minda
JF-Expert Member
- Oct 2, 2009
- 1,068
- 65
Minda
Naunga mkono hoja yako, hivi vyombo naona haswa ni fedha kwa kipindi hiki cha mavuno wenyewe wanasema, wanajua kabisa jamaa wana hela hivyo wanajitahidi kuipata.
TBC wao ni kazi yao kwa uelewa wao !! na watangazaji wengine ni kujaribu kuona kama watakumbukwa na mafisadi (opportunists)
Hivi vingine ndo kama unavyosema kuogopa kuhujumiwa.
asante kwa kuliona hilo.