The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,003
- 3,269
Mmh! Mwanakijiji wakati mwingine bwana! Hoja zake zimekaa mshazari.
Wewe ongea/andika tu mbele ya laptop. Mimi nakula vumbi huku uswekeni. Nakuhakikishia wananchi wetu hakuna wanaloelewa. Wapo wapo tu. Kutumia kigezo cha kura za Mrema 1995, hiyo ni flaw mzee wangu. Kama wananchi wangekuwa wana uelewa, Mrema hakustahili kura, kwani hakuwa kiongozi mzuri. Alikuwa dikteta, na ndumila kuwili.
Wewe ongea/andika tu mbele ya laptop. Mimi nakula vumbi huku uswekeni. Nakuhakikishia wananchi wetu hakuna wanaloelewa. Wapo wapo tu. Kutumia kigezo cha kura za Mrema 1995, hiyo ni flaw mzee wangu. Kama wananchi wangekuwa wana uelewa, Mrema hakustahili kura, kwani hakuwa kiongozi mzuri. Alikuwa dikteta, na ndumila kuwili.