Teknolojia ya kumfufua binadamu aliyekufa...

vijana wa kiafrca wanatamani kufanana na dada zao wakat dada zao wanatamani kufanana na wazungu bt wazungu nao wanataka kufanana na mungu kwa uwezo na mamlaka cjuh hapo ni nani mwenye wazo bora kuliko mwenzie? ???
 
hawataweza kuurudisha uhai ambao Mungu amepanga kuuchukua labda kama ni misukule
 
ushetani uo sio project! pambanua mambo! wewe udanganywa kabisa kuwa watu wanaweza fufua watu walio kufa ivi inakuingia kweli?
Nasikia kuna watu wa iman fulani enzi hizo za kuandaa project za kutengeneza ndege/aeroplan walikuwa hawaamini kama itawezekana kitu cha kuundwa na mwadamu kikapaa na kuelea angani...na walikuwa wanapinga sana kwa kusema ni kufuru kufanya hivyo sababu Mungu ameumba watu tutembee kwa miguu ardhini.
Lakn leo yametimia na kila mtu anatumia usafiri huo....hope hata watu wenye mitazamo kama yako wataambuka sana likitimia hili na ndio watakuwa wa kwanza kutaka wake zao,watoto wao,wazazi wao wafufuliwe.
Anyway...time will heal the wound.
 
hakuna kitu apo kwa mtazamo wako inaelekea una upeo mdogo sana wa kufikiria!
Nasikia kuna watu wa iman fulani enzi hizo za kuandaa project za kutengeneza ndege/aeroplan walikuwa hawaamini kama itawezekana kitu cha kuundwa na mwadamu kikapaa na kuelea angani...na walikuwa wanapinga sana kwa kusema ni kufuru kufanya hivyo sababu Mungu ameumba watu tutembee kwa miguu ardhini.
Lakn leo yametimia na kila mtu anatumia usafiri huo....hope hata watu wenye mitazamo kama yako wataambuka sana likitimia hili na ndio watakuwa wa kwanza kutaka wake zao,watoto wao,wazazi wao wafufuliwe.
Anyway...time will heal the wound.
 
hakuna kitu apo kwa mtazamo wako inaelekea una upeo mdogo sana wa kufikiria!
Ebu tueleze sasa wewe mwenye upeo mkubwa was kufikiria. Maana hata zamani walidai dunia ndo central ya universe lakini baadae wale waliofanya tafiti na kugundua sio kweli walikutwa na wakati mgumu kiasi cha kwamba wengine mpaka wakafungwa kwa kuambia mafundisho yao yapo kinyume na dini lakini Leo imethibitika kwamba jua ndio center ya universe. Kwa nini hili haliwezekani wakati watu wanaendelea na tafiti?
 
Ebu tueleze sasa wewe mwenye upeo mkubwa was kufikiria. Maana hata zamani walidai dunia ndo central ya universe lakini baadae wale waliofanya tafiti na kugundua sio kweli walikutwa na wakati mgumu kiasi cha kwamba wengine mpaka wakafungwa kwa kuambia mafundisho yao yapo kinyume na dini lakini Leo imethibitika kwamba jua ndio center ya universe. Kwa nini hili haliwezekani wakati watu wanaendelea na tafiti?
chezea uzushi wote lakini si ufufuo wa binadamu! kabla sijakwambia natakiwa niakikishe nimetengua hayo mawazo kwanza!na inamaana wewe ujui kuwa mtu akifa roho inatoweka?hakuna kufa na kurudi! akirudishwa na binadamu na akaishi tena basi ujue ilo ni jini na sioo binadamu! think big! ni Mungu pekee ndio anaweza fanya atakavyo sio sisi binadamu!
 
chezea uzushi wote lakini si ufufuo wa binadamu! kabla sijakwambia natakiwa niakikishe nimetengua hayo mawazo kwanza!na inamaana wewe ujui kuwa mtu akifa roho inatoweka?hakuna kufa na kurudi! akirudishwa na binadamu na akaishi tena basi ujue ilo ni jini na sioo binadamu! think big! ni Mungu pekee ndio anaweza fanya atakavyo sio sisi binadamu!
Ndio naamini hayo uliyoyasema nami pia naamini uwepo was mungu. Kwa nini unataka uzibound tafiti za kisayansi na maswala ya dini yaani mungu. Unajua dini(imani) na sayansi ni vitu viwili ambavyo vina conflict Sana? Unajua hata baadhi ya vitu ambavyo vipo kwenye vitabu vya dini vinaonekana haviwezakani katika uhalisia kiasi cha kwamba hufanya wengine kuhoji uwepo was mungu?.
 
