Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

Wakati wa ujauzito, hata ukiumwa malaria unatakiwa uende kwa gynaecologist wako. Ndio maana kabla ya speciality nyingi lazma upitie u-general physician.
Mpeleke kwa daktari anaemu-atend. Kumbuka madawa mengine yana madhara kwa mtoto. Ya kienyeji ndio kabisaa manake dozi zake ni tatizo.
Pole sana, sio ajabu sana. Otherwise chupi zake azifue na kuanika juani hadi zikauke vizuri na atumie za cotton (preferably nyeupe)
 
km za kwenye mashine muwahi Hospital akapate Dose ya Cypro la sivyo mtampoteza mtoto, na ulikuwa unaingiaje bila kushtukia?
Du samahani kwani ni fungus za wapi? nilisahau kuuliza kabla ya kutiririka

Dah!Nimejikuta nacheka sana hapo kwenye red
 
Mbona hujataja ulaji wenyewe?Anyway Koteconazole tablets ni best sana.Pata vidonge 30(kwenye blista) kimoja kila siku.
 
Kwanza kabisa ahakikishe havai nguo za ndani za muda mrefu,yaani kama alikua ana nguo za ndani alizotumia kwa muda mrefu azitupe au azichemshe kwenye maji ya moto sana atleast 20 mn.Pia ahakikishe kwenye nyeti zake anakua mkavu mara kwa mara.Then atumie anti-fungal instantly.
 
umeniwahi hiyo kitu au LIMAO ule mchuz wke hakuna hamna mdudu anayeweza kuishi siku mbili tu!
Iliniponesha U.T.I kwa siku mbili tu! Nikarudia kupima mara mbili mbili naambiwa mkojo wako safi siaminigi!

ulii2miaje sasa kwa kunyunyuza kunako au coz weng tunasumbuliwa na hayo maradhi
 
Fungus wana tabia ya kutoweka ndani ya muda mfupi sana na baada ya kipindi fulani wanarudi tena. Hiyo inatokana na poor treatment hasa kama umetumia dawa na hujatumia jinsi inavyotakiwa kuwamaliza kabisa au wakati mwingine zile nguo zinakuwa bado zinazo fungus. Kwa hiyo inakuwa kama mchezo fulani wa kufukuza kidogo na baadaye wanarudi tena. Hakikisha ukitumia dawa pamoja na nguo zote ulizokuwa unatumia na zenyewe unazifanyia kazi ili kutokomeza kabisa. healthwealthfirst@gmail.com
 
waheshimiwa sana memba wa jukwaa hili.
Nimesumbuliwa kwa muda wa mwaka sasa na fangasi na sijaona dalili za kupona.
Zipo karibu na korodani na sasa naona zimeanza kukamata korodani pia.
Kwa dar hii wapi naweza pata huduma bora na za uhakika.
Ningependelea hosp private.
asanteni sana
 
Mkuu Kiluwiluwi, POLE...Unajua Magonjwa mengi leo, yametokana na mtindo wa maisha(Lifestyle), hii ikiwa na maana, magonjwa mengi ikiwemo Fungus(Fungi) yanaweza kuzuilika iwapo tutabadili mitindo ya maisha hada uvaaji kama vile kupunguza nguo nyingi/nzito mfano leo hii vijana wengi pamoja na nguo za ndani(boxer) huvaa kaptula moja au mbili na kisha suruali/jeans na kina dada pia huvaa nguo za ndani(bikini,/G-string)na kuongezea nyingine, skin tight/ underskirt na kisha skirt/jeans nk.

Kwa kawaida kila eneo la mwili lina bacteria wasio na madhara(Normal flora) na hawa hubadilika na kuleta magonjwa pale joto linapozidi(kwa wanaume) na mabadiliko ya siku za mwezi(mzunguko) na joto linapozidi(kwa wanawake).

