someni sayansii'!,,, sera ya sayansi kupewa kipaumbele imekuwepo tangu mimi sijaanza chuo!,, na nimesoma course ya miaka mitano na nipo mtaani mwaka wa pili sasa!,, sembuse ninyi leo hii!!,,,someni sayansi vijana,, engineering, IT, architecture, microbiology, Chemistry, MD, orthopedix, mbn course kibao za sayansi, hazina hata watu???? Mnakimbilia sociology na political science, y????????
Suala sio kufuta art, bali serikali imeona uhaba wa wanasayansi. We fikiria, hata kukamuliwa jipu, kukwanguliwa mba/fungus kichwani, kuvimbiwa wagonjwa wanapelekwa india.
Mkuu taraibu unataka wasome kisha warudi mtaani kama wewe wasote?
Ila inasikitisha sana pale ambapo umesoma arts labda Hkl na umefaulu halafu mzazi hana uwezo kifedha lakini kozi zote unazoweza kwenda hazina mkopo wowote isitoshe education arts na biashara kama ada ni 1300000 basi unapewa 500000 tu.
dont mislead people ni T.C.U,
Hahahahah,c ndo anakoish?wewe umemuelewa ila unamdhihak,coz ye ameleta dhihaka
WanaJF kama mmesoma tcu guideline book wameonesha kila kozi katika kila chuo pamoja na mkopo unaoweza kupata. na kwa mkopo ni kwa kozi za science tu kwa arts na biashara hakuna mkopo hata kama ni education kwa biashara na arts ni 50% tu inatolewa. Sasa najiuliza je migomo itaisha vyuoni????
Tatizo likowapi? Huwezi kwenda kusoma mavitu yasiyokuwa na mchango katika uchumi kama kuogelea,mazingaombwe na mashairi halafu upewe mkopo, vilazaaaa!
UVILAZA huo uko katika nini?Tatizo likowapi? Huwezi kwenda kusoma mavitu yasiyokuwa na mchango katika uchumi kama kuogelea,mazingaombwe na mashairi halafu upewe mkopo, vilazaaaa!
yaan m2 anachanganua tu sentence kwa njia ya matawi,halafu 2mpe mkopo?acheni uvivu bana,watu hawatasoma bachelor sasa,nendeni diploma,maana ni cheap,waoneeni huruma wazazi,kweli mzazi ajibane kukusomesha tangu std 1 hadi form six,bado akulipie tena mamilioni chuoni,halafu ukimaliza huna kazi,unaanza kumbwerambwera 2 mjini,huku unajisifia na ka degree kako ka BA kiswahili sijui historia au kakiingereza
Hebu tujaribu reasoning kiasi,Kenya ili upate mkopo inakubidi usubiri kwa miaka miwili,Uganda mkopo sio tu kwa arts bali hata kwa sayansi ni ngumu mno hivyo ni wale masikini tu ndio wanaopata mikopo,wengine ni kujipanga kwenda mbele.Mzazi/mlezi akijua ana mtoto kidato cha 4(kwa Kenya) ama kidato cha 6 kwa (kwa Uganda) basi anaanza maandalizi mapema sana.Ile michango ya harusi na sherehe za birthdays wenzetu wa Kenya wanawekeza kwenye elimu ya watoto wao,hakuna michango ya kijinga kama hapa kwetu ya mtu kupokea kadi nne za michango ya harusi inayotaka kuanzia Tsh. 50,000 kwa kila kadi...imagine mzazi akiweka hizo hela kwenye benki yenye kutoa riba safi.
Suala la serikali kupunguza matumizi ya fedha kwenye elimu si sera ya CCM(Najua wale mliozoea wimbo wa mafisadi mtaguna au kuniita mimi magamba,I'm not one).Kwenye ripoti za benki ya dunia na IMF serikali imeshauriwa ipunguze matumizi ya fedha kwenye elimu ambayo kwa sasa ni karibu asilimia ishirini ya bajeti yetu,hii kwa wale waliosoma uchumi watakubaliana na mimi kuwa it is a right move towards the right direction.
Siasa zimeingia kwenye elimu.