Eshacky
JF-Expert Member
- Apr 26, 2011
- 965
- 244
<br />me ninaswal 1 .kama hauna mkopo inamaana hela ya kujikimu, stationary na accomodation unajtegemea au? naomba mnijuze!
<br />
kijana unataka 7500/= wamepewa wachache tu, nyie wengine subirien mafungu mengine ya bajeti. Teh teh, hii serikali ni sikivu wakuu.