Mungu alikua na maana gani kuagiza kwenye amri ya 6 Usiue kisha akaagiza wana wa Israel kuua watu wa mataifa mengine?

The Evil Genius

JF-Expert Member
Mar 21, 2014
5,464
17,293
Historia ya biblia inasema Mungu alimpa Musa amri zake 10 kuu, kati ya amri hizo iko amri ya 6 ya usiue.

Hii amri Mungu aliwakataza binadamu kuua ama kukatisha uhai wa binadamu wenzao.

Cha kujiuliza na kushangaza, Mungu huyo huyo akaamuru wana wa Israel kuua watu wa mataifa mengine kama walipokua njiani kuelekea kaanani.

Mungu aliamua waue wanaume wote wanaokutana nao na kisha kuchukua wanawake zao na kuwafanya wake zao, kwa maana nyingine kuwabaka na mwanamke ambae angekataa kubakwa Mungu aliagiza auwawe bila huruma.

Kwa amri ama maagizo hayo ya Mungu wana wa Israel walifanya ubakaji na mauaji ya kutisha kwa jina la Mungu wao.

Swali, kama Mungu alikataza binadamu kuua ama kukatisha uhai wa binadamu mwenzake, kisha mungu huyo huyo akaagiza binadamu wale aliowakataza kuua, na kuwapa amri ya kuua, je amri yake hii ya pili haipingani na amri yake ya kwanza ya usiue na hivyo yeye mwenyewe kujikanganya?

Ama mungu alipotoa maagizo ya kuua alikua kasahau kwamba alishatoa maagizo mengine ya kutokuua huko nyuma?

Je huku ni kujichanganya kwa Mungu ama Mungu hakua na kumbukumbu ya alichokisema hapo awali?
 
Hizo ni
Historia ya biblia inasema Mungu alimpa Musa amri zake 10 kuu, kati ya amri hizo iko amri ya 6 ya usiue.

Hii amri Mungu aliwakataza binadamu kuua ama kukatisha uhai wa binadamu wenzao.

Cha kujiuliza na kushangaza, Mungu huyo huyo akaamuru wana wa Israel kuua watu wa mataifa mengine kama walipokua njiani kuelekea kaanani.

Mungu aliamua waue wanaume wote wanaokutana nao na kisha kuchukua wanawake zao na kuwafanya wake zao, kwa maana nyingine kuwabaka na mwanamke ambae angekataa kubakwa Mungu aliagiza auwawe bila huruma.

Kwa amri ama maagizo hayo ya Mungu wana wa Israel walifanya ubakaji na mauaji ya kutisha kwa jina la Mungu wao.

Swali, kama Mungu alikataza binadamu kuua ama kukatisha uhai wa binadamu mwenzake, kisha mungu huyo huyo akaagiza binadamu wale aliowakataza kuua, na kuwapa amri ya kuua, je amri yake hii ya pili haipingani na amri yake ya kwanza ya usiue na hivyo yeye mwenyewe kujikanganya?

Ama mungu alipotoa maagizo ya kuua alikua kasahau kwamba alishatoa maagizo mengine ya kutokuua huko nyuma?

Je huku ni kujichanganya kwa Mungu ama Mungu hakua na kumbukumbu ya alichokisema hapo awali?
Hizo ni hekaya zilizotungwa na hao hao wahuni wa dunia.
 
Hizo ni
Historia ya biblia inasema Mungu alimpa Musa amri zake 10 kuu, kati ya amri hizo iko amri ya 6 ya usiue.

Hii amri Mungu aliwakataza binadamu kuua ama kukatisha uhai wa binadamu wenzao.

Cha kujiuliza na kushangaza, Mungu huyo huyo akaamuru wana wa Israel kuua watu wa mataifa mengine kama walipokua njiani kuelekea kaanani.

Mungu aliamua waue wanaume wote wanaokutana nao na kisha kuchukua wanawake zao na kuwafanya wake zao, kwa maana nyingine kuwabaka na mwanamke ambae angekataa kubakwa Mungu aliagiza auwawe bila huruma.

