manash
Member
- Nov 10, 2013
- 6
- 1
Habari wadau!
Natumia macbook pro 2015 with retina, ilikuwa inakata na chako kwa saa 10 mpaka 12 lakin ghafla imeanza kupoteza uwezo wa kukaa na chaj mpaka kufikia kukaa na chaj kwa saa 1 mpaka 2!
Tatizo linaweza kuwa ni nini? Na je nifanye kutatua tatizo hili?!
Natanguliza shukrani.
Natumia macbook pro 2015 with retina, ilikuwa inakata na chako kwa saa 10 mpaka 12 lakin ghafla imeanza kupoteza uwezo wa kukaa na chaj mpaka kufikia kukaa na chaj kwa saa 1 mpaka 2!
Tatizo linaweza kuwa ni nini? Na je nifanye kutatua tatizo hili?!
Natanguliza shukrani.