The blessed one1
Member
- Dec 13, 2023
- 30
- 106
Wakuu,
Ni muda sasa kumekuwa na fangasi kwenye pumbu zangu lakini sikuchukulia serious , kila nilipofatilia naambiwa ni usafi tu , basi naongeza usafi na precaution zingine huku maisha yakiendelea.
Nimeishia nayo kama miaka sita hivi.
Rate ya kueneaa kwake ilikuwa ndogo tu lakini kilichonistua saizi hakuna dalili za kupona.
Sasa naona zimeanza kupanda kwenye ngozi ya penis hadi kuingia kwenye mlija wa kutolea mkojo sehemu ya juu , hili jambo linaniogopesha sana😭
Nimeenda famasi wiki mbili zilizopita nimepewa vidonge na dawa ya kupaka , Ile inayofanana na dawa ya mswaki. lakini hadi sasa sioni maendeleo yoyote
Wakuu kwanza naombeni kufahamu ikiwa hii itaathiri uwezo wangu wa kiume.
Muhimu zaidi naombeni mnisaidie njia sahihi na ya harakszaidi ya kutatua hatari hii wakuu, naombeni sana.😭😭😭
Ni muda sasa kumekuwa na fangasi kwenye pumbu zangu lakini sikuchukulia serious , kila nilipofatilia naambiwa ni usafi tu , basi naongeza usafi na precaution zingine huku maisha yakiendelea.
Nimeishia nayo kama miaka sita hivi.
Rate ya kueneaa kwake ilikuwa ndogo tu lakini kilichonistua saizi hakuna dalili za kupona.
Sasa naona zimeanza kupanda kwenye ngozi ya penis hadi kuingia kwenye mlija wa kutolea mkojo sehemu ya juu , hili jambo linaniogopesha sana😭
Nimeenda famasi wiki mbili zilizopita nimepewa vidonge na dawa ya kupaka , Ile inayofanana na dawa ya mswaki. lakini hadi sasa sioni maendeleo yoyote
Wakuu kwanza naombeni kufahamu ikiwa hii itaathiri uwezo wangu wa kiume.
Muhimu zaidi naombeni mnisaidie njia sahihi na ya harakszaidi ya kutatua hatari hii wakuu, naombeni sana.😭😭😭