Kwa amri ama maagizo hayo ya Mungu wana wa Israel walifanya ubakaji na mauaji ya kutisha kwa jina la Mungu wao.

Swali, kama Mungu alikataza binadamu kuua ama kukatisha uhai wa binadamu mwenzake, kisha mungu huyo huyo akaagiza binadamu wale aliowakataza kuua, na kuwapa amri ya kuua, je amri yake hii ya pili haipingani na amri yake ya kwanza ya usiue na hivyo yeye mwenyewe kujikanganya?

Ama mungu alipotoa maagizo ya kuua alikua kasahau kwamba alishatoa maagizo mengine ya kutokuua huko nyuma?

Je huku ni kujichanganya kwa Mungu ama Mungu hakua na kumbukumbu ya alichokisema hapo awali?
Hizo ni hekaya zilizotungwa na hao hao wahuni wa dunia
Wayebusi, Wahiti ,Waamori wote waliouwawa na Israeli wakiuwawa kwasababu ambazo biblia imezitaja.
Kwahiyo watu wauawe kwasababu maamulu si kuua kwa kuoneana
Lione na hili likondoo linasupport wahuni wa dunia.
 
Historia ya biblia inasema Mungu alimpa Musa amri zake 10 kuu, kati ya amri hizo iko amri ya 6 ya usiue.

Hii amri Mungu aliwakataza binadamu kuua ama kukatisha uhai wa binadamu wenzao.

Cha kujiuliza na kushangaza, Mungu huyo huyo akaamuru wana wa Israel kuua watu wa mataifa mengine kama walipokua njiani kuelekea kaanani.

Mungu aliamua waue wanaume wote wanaokutana nao na kisha kuchukua wanawake zao na kuwafanya wake zao, kwa maana nyingine kuwabaka na mwanamke ambae angekataa kubakwa Mungu aliagiza auwawe bila huruma.


Kwa amri ama maagizo hayo ya Mungu wana wa Israel walifanya ubakaji na mauaji ya kutisha kwa jina la Mungu wao.

Swali, kama Mungu alikataza binadamu kuua ama kukatisha uhai wa binadamu mwenzake, kisha mungu huyo huyo akaagiza binadamu wale aliowakataza kuua, na kuwapa amri ya kuua, je amri yake hii ya pili haipingani na amri yake ya kwanza ya usiue na hivyo yeye mwenyewe kujikanganya?

Ama mungu alipotoa maagizo ya kuua alikua kasahau kwamba alishatoa maagizo mengine ya kutokuua huko nyuma?

Je huku ni kujichanganya kwa Mungu ama Mungu hakua na kumbukumbu ya alichokisema hapo awali?
Hiyo niliyowekea rangi siyo kweli. Hakuna sehemu yoyote kwenye Biblia inasema hivyo.
 
Hakuna Mungu aliyeamrisha hayo unayoyasema katika ukristo . Ili uelewa jambo ndani ya biblia lazima usome sehemu nyingi ndo zitakupa rejea, kuua kunakoruhusiwa ni katika kujitetea tu. Sio kuonea wengine.

Ila jambo la msingi la kuzingatia ni kuwa, bible ni kitabu kinachossimulia stori za wayahudi na namna walivyoishi na Mungu wao
 
Historia ya biblia inasema Mungu alimpa Musa amri zake 10 kuu, kati ya amri hizo iko amri ya 6 ya usiue.

Hii amri Mungu aliwakataza binadamu kuua ama kukatisha uhai wa binadamu wenzao.

Cha kujiuliza na kushangaza, Mungu huyo huyo akaamuru wana wa Israel kuua watu wa mataifa mengine kama walipokua njiani kuelekea kaanani.

Mungu aliamua waue wanaume wote wanaokutana nao na kisha kuchukua wanawake zao na kuwafanya wake zao, kwa maana nyingine kuwabaka na mwanamke ambae angekataa kubakwa Mungu aliagiza auwawe bila huruma.

