TCU-CAS msaada tafadhali

MKINDE

Member
Aug 16, 2012
43
45
Habari za muda huu ndugu zangu. Mimi nilimjazia mdogo wangu vyuo kupitia CAS TCU tangu tarehe 27/7/2014 nilimjazia course nne nikaacha moja ili nikipata chuo kingine nije nijaze tena lakini kilichotokea ni kwamba leo nimeingia kwenye akaunti sijakuta hata cozi moja. nikajaza upya ila kinachotokea kwa sasa ni kwamba system inahitaji nijaze cozi nne tu na siyo tano tena. TATIZO NI NINI NAOMBENI MSAADA JAMANI PIA KAMA MNAZIJUA NAMBA ZA SIMU ZA TCU HELP DESK NAOMBENI MNISAIDIE NDUGU ZANGU ILI NIWEZE KUWASILIANA NAO.
 
Habari za muda huu ndugu zangu. Mimi nilimjazia mdogo wangu vyuo kupitia CAS TCU tangu tarehe 27/7/2014 nilimjazia course nne nikaacha moja ili nikipata chuo kingine nije nijaze tena lakini kilichotokea ni kwamba leo nimeingia kwenye akaunti sijakuta hata cozi moja. nikajaza upya ila kinachotokea kwa sasa ni kwamba system inahitaji nijaze cozi nne tu na siyo tano tena. TATIZO NI NINI NAOMBENI MSAADA JAMANI PIA KAMA MNAZIJUA NAMBA ZA SIMU ZA TCU HELP DESK NAOMBENI MNISAIDIE NDUGU ZANGU ILI NIWEZE KUWASILIANA NAO.
Ingia kwenye akaunti yake,halafu nenda kwenye SELECTED PROGRAMS,ikifunguka shuka hadi chini ile sehemu wameandika 'CLEAR MY APPLICATION' clik hapo,Baada ya kuclear,log out.Then log in tena,sasa safari hii ujaze course zote tano at the same time then uzisave kwa pamoja,usiache nafasi.ukijaza pungufu ya tano,tatizo ilo litakua ivoivo.
 
nimejaribu kufanya hivyo muda huu zimegoma tena bado zinaonekana zilezile nne. tatizo linaweza kuwa ni nini? naombeni msaada jamani ndugu zangu
 
Kwanini unajaza nusunusu? Pia hayo mamlaka ya kumjazia kozi mdogo wako umeyatoa wapi? Unajua madhara yake?
 
Kwanini unajaza nusunusu? Pia hayo mamlaka ya kumjazia kozi mdogo wako umeyatoa wapi? Unajua madhara yake?

Kumjazia mtu hilo sio tatzo,
Sasa wewe unataka kubadilisha mada yau huyu Ndugu mwenye uhitaji wa msaada. Ukiona huna point ni afadhari upite mbali na sio kuandika upuuzi.
Kaka kwa kukusaidia jaribu kutulia kwa mda afu jaribu tena. Jana kuna mtu alakua amepatwa na tatzo kama lako ila baada ya mda kidogo mambo yakakaa vzuri. Nadhan jaribu kufuata maagizo ya huyo mdau wa kwanza kabsa hapo juu.
Ni hayo tu.
 
Kumjazia mtu hilo sio tatzo,
Sasa wewe unataka kubadilisha mada yau huyu Ndugu mwenye uhitaji wa msaada. Ukiona huna point ni afadhari upite mbali na sio kuandika upuuzi.
Kaka kwa kukusaidia jaribu kutulia kwa mda afu jaribu tena. Jana kuna mtu alakua amepatwa na tatzo kama lako ila baada ya mda kidogo mambo yakakaa vzuri. Nadhan jaribu kufuata maagizo ya huyo mdau wa kwanza kabsa hapo juu.
Ni hayo tu.

umesomeka kiongozi.
 
Back
Top Bottom