?

Hahahaaaaa,

your post
Answering question number one of darwin kuhusu lugha katika Aseret Hadiberot:

According to the Jewish tradition claims, I repeat, the Jewish tradition claims, that the HEBREW SCRIPT used was Ketav Ashurit (Ikiwa inamaanisha kuwa ni "the classical Hebrew srcipt used in the Scriptures today), and not the older Ketav Ivri (Which was later written [by God] on the second set of the tablets that Moses hewed after he broke the original set)

Sasa, kufuatana na [The Talmud (Hebrew: תַּלְמוּד) ambayo ni record ya rabbinic discussions pertaining to Jewish laws, ethics, customs, and history.] The sript God wrote the Ten Commandment was in Ketav Ivri (the older sript), instead of Ketav Ashurit (the divine script that was later restored by Ezra kwa Waisraeli). Hivyo basi, the Talmud Yerushalmi inaelezea kwamba ilikuwa ni Ayin ambayo was miraculously suspended in the tablets, na sio the final Mem and Samekh.


Hivi na macho unayo?
 
Hahahaaaaa,

your post



Hivi na macho unayo?
Define language AND Alphabet?

Nimekuuliza swali dogo sana. Define language na alphabet? Sijaweka applied mathematics bana. Kama hujuwi sema.

Ushaanza blah blah zako. lol
 
Na kama ni kitu chenye uthibitisho usingeandika hivi?
In Genesis 31:47, Laban and Jacob refer a heap of stones in their native speech. Laban uses phrase "Yegar Sahaduta" which is Aramaic, lakini Jacob anatumia "Gal-Ed" ambayo ni Hebrew.

Na hata kama ungechagua moja, kama mnavyojichanganya wenyewe nikwamba uhai wake na lugha au alphabet ni tofauti kabisa.

Amri haziwezi kuja baada ya mtu keshafariki karne.
Kama hio huioni mushkeli basi kazi ipo
 
Na kama ni kitu chenye uthibitisho usingeandika hivi?


Na hata kama ungechagua moja, kama mnavyojichanganya wenyewe nikwamba uhai wake na lugha au alphabet ni tofauti kabisa.

Amri haziwezi kuja baada ya mtu keshafariki karne.
Kama hio huioni mushkeli basi kazi ipo

This is my third time, am asking you, in less than five minutes. Define to me language and alphabet. If you can't answer such a simple question, how will you know the way the tablets was written?

I am giving you half an hour to google. Then bringforth the definition of language and alphabet.
 
Define language AND Alphabet?

Nimekuuliza swali dogo sana. Define language na alphabet? Sijaweka applied mathematics bana. Kama hujuwi sema.

Ushaanza blah blah zako. lol

Wacha kuzuga bwana, hata kama kwamba amri zililetwa kwa mdomo, yaani tuziache hizo alphabet kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.

I can say again.

For what proof is worth, scientifically: do you have any proof of that? say, like an undoubted piece of one of the tablets?

Chakushangaza zaidi, moses cannot have written Deut 34:10, as he cannot have known what happened after his existence. And still, moses saying he spoke to god, does not prove it was god, only that moses thought it was. But that may still be a hallucination put upon him by the devil or the great pumpkin.
 
Wacha kuzuga bwana, hata kama kwamba amri zililetwa kwa mdomo, yaani tuziache hizo alphabet kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.

I can say again.

For what proof is worth, scientifically: do you have any proof of that? say, like an undoubted piece of one of the tablets?

Chakushangaza zaidi, moses cannot have written Deut 34:10, as he cannot have known what happened after his existence. And still, moses saying he spoke to god, does not prove it was god, only that moses thought it was. But that may still be a hallucination put upon him by the devil or the great pumpkin.


I think every body now knows that you are just another kid anaye fuata mkumbo.

Now tell me why should I waste my time, if you can't even define language and alphabet?

It is shame and sad to be mentally darwinzed. The boy is petrified. lol
 
This is my third time, am asking you, in less than five minutes. Define to me language and alphabet. If you can't answer such a simple question, how will you know the way the tablets was written?

I am giving you half an hour to google. Then bringforth the definition of language and alphabet.

Wewe bwana watu hawa google kama unavyofanya.
unaikumbuka hii
1. Genesis, Ge—Bereshit (בראשית)
2. Exodus, Ex—Shemot (שמות)
3. Leviticus, Le—Vayikra (ויקרא)
4. Numbers, Nu—Bamidbar (במדבר)
5. Deuteronomy, Dt—Devarim (דברים)

Uliileta mwenyewe.

Lugha alphabet utazijaza mwenyewe, hii umeileta mwenyewe.

Kwahio nakuambia katafute historia ya hizo lugha au alphabet
 
I think every body now knows that you are just another kid anaye fuata mkumbo.

Now tell me why should I waste my time, if you can't even define language and alphabet?

It is shame and sad to be mentally darwinzed. The boy is petrified. lol

Hey hey,

Kama umeshindwa kunijibu swali moja kwa nusu mwaka sasa yaninini ni define language and alphabet.

And even I do so, It will not make sense anyway. utabakia pale pale kuzunguka hujui ni lugha gani au alphabet ilitumika kwenye jiwe kama lilikuwepo.

Kwanini kwanza hukujibu swali langu nikakufungulia ukurasa kuhusu LANGUAGE AND ALPHABET.

By the way, I dont google some rubbish from the net to define or answer something
 
Hey hey,

Kama umeshindwa kunijibu swali moja kwa nusu mwaka sasa yaninini ni define language and alphabet.

And even I do so, It will not make sense anyway. utabakia pale pale kuzunguka hujui ni lugha gani au alphabet ilitumika kwenye jiwe kama lilikuwepo.