Kwa amri ama maagizo hayo ya Mungu wana wa Israel walifanya ubakaji na mauaji ya kutisha kwa jina la Mungu wao.

Swali, kama Mungu alikataza binadamu kuua ama kukatisha uhai wa binadamu mwenzake, kisha mungu huyo huyo akaagiza binadamu wale aliowakataza kuua, na kuwapa amri ya kuua, je amri yake hii ya pili haipingani na amri yake ya kwanza ya usiue na hivyo yeye mwenyewe kujikanganya?

Ama mungu alipotoa maagizo ya kuua alikua kasahau kwamba alishatoa maagizo mengine ya kutokuua huko nyuma?

Je huku ni kujichanganya kwa Mungu ama Mungu hakua na kumbukumbu ya alichokisema hapo awali?
Mungu alikuwa Frustrated
 
Historia ya biblia inasema Mungu alimpa Musa amri zake 10 kuu, kati ya amri hizo iko amri ya 6 ya usiue.

Hii amri Mungu aliwakataza binadamu kuua ama kukatisha uhai wa binadamu wenzao.

Cha kujiuliza na kushangaza, Mungu huyo huyo akaamuru wana wa Israel kuua watu wa mataifa mengine kama walipokua njiani kuelekea kaanani.

Mungu aliamua waue wanaume wote wanaokutana nao na kisha kuchukua wanawake zao na kuwafanya wake zao, kwa maana nyingine kuwabaka na mwanamke ambae angekataa kubakwa Mungu aliagiza auwawe bila huruma.

Kwa amri ama maagizo hayo ya Mungu wana wa Israel walifanya ubakaji na mauaji ya kutisha kwa jina la Mungu wao.

Swali, kama Mungu alikataza binadamu kuua ama kukatisha uhai wa binadamu mwenzake, kisha mungu huyo huyo akaagiza binadamu wale aliowakataza kuua, na kuwapa amri ya kuua, je amri yake hii ya pili haipingani na amri yake ya kwanza ya usiue na hivyo yeye mwenyewe kujikanganya?

Ama mungu alipotoa maagizo ya kuua alikua kasahau kwamba alishatoa maagizo mengine ya kutokuua huko nyuma?

Je huku ni kujichanganya kwa Mungu ama Mungu hakua na kumbukumbu ya alichokisema hapo awali?
Suala la eti Mungu aliruhusu Israeli kubaka ilo la kwako! Nionyesge andiko. Kama walibaka wakati Mungu kawaambia waue walikuwa wanatenda dhambi na walihadhibiwa hao Israel.
Kuhusu kuua inatokana na neno la Mungu kuwa "mshara wa dhambi ni mauti... warumi 6:23". Hao maadui walikuwa wamejipanga na kujitoa mhanga kuwaangamiza Israel! Israel kwa kujilinda ni haki kuwaua! Mwanajeshi akiua katika uwanja wa vita sio kosa wala dhambi! Japo unarithi uovu! Ukitasomo zaidi karibu!
 
Hakuna Mungu aliyeamrisha hayo unayoyasema katika ukristo . Ili uelewa jambo ndani ya biblia lazima usome sehemu nyingi ndo zitakupa rejea, kuua kunakoruhusiwa ni katika kujitetea tu. Sio kuonea wengine.

Ila jambo la msingi la kuzingatia ni kuwa, bible ni kitabu kinachossimulia stori za wayahudi na namna walivyoishi na Mungu wao
Biblia ni neno la Mungu! Sio story au hadithi za mtume wa dini hileeee!!!
 
Historia ya biblia inasema Mungu alimpa Musa amri zake 10 kuu, kati ya amri hizo iko amri ya 6 ya usiue.

Hii amri Mungu aliwakataza binadamu kuua ama kukatisha uhai wa binadamu wenzao.

Cha kujiuliza na kushangaza, Mungu huyo huyo akaamuru wana wa Israel kuua watu wa mataifa mengine kama walipokua njiani kuelekea kaanani.