-Punguza kuvaa nguo nyingi (hii hupunguza joto)
-Usivae nguo za ndani zilizo mbichi
-Hakikisha hutumii sabuni kali(Antibacteria), .kwa mfano
mtu hana tatizo la bacteria katika sehemu za siri, na
anang'ang'ana kutumia ANTIBACTERIAL SOAPS, ili
iweje?
- Fika katika kituo cha Afya/ Hospitali uonapo dalili za
muwasho, kubadilika kwa rangi ya ngozi n.k

FUNGUS SUGU:
Mara nyingi wagonjwa hulalamika, nilitumia dawa ikaisha na sikupona, hii hutokana na kwamba nguo za ndani hazipaswi kuchanganywa na nguo zozote na hivyo mara baada ya kupata matibabu.
1.Hupaswi kurudia nguo za ndani za zamani.
2.Hupaswi kuchanganya nguo za ndani na nyingine hasa
socks.
3.Nguo za ndani zinapaswa kufuliwa na kisha kuanikwa
katika mwanga wa Jua au kupigwa pasi kwa moto mkali
kwa muda mfupi.
4.Epuka kutumia sabuni zinazoweza kuua bacteria wenye
kuleta kinga(Normal flora), yaani antibacteria mathalani
ukiwa huna tatizo lolote.
 
Mkuu majogajo, POLE....Unajua Magonjwa mengi leo, yametokana na mtindo wa maisha(Lifestyle), hii ikiwa na maana, magonjwa mengi ikiwemo Fungus(Fungi) yanaweza kuzuilika iwapo tutabadili mitindo ya maisha hada uvaaji kama vile kupunguza nguo nyingi/nzito mfano leo hii vijana wengi pamoja na nguo za ndani(boxer) huvaa kaptula moja au mbili na kisha suruali/jeans na kina dada pia huvaa nguo za ndani(bikini,/G-string)na kuongezea nyingine, skin tight/ underskirt na kisha skirt/jeans nk.

Kwa kawaida kila eneo la mwili lina bacteria wasio na madhara(Normal flora) na hawa hubadilika na kuleta magonjwa pale joto linapozidi(kwa wanaume) na mabadiliko ya siku za mwezi(mzunguko) na joto linapozidi(kwa wanawake).

-Punguza kuvaa nguo nyingi (hii hupunguza joto)
-Usivae nguo za ndani zilizo mbichi
-Hakikisha hutumii sabuni kali(Antibacteria), .kwa mfano
mtu hana tatizo la bacteria katika sehemu za siri, na
anang'ang'ana kutumia ANTIBACTERIAL SOAPS, ili
iweje?
- Fika katika kituo cha Afya/ Hospitali uonapo dalili za
muwasho, kubadilika kwa rangi ya ngozi n.k

FUNGUS SUGU:
Mara nyingi wagonjwa hulalamika, nilitumia dawa ikaisha na sikupona, hii hutokana na kwamba nguo za ndani hazipaswi kuchanganywa na nguo zozote na hivyo mara baada ya kupata matibabu.
1.Hupaswi kurudia nguo za ndani za zamani.
2.Hupaswi kuchanganya nguo za ndani na nyingine hasa
socks.
3.Nguo za ndani zinapaswa kufuliwa na kisha kuanikwa
katika mwanga wa Jua au kupigwa pasi kwa moto mkali
kwa muda mfupi.
4.Epuka kutumia sabuni zinazoweza kuua bacteria wenye
kuleta kinga(Normal flora), yaani antibacteria mathalani
ukiwa huna tatizo lolote.
 
Mkuu POLE, ...Magonjwa mengi leo, yametokana na mtindo wa maisha(Lifestyle), hii ikiwa na maana, magonjwa mengi ikiwemo Fungus(Fungi) yanaweza kuzuilika iwapo tutabadili mitindo ya maisha hada uvaaji kama vile kupunguza nguo nyingi/nzito mfano leo hii vijana wengi pamoja na nguo za ndani(boxer) huvaa kaptula moja au mbili na kisha suruali/jeans na kina dada pia huvaa nguo za ndani(bikini,/G-string)na kuongezea nyingine, skin tight/ underskirt na kisha skirt/jeans nk.

Kwa kawaida kila eneo la mwili lina bacteria wasio na madhara(Normal flora) na hawa hubadilika na kuleta magonjwa pale joto linapozidi(kwa wanaume) na mabadiliko ya siku za mwezi(mzunguko) na joto linapozidi(kwa wanawake).

