Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,320
Leo TBC waketoa habari ya mnajimu mkuu wa kambi ya upinzani akieleza kuwa alishaandika barua ya kutaka maelezo kwa shibuda.
TBC walisema kuwa wameomba maelezo hayo kutokana na maoni ya watu wengi hasa kwenye mitandao kutaka shibuda afukuzwe uanachama. Wakati wanaeleza hayo ilionekana picha waliyoshoot kwenye laptop ambayo ilikuwa inadisplay ile thread ya kunusu matamshi ya Shibuda kwenye JF. Walivyoscroll down ilionekana kuwa ilikuwa inaruhusu replay, kumaanisha kuwa user alikuwa member wa JF.
Hii inamaanisha kumbe hata maoni tunayotoa kuhusu TBC yanasomwa, ila sijui kama yanafanyiwa kazi.
TBC walisema kuwa wameomba maelezo hayo kutokana na maoni ya watu wengi hasa kwenye mitandao kutaka shibuda afukuzwe uanachama. Wakati wanaeleza hayo ilionekana picha waliyoshoot kwenye laptop ambayo ilikuwa inadisplay ile thread ya kunusu matamshi ya Shibuda kwenye JF. Walivyoscroll down ilionekana kuwa ilikuwa inaruhusu replay, kumaanisha kuwa user alikuwa member wa JF.
Hii inamaanisha kumbe hata maoni tunayotoa kuhusu TBC yanasomwa, ila sijui kama yanafanyiwa kazi.