Ndio naamini hayo uliyoyasema nami pia naamini uwepo was mungu. Kwa nini unataka uzibound tafiti za kisayansi na maswala ya dini yaani mungu. Unajua dini(imani) na sayansi ni vitu viwili ambavyo vina conflict Sana? Unajua hata baadhi ya vitu ambavyo vipo kwenye vitabu vya dini vinaonekana haviwezakani katika uhalisia kiasi cha kwamba hufanya wengine kuhoji uwepo was mungu?.
na ukiamini sana sayansi na ukaingia deep kivitendo! utajikuta mwishowe ni mshilikina na mnaaza kuungana na wachawi kuendelea kutafuta! sayansi hiy hiyo mwisho wake lazima utamwona shetani!maana wewe unaijua sayansi hii tuu lakini sayansi imegawanyika sana! hata magician wanaita ni sayansi! sasa kazi kwako! katika imani!
 
na ukiamini sana sayansi na ukaingia deep kivitendo! utajikuta mwishowe ni mshilikina na mnaaza kuungana na wachawi kuendelea kutafuta! sayansi hiy hiyo mwisho wake lazima utamwona shetani!maana wewe unaijua sayansi hii tuu lakini sayansi imegawanyika sana! hata magician wanaita ni sayansi! sasa kazi kwako! katika imani!
Sayansi na uchawi wapi na wapi mkuu. Sayansi kuthibitisha huwa inahitaji observation na experiments panapokuwa na utofauti kati ya theory na prediction kutokana na prac basi hio theory hutolewa ama hufanyiwa modification. na observation za sayansi huweza chukua mda mrefu sana. Mi nadhani ishu za imani zibaki pande yake na sayansi pia iwe na nafasi yake.
 
chezea uzushi wote lakini si ufufuo wa binadamu! kabla sijakwambia natakiwa niakikishe nimetengua hayo mawazo kwanza!na inamaana wewe ujui kuwa mtu akifa roho inatoweka?hakuna kufa na kurudi! akirudishwa na binadamu na akaishi tena basi ujue ilo ni jini na sioo binadamu! think big! ni Mungu pekee ndio anaweza fanya atakavyo sio sisi binadamu!
Aisee...kweli wewe upeo wako ni mkubwa kama wa majini...lo..!
 
na ukiamini sana sayansi na ukaingia deep kivitendo! utajikuta mwishowe ni mshilikina na mnaaza kuungana na wachawi kuendelea kutafuta! sayansi hiy hiyo mwisho wake lazima utamwona shetani!maana wewe unaijua sayansi hii tuu lakini sayansi imegawanyika sana! hata magician wanaita ni sayansi! sasa kazi kwako! katika imani!
Haya sasa....naona unazidi kuendeleza upeo wako mkubwa mkuu...!!!!!!
 
Sayansi na uchawi wapi na wapi mkuu. Sayansi kuthibitisha huwa inahitaji observation na experiments panapokuwa na utofauti kati ya theory na prediction kutokana na prac basi hio theory hutolewa ama hufanyiwa modification. na observation za sayansi huweza chukua mda mrefu sana. Mi nadhani ishu za imani zibaki pande yake na sayansi pia iwe na nafasi yake.
Ahahahaaaaaa....jamaa ni mweupe sana kichwani...sema anapenda ku_socialise kwenye mitandao ya kijamii...lakn hana upeo wa kuchangia hoja za hili jukwaa...namshauri aende mmu.
 
Hakuna haja ya kumfufua binadamu aliyekufa. Akishakufa aende zake..wengine waje.
 
Back
Top Bottom