radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,427
- 32,198
Ahahahaaaaaa....jamaa ni mweupe sana kichwani...sema anapenda ku_socialise kwenye mitandao ya kijamii...lakn hana upeo wa kuchangia hoja za hili jukwaa...namshauri aende mmu.
mkuu huyu jamaa mweupe kabisa anabishana tu pasipo na hoja aliponichekesha anakwambia sayansi ni ushirikina waafrika bana kazi ipo.