-Punguza kuvaa nguo nyingi (hii hupunguza joto)
-Usivae nguo za ndani zilizo mbichi
-Hakikisha hutumii sabuni kali(Antibacteria), .kwa mfano
mtu hana tatizo la bacteria katika sehemu za siri, na
anang'ang'ana kutumia ANTIBACTERIAL SOAPS, ili
iweje?
- Fika katika kituo cha Afya/ Hospitali uonapo dalili za
muwasho, kubadilika kwa rangi ya ngozi n.k

FUNGUS SUGU:
Mara nyingi wagonjwa hulalamika, nilitumia dawa ikaisha na sikupona, hii hutokana na kwamba nguo za ndani hazipaswi kuchanganywa na nguo zozote na hivyo mara baada ya kupata matibabu.
1.Hupaswi kurudia nguo za ndani za zamani.
2.Hupaswi kuchanganya nguo za ndani na nyingine hasa
socks.
3.Nguo za ndani zinapaswa kufuliwa na kisha kuanikwa
katika mwanga wa Jua au kupigwa pasi kwa moto mkali
kwa muda mfupi.
4.Epuka kutumia sabuni zinazoweza kuua bacteria wenye
kuleta kinga(Normal flora), yaani antibacteria mathalani
ukiwa huna tatizo lolote.
 
Ndugu yangu Pole.
Nakubaliana na mtoa maelezo hapo juu ingawa siyo yote. Kwanza ukienda mbeya au Kilimanjaro au kwa wale walioko Ulaya huwa hawasumbuliwi sana na fungus kwa sababu ya ubaridi. Hii ina maana gani?. Joto la Dar linafanya pawepo na majimaji kati ya mapaja, na hali hiyo inawafanya fungi kuongezeka kwa urahisi. Angalia pia wavaa viatu kwa muda mrefu huko Dar, pia wanasumbuliwa na fungus kwenye vidole. Ushauri wangu ni
1. Fika kwa Daktari ili adbitishe kuwa ni Fungus (IDC karibu na trafic police kuwa Clinic
2. Fanya njia yeyote, kupunguza unyevunyevu kati ya mapaja yako, kwa kuvaa nguo sizisobana, wakati mwingine tumia powder, kama unaweza usiku ulale bila chupi !!!!!
3. kwa sababu fungus wanakua polepole tumia dawa utakayopewa na daktari kwa wiki 6-8
Nakutakia kupona kwema.
 
waheshimiwa sana memba wa jukwaa hili.
Nimesumbuliwa kwa muda wa mwaka sasa na fangasi na sijaona dalili za kupona.
Zipo karibu na korodani na sasa naona zimeanza kukamata korodani pia.
Kwa dar hii wapi naweza pata huduma bora na za uhakika.
Ningependelea hosp private.
asanteni sana

Pole sana kwa tatizo lako. Fungus wana tabia ya kuondoka muda sii mrefu sana ukitumia dawa lakini ukaja kushangaa tena baada ye muda wanaanza tena. Hiyo hutokana na kutokuwa wameondoka kabisa au kama waliondoka kabisa basi mtu anakuwa bado anatumia nguo na shuka zile zile bila kujua pia wanakuwepo huko. Hakikisha ukimaliza kutumia dawa ikiwezekana kama ni nguo za ndani ulizokuwa ukivaa tupa kabisa na uwe na nguo mpya. ukiweza hakikisha unatumia dawa na sabuni ili kuua wote ktk nguo pia. Wanakera sana. Tuwasiliane pia kwa ushauri zaidi pia nina dawa za asili isiyo na kemikali kwa ajili ya kuondoa fungus wa aina zote. Bei zake ni rahisi pia. healthwealthfirst@gmail.com pia 0713889162
 
ulii2miaje sasa kwa kunyunyuza kunako au coz weng tunasumbuliwa na hayo maradhi


chukua limao 1
na maji lita 1hadi 1 na 1/2
kamulia limao lenye mchuzi kwenye maji
kunywa hayo taratiiiibu ukiwa umeshakula chakula cha usiku unajiandaa kwenda kulala pale ambapo huwa unaangalia tv,kuchat .n.k
hakikisha trip za kukojoa hazpungui
bas kwa siku mbili utaanza kuona matokeo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom