Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,611
- 8,739
Kosa nilifanya ujana wangu Kuzaa na msichana ambaye imani yake upande wa kislamu japo na mpenda na bado ni mzazi mwenzagu na hakikisha mtoto na mama yake kuwa capacity think japo na mke sasa halali wa imani yangu.
Tukirudi nyuma nchi yetu inapata uhuru wale wazee wa waliokuwa wakipigania uhuru kama historia ya mzee wetu hapa JF wa kariakoo akieleza waislamu walivotafuta uhuru ni ukweli kabisa ila wengi wao kama kichwa cha habari nilivosema.
Tunaweza kumlaumu kuendekeza udini kama mada zake ila ndio kichwa cha habari kinavosema. Kuna kitu wanachotumia kwenye imani kinaitwa chambo?
Chambo ndio inatumiwa sana ili kuonesha wao ni bora ndio maana walimtumia nyerere kama sample.
Usije shangaa kuona wanaojiripua kwenye mabomu au kuweka kambi sehemu ambazo sio wahusika sababu ni chambo.
Ukifatilia maoni mengi kuhusu nchi jambo la kitaifa utaona maoni yao ni yenye upeo mdogo sana au sababu sio yenye imani yao.
Nilishangaa kuona kuna cd inasema mahuaji ya rwanda ni uislamu wakati ni vita vya siasa na ukabila.
Lengine dini kuchanganywa na serikali ili kuendeshwa sababu ya wazo la mtu mmoja tu.
Kama mnabisha mnaweza kuweka picha za maoni yoyote kwenye JF,facebook,youtube na n.k wanavochangia mijadala.
Tukirudi nyuma nchi yetu inapata uhuru wale wazee wa waliokuwa wakipigania uhuru kama historia ya mzee wetu hapa JF wa kariakoo akieleza waislamu walivotafuta uhuru ni ukweli kabisa ila wengi wao kama kichwa cha habari nilivosema.
Tunaweza kumlaumu kuendekeza udini kama mada zake ila ndio kichwa cha habari kinavosema. Kuna kitu wanachotumia kwenye imani kinaitwa chambo?
Chambo ndio inatumiwa sana ili kuonesha wao ni bora ndio maana walimtumia nyerere kama sample.
Usije shangaa kuona wanaojiripua kwenye mabomu au kuweka kambi sehemu ambazo sio wahusika sababu ni chambo.
Ukifatilia maoni mengi kuhusu nchi jambo la kitaifa utaona maoni yao ni yenye upeo mdogo sana au sababu sio yenye imani yao.
Nilishangaa kuona kuna cd inasema mahuaji ya rwanda ni uislamu wakati ni vita vya siasa na ukabila.
Lengine dini kuchanganywa na serikali ili kuendeshwa sababu ya wazo la mtu mmoja tu.
Kama mnabisha mnaweza kuweka picha za maoni yoyote kwenye JF,facebook,youtube na n.k wanavochangia mijadala.