Kwanini kwanza hukujibu swali langu nikakufungulia ukurasa kuhusu LANGUAGE AND ALPHABET.

By the way, I dont google some rubbish from the net to define or answer something

Thank you very much for giving me the opportunity to reply and/or answer your four (4) questions.

Please be informed that, I will post answer to each question sepparately. The reason of replying all of your questions sepparatley is to reduce misunderstanding. Where comes necessary, I will teach you the ten commandments and why God had to bring then through Moses.

Do you remember this?

Now answer my question, define to me language and alphabet.
 
Wewe bwana watu hawa google kama unavyofanya.
unaikumbuka hii


Uliileta mwenyewe.

Lugha alphabet utazijaza mwenyewe, hii umeileta mwenyewe.

Kwahio nakuambia katafute historia ya hizo lugha au alphabet


Ha ahaha aha ahaa a aa a, you see, unajitia aibu bana. Eti nikatafute historia mwenyewe! lol. Tatizo lako ni kufuata mkumbo, na kujifanya unajuwa, lol.

I was putting you at the spot, ambayo kamwe hutoweza kutoka. Ndio maana ukakimbia lile swali langu la PROVE TO ME THAT GOD DOES NOT EXIST. Hivi unafikiri sikujuwi?

It is not your first time to run. Good luck na tabia yako ya kukimbia unapo shindwa. You have to be a man enough to confront your fears. Huu ni msaada wa bure kwako na kwa maisha yako ya baadae.







Max Shimba, A Bondservant of Jesus Christ
 
Do you remember this?

Now answer my question, define to me language and alphabet.

And u still, again and again and again didnt answer any and if any of my questions, so why shall I answer yours!?

for the last time, my first questions was

1.Kama Moses/Musa alipewa amri kumi za mungu na lugha iliyotumika ni hebrew, imekuaje imepishana uhai wake na amri kumi alizopewa.

2. Kama alphabet za Hebrew zilikuja karne na karne baada ya uhai wa moses kuna mtu mwingine alipewa amri kumi za mungu?

3.Moses wa kwenye bible na torat ni huyo huyo mmoja au wawili?

4.Je kuna moses wa kabla ya yesu na wa baada ya yesu aliyepewa amri kumi za mungu?.

Kama hata haya maswali ya kiswahili yamekushinda, basi haina haja ya kudifine chochote.

Hebu jaribu moja baada ya moja kwa kiswahili kama nilivyokupa hapo juu
 
And u still, again and again and again didnt answer any and if any of my questions, so why shall I answer yours!?

for the last time, my first questions was

1.Kama Moses/Musa alipewa amri kumi za mungu na lugha iliyotumika ni hebrew, imekuaje imepishana uhai wake na amri kumi alizopewa.

2. Kama alphabet za Hebrew zilikuja karne na karne baada ya uhai wa moses kuna mtu mwingine alipewa amri kumi za mungu?

3.Moses wa kwenye bible na torat ni huyo huyo mmoja au wawili?

4.Je kuna moses wa kabla ya yesu na wa baada ya yesu aliyepewa amri kumi za mungu?.

Kama hata haya maswali ya kiswahili yamekushinda, basi haina haja ya kudifine chochote.

Hebu jaribu moja baada ya moja kwa kiswahili kama nilivyokupa hapo juu


Somebody, help me to ask this boy, WHAT PART OF DEFINE TO ME LANGAUGE AND ALPHABET, does this boy don't understand?

Young boy, there are rules and laws to be followed. Sijui unaishi dunia ya wapi, but, where I am, laws must be followed. We can't brake laws boy.

Now back to my simple question, define to me language and alphabet.
 
Ha ahaha aha ahaa a aa a, you see, unajitia aibu bana. Eti nikatafute historia mwenyewe! lol. Tatizo lako ni kufuata mkumbo, na kujifanya unajuwa, lol.

I was putting you at the spot, ambayo kamwe hutoweza kutoka. Ndio maana ukakimbia lile swali langu la PROVE TO ME THAT GOD DOES NOT EXIST. Hivi unafikiri sikujuwi?

It is not your first time to run. Good luck na tabia yako ya kukimbia unapo shindwa. You have to be a man enough to confront your fears. Huu ni msaada wa bure kwako na kwa maisha yako ya baadae.


Max Shimba, A Bondservant of Jesus Christ


Kama hata bible yenyewe aliyopewa Moses ina mashaka nitaamini vipi kwamba Mungu yupo?

Naweza na mimi pia nikakuuliza nipe ushahidi wa Mungu kama yupo lakini nimekuweka kiporo ili unithibitishie ukweli wa Moses kwanza.
Au hutaki kunipa ushahidi wa moses kwanza, hukoooooo mambo yenu yalikoanzia.
 
Kama hata bible yenyewe aliyopewa Moses ina mashaka nitaamini vipi kwamba Mungu yupo?

Naweza na mimi pia nikakuuliza nipe ushahidi wa Mungu kama yupo lakini nimekuweka kiporo ili unithibitishie ukweli wa Moses kwanza.
Au hutaki kunipa ushahidi wa moses kwanza, hukoooooo mambo yenu yalikoanzia.


I didn't say you prove to me through the Bible? All I need is watertight, tangible, and verifiables exhibits. You can get wherever you want, but, NO ASSUMPTIONS AT ALL TIMES.

DEFINE TO ME LANGUAGE AND ALPHABET. LOL

Haha ahaha ahaha ahaa a a a a , kaazi kweli kweli unapodeal na watoto na mashabiki wa racist darwin. lol
 
Back
Top Bottom