Didia
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 719
- 258
Wana JF. Nina kijana ambaye alipata division two katika mtihani wa form six na amechaguliwa kusoma uchumi ARDHI university.
Cha kushanganza kijana huyu kakosa mkopo kwa comment ya "NOT A PRIORITY" wakati kozi hiyo hiyo kuna vijana wamepata mikopo. Imenibidi kutafuta matokeo yao kwenye mtandao wengi wao wana division
three. Nilipofanya survey TEKU na UDOM nimekuta kozi hiyo hiyo wanamkopo. Mpaka sasa imechanganikiwa nashindwa nifanye nini kuwasaidia wazazi wa kijana huyu ikizingatiwa hawana uwezo wa kusomesha mtoto chuo kikuu.
Nifanyeje? NAOMBA USHAULI TAFAHARI
Cha kushanganza kijana huyu kakosa mkopo kwa comment ya "NOT A PRIORITY" wakati kozi hiyo hiyo kuna vijana wamepata mikopo. Imenibidi kutafuta matokeo yao kwenye mtandao wengi wao wana division
three. Nilipofanya survey TEKU na UDOM nimekuta kozi hiyo hiyo wanamkopo. Mpaka sasa imechanganikiwa nashindwa nifanye nini kuwasaidia wazazi wa kijana huyu ikizingatiwa hawana uwezo wa kusomesha mtoto chuo kikuu.
Nifanyeje? NAOMBA USHAULI TAFAHARI