Mungu aliamua waue wanaume wote wanaokutana nao na kisha kuchukua wanawake zao na kuwafanya wake zao, kwa maana nyingine kuwabaka na mwanamke ambae angekataa kubakwa Mungu aliagiza auwawe bila huruma.

Kwa amri ama maagizo hayo ya Mungu wana wa Israel walifanya ubakaji na mauaji ya kutisha kwa jina la Mungu wao.

Swali, kama Mungu alikataza binadamu kuua ama kukatisha uhai wa binadamu mwenzake, kisha mungu huyo huyo akaagiza binadamu wale aliowakataza kuua, na kuwapa amri ya kuua, je amri yake hii ya pili haipingani na amri yake ya kwanza ya usiue na hivyo yeye mwenyewe kujikanganya?

Ama mungu alipotoa maagizo ya kuua alikua kasahau kwamba alishatoa maagizo mengine ya kutokuua huko nyuma?

Je huku ni kujichanganya kwa Mungu ama Mungu hakua na kumbukumbu ya alichokisema hapo awali?
Umetembea kavu kavu bila vifungu
 
Tulia wewe myebusi, mhivi na mgirgashi.. endelea kuabudu misanamu upelekwe kuzimu.
 
kiswahili hakina maneno sawia hata neno la mabinti wadogo wenye miaka 12 waliokuwa wakiolewa halipo, wameandika tu msichana mdogo.

Kuua kulikohalalishwa ni pale unapojiokoa (legal homicide) - unashambuliwa na mapanga na majambazi ni ruksa kuua ili kulinda uhai wako, panya road anataka kumpiga panga mtoto wako ni ruksa umfumue ubongo na bunduki, n.k,

Kuua ambako kulikatazwa ni "murder" kuua kwa nia ovu aidha uonezi, kuua mtu ambae hana kosa, n.k.
 
Mwanao wa kiume akienda shule unamuagiza asipige wenzake na pia asikubali kupigwa na mwenzake ukimaanisha ajilinde hata kwa kupigana.
 
Historia ya biblia inasema Mungu alimpa Musa amri zake 10 kuu, kati ya amri hizo iko amri ya 6 ya usiue.

Hii amri Mungu aliwakataza binadamu kuua ama kukatisha uhai wa binadamu wenzao.

Cha kujiuliza na kushangaza, Mungu huyo huyo akaamuru wana wa Israel kuua watu wa mataifa mengine kama walipokua njiani kuelekea kaanani.

Mungu aliamua waue wanaume wote wanaokutana nao na kisha kuchukua wanawake zao na kuwafanya wake zao, kwa maana nyingine kuwabaka na mwanamke ambae angekataa kubakwa Mungu aliagiza auwawe bila huruma.

Kwa amri ama maagizo hayo ya Mungu wana wa Israel walifanya ubakaji na mauaji ya kutisha kwa jina la Mungu wao.

Swali, kama Mungu alikataza binadamu kuua ama kukatisha uhai wa binadamu mwenzake, kisha mungu huyo huyo akaagiza binadamu wale aliowakataza kuua, na kuwapa amri ya kuua, je amri yake hii ya pili haipingani na amri yake ya kwanza ya usiue na hivyo yeye mwenyewe kujikanganya?

Ama mungu alipotoa maagizo ya kuua alikua kasahau kwamba alishatoa maagizo mengine ya kutokuua huko nyuma?

Je huku ni kujichanganya kwa Mungu ama Mungu hakua na kumbukumbu ya alichokisema hapo awali?
Mfano;

Ukipigwa kofi shavu la upande wa kulia na Adui basi mgeuzie upande wa kushoto Adui akubabue kofi jingine" Je utakuwa tayari kufanya hivyo?

Kanuni niitumiayo mimi ni "win win situation" ya Mchina kama hii

LUKA 6:33-36.

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Biblia tunayosoma leo imechakachuliwa sana, kuna vitabu vingi vimeondolewa kwa sababu zisizo za msingi ili kupoteza maana. Kikubwa ni kumuamini Mungu na sio maandishi. Kuna mengi tumedanganywa.
 
Back
Top Bottom