huu ni ugonjwa unaitwa chawa hasa hutokana na kulogwa sio tatizo linalotibika hospitali. kuwa makini na jamii inayokuzunguka. njoo dm kupata dawaMkuu Mzizimkavu asante kwa msaada unaoutoa hapa jamvini, mimi nina tatizo la kuwashwa mwili/ kuchomachoma hasa pale joto la mwili linapoanza kuongezeka mf. Nikiwa naota moto/jua/nikifanya mazoezi, hali hii ya mwili kuwasha hudumu kwa kipindi kisichozidi nusu SAA then baada ya hapo hali ya kawaida hurejea...
Baada ya muwasho hutokea VIDOTI vidogo hasa kwenye mikono na baadae hupotea...
Hali ya ngozi yangu ni kama ina MBA, msaada wako tafadhali sana ni ugonjwa gani huu unaonisibu coz umedumu kwa muda sasa
Huyu anatakiwa afanye cultureAsante kwa ushauri. Ameonana na wataalam hao ndo waliomwandikia dawa hizo mbalimbali zikiwemo za kumeza, kupaka na kupachika. Anapona kwa muda halaf tatzo linajirudia,
🙄🤔DuhAisee tuendelee kuchukua tahadhari usikubali kufanya mapenzi gizani make sure kama mwanaume unaona unapoingia na kama mwanamke unaona kinachoingia.
Aisee nimekutana na mtu amebabuka kwenye mapaja ni kama vidonda aisee hizi tamaa za mwili zinanipeleka kubaya.
MYCOTA POWDER inafaa kutumika kutibu muwasho kwnye ngozi ya korodani?
Wakuu Kuna mwanaume anatatizo la vidonda vidogovidogo katika sehem zake na uvimbe je tatizo nn na ataponaje?
Katika nature ,tatizo la vidonda au fungus , hutokana na sumu moja tunaita Hot toxin or hot dampness toxin to arrest skin and block blood circulation
Tunahitaji ku clear hot toxin or dampness toxin , pia tunahitaji kuhakikisha mzunguko wa damu unakaa sawa kwa kuvunja Blockage/ uvimbe ili kwezesha damu kufikia eneo lenye shida hivyo kupeleka Nutrients na kuponya vidonda !
Lakini tupigie tutamfanyia diagnosis kwa njia ya questionnaire ili tujue exactly shida nini ,na ikoje ,ili kutoa dawa sahihi zaidi na kuondoa tatizo !
Atakuwa sawa !
Simu : +255757577995
View attachment 2940164
Wajina hebu niambie uke anaukaushaje?Cha msingi nenda hospitali uonane na dokta. Pia hakikisha unavaa nguo safi na kavu ukibadilisha chupi kila siku pia uhakikishe kabla ya kuvaa nguo umekausha sehemu hizo nyeti. Zingatia kupasafisha vizuri, ondoa mapovu ya sabuni na kausha vizuri pia.
Wakuu Kuna mwanaume anatatizo la vidonda vidogovidogo katika sehem zake na uvimbe je tatizo nn na ataponaje?