<br /> <br / SOURCE OF DATA PLEASE<br /><br /> <br /><br /> fedha za kujikimu kwa maana ya msosi malazi stationary nk wanafunzi wote wanapata sawa tofauti inakuja kwenye fees tu so asilimia 90 ndo B ikimaanisha asilimia kumi ya ada utalipa mwenyewe na hiyo unaweza ukabana matumizi yako ukalipa sio hadi umbane mzee,unawaangalia na madogo uliowaacha home au vp