Tatizo kwenye Whatsapp

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Sep 6, 2014
6,170
7,661
Habarini,

Mimi natumia simu aina ya HUAWEI Y 330 line mbili, nikajiunga kutumia line zote mbili whatsapp katika cmu moja na nikawa natumia vizuri tuu bila matatizo sasa tatizo linalo nikumba saa hizi ni kwamba nikiwa "home" pale kwenye cm.... sms za whatsapp zikiingia simu haioneshi wala notification hamna wala ile alama ya whatsapp inayo kuwa inaonekana pale juu.

Wakati sipo online haionekani sahizi...sms zinaingia kimya kimya mpaka niingie whatsapp ndo naona kuwa kuna text nimetumiwa hii ina niadhiri nakuwa nachelewa sana kujibu text za watu mpaka niwe online ndo nione text nilizo tumiwa sasa sijajua tatizo ni nn kwamba kuna sehemu nilibonyeza bila kujua au vipi tafadhari naombeni msaada....
 
Naombeni kusaidiwa

Bofya MENU button kwenye simu yako kisha nenda Settings>>>>Notifications

Huko lazima utaona shida yako
 

Attachments

  • 1413293824917.jpg
    1413293824917.jpg
    20.8 KB · Views: 292
Sasa kaka hapa ina kuaje nimeshindwa kujua wapi kwa ku click
 

Attachments

  • 1413304357859.jpg
    1413304357859.jpg
    43.6 KB · Views: 222
Kaka hapo nimefanikiwa thankx much zilokuwa restricted.....hv zikiwa restricted ina saidia nn kaka

Kuna watu hawapendi disturbances hivo hii feature ya ku restrict notification inawasadia incase hawana moof ya kuchat
 
Na mie naomba nisaidiwe jins ya kutumia wasap kwa namba mbili tofauti kwenye simu ya line mbili...galaxy grand duos
 
Na mie naomba nisaidiwe jins ya kutumia wasap kwa namba mbili tofauti kwenye simu ya line mbili...galaxy grand duos

Simply kk fanya hv

Uninstall hiyo offical whatsapp unayo tumia sahz

Den nenda kwenye memory card yako kwenye file la whatsap change lisomeke OGwhatsap


Den download OGwhstsap ukisearch google waipata

Ukisha download OGAWhatsap register ile namba ulio kuwa unatumis mara ya kwanza kwenye offical whatsap ukimaliza kuregister

Download ile whatsapp ya kwnza ambayo uli uninstall mara kwanza (offical) den register na namba ya pili unayo taka kutumiaa

Hapo umemaliza
 
Simply kk fanya hv

Uninstall hiyo offical whatsapp unayo tumia sahz

Den nenda kwenye memory card yako kwenye file la whatsap change lisomeke OGwhatsap


Den download OGwhstsap ukisearch google waipata

Ukisha download OGAWhatsap register ile namba ulio kuwa unatumis mara ya kwanza kwenye offical whatsap ukimaliza kuregister

Download ile whatsapp ya kwnza ambayo uli uninstall mara kwanza (offical) den register na namba ya pili unayo taka kutumiaa

Hapo umemaliza

Shukrani kaka ..nitafanya hivyo!!ubarikiwe
 
Asante wakuu kwa kutupatia msaada wa kiteknolojia. Pia mimi naomba, msaada nammna ya ku instal whatsapp ktk simu yangu. Natumia NOKIA E 63, nime Install Whatsapp tayari ila inapofika ku agree terms & condition haikubali inaniandikia Initiolizing. Msaada please.
 
mkuu@njunwa wamavoko pole na majukum mkuu,naomb msaada wako cm yangu ni R7 TECNO folder hazifunguki zaid ya hii jf na whatsapp, tatizo ni nin naomba msaada.
 
Back
Top Bottom