Ni vizuri wanawake wabadilike kwa kuacha KUANIKA NGUO ZAO ZA NDANI sehemu ambazo unyevu utadumu kwa zaidi ya saa 1.
B. Hakikisha UNA PIGAPASI VYUPI VYAKO kabla ya KUVAA.
C. USICHANGIE CHUPI NA MWANAUME hata kama MUMEO.
D. BADILISHA CHUPI mara 3 - 4 kwa kutwa au MARA UNAPOHISI UNYEVUNYEVU
Pole sana, hiyo inaitwa vaginal candidiasis. Inaweza kutibiwa kwa dawa za kuweka Kama clotrimazole, gynozol vaginal cream ama gelatin capsules. Kuwa msafi, cotton under pants. Kama kuna uchafu wenye harufu wewe na partner wote mwatakiwa kumwona daktari na kupata matibabu! Pia uchunguzi Wa saratani ya shingo ya kizazi ni muhimu kwa kila mwanamke mwenye mahusiano ya tendo la ndoa angalau mara Moja kila mwaka
Pole na bibie pia au ni wewe tuu peke yako.ebu tumia hiyo dawa ulopewa hapo juu ikifaa utujulishe.
Nimemuliza kama anaeumwa ni yeye peke yake au na mkewe/mchumba wake pia najua kama yeye ni mume..Jaman nadhan swali kwa mkuu ni kwamba yeye ni mwanaume au mwanamke?!
Manake majibu ya gizani haya unaweza kuambulia BAN!!
hahaha hahahaha
Pole sana, hiyo inaitwa vaginal candidiasis. Inaweza kutibiwa kwa dawa za kuweka Kama clotrimazole, gynozol vaginal cream ama gelatin capsules. Kuwa msafi, cotton under pants. Kama kuna uchafu wenye harufu wewe na partner wote mwatakiwa kumwona daktari na kupata matibabu! Pia uchunguzi Wa saratani ya shingo ya kizazi ni muhimu kwa kila mwanamke mwenye mahusiano ya tendo la ndoa angalau mara Moja kila mwaka
Pole na bibie pia au ni wewe tuu peke yako.ebu tumia hiyo dawa ulopewa hapo juu ikifaa utujulishe.
Nimemuliza kama anaeumwa ni yeye peke yake au na mkewe/mchumba wake pia najua kama yeye ni mume..
Pole sana, hiyo inaitwa vaginal candidiasis. Inaweza kutibiwa kwa dawa za kuweka Kama clotrimazole, gynozol vaginal cream ama gelatin capsules. Kuwa msafi, cotton under pants. Kama kuna uchafu wenye harufu wewe na partner wote mwatakiwa kumwona daktari na kupata matibabu! Pia uchunguzi Wa saratani ya shingo ya kizazi ni muhimu kwa kila mwanamke mwenye mahusiano ya tendo la ndoa angalau mara Moja kila mwaka