Tathmini: M4C Fundraising Dar wapi hapakuwa sawa na nini Kifanyike

Kwenye kauli zake na kampeni zake mashuhuri duniani, mweshimu miwa barack obama alikuwa akitumia slogan ya yes we can. Nashangaa kama jamaa anafikiri bado watanzania hawana TV, nitanukuu kauli yake ya jana mara baada ya nassari kuongea alisema "YES WE CAN" mbona sioni kauli hata moja ya wanachadema. hivi siyo kwamba Mbowe bado anamwigiza OBAMA?embu wadau tuwaelimishe hawa wasanii


Eti mshauri wake anaitwa Leticia Nyerere na anakaa Maryland karibu ya Washington na huo ndio ushauri aliomletea.
 
mtoa mada jipange upya kwani obama ndie aliye create hayo maneno............... kila mtu ana uwezo wa kutumia kanuni yoyote.............
 
Nadhani mwandishi wa thread hii ameshindwa kujenga hoja yetu kulingana na kichwa cha habari hiyo. Hata hivyo, pengine tulijadili la Movement for Change (M4C) ambayo mwandishi wa thread hiyo kabainisha (kwa ushaidi wa link ya website ya M4C ya huko Uingereza) kwamba ni taasisi ambayo imesajiliwa rasmi huko Uingereza kwa malengo yasiyokuwa na uhusiano wowote na CHADEMA!!!!! Je ni sahihi kwa CHADEMA kutumia jina hilo au acronym ya taasisi hiyo ya Wazungu kwa namna wanavyofanya? Ingia kwanza kwenye website hiyo (Movement for Change | Home)na kusoma yaliyopo kabla ya kukurupuka na majibu ya haraka haraka!!!!!!
 
Kwenye kauli zake na kampeni zake mashuhuri duniani, mweshimu miwa barack obama alikuwa akitumia slogan ya yes we can. Nashangaa kama jamaa anafikiri bado watanzania hawana TV, nitanukuu kauli yake ya jana mara baada ya nassari kuongea alisema "YES WE CAN" mbona sioni kauli hata moja ya wanachadema. hivi siyo kwamba Mbowe bado anamwigiza OBAMA?embu wadau tuwaelimishe hawa wasanii

kazi ya kichwa si kuotesha nywele tu...!! na wewe una ukoo na great thinker?? watoto wako wakisoma hii watathubutu kukukana kuwa wewe si baba yao...!!
 
Kwenye kauli zake na kampeni zake mashuhuri duniani, mweshimu miwa barack obama alikuwa akitumia slogan ya yes we can. Nashangaa kama jamaa anafikiri bado watanzania hawana TV, nitanukuu kauli yake ya jana mara baada ya nassari kuongea alisema "YES WE CAN" mbona sioni kauli hata moja ya wanachadema. hivi siyo kwamba Mbowe bado anamwigiza OBAMA?embu wadau tuwaelimishe hawa wasanii

TUONYESHE HATI MILIKI YA OBAMA....Tukiiona basi tutamwambie afuate taratibu na kumu- acknowledge kila anapotamka maneno hayo
 
Kwenye kauli zake na kampeni zake mashuhuri duniani, mweshimu miwa barack obama alikuwa akitumia slogan ya yes we can. Nashangaa kama jamaa anafikiri bado watanzania hawana TV, nitanukuu kauli yake ya jana mara baada ya nassari kuongea alisema "YES WE CAN" mbona sioni kauli hata moja ya wanachadema. hivi siyo kwamba Mbowe bado anamwigiza OBAMA?embu wadau tuwaelimishe hawa wasanii

Kweli hapa Jf tuna vichwa na vichwa!
 
Kwenye kauli zake na kampeni zake mashuhuri duniani, mweshimu miwa barack obama alikuwa akitumia slogan ya yes we can. Nashangaa kama jamaa anafikiri bado watanzania hawana TV, nitanukuu kauli yake ya jana mara baada ya nassari kuongea alisema "YES WE CAN" mbona sioni kauli hata moja ya wanachadema. hivi siyo kwamba Mbowe bado anamwigiza OBAMA?embu wadau tuwaelimishe hawa wasanii

Utaelimishaje bila wewe kuelimika. Maana kuna dalili kuwa walimu wako walifanikwa kukufikisha mwisho wa ukuta wa shule bila kuelimika
 
Kwenye kauli zake na kampeni zake mashuhuri duniani, mweshimu miwa barack obama alikuwa akitumia slogan ya yes we can. Nashangaa kama jamaa anafikiri bado watanzania hawana TV, nitanukuu kauli yake ya jana mara baada ya nassari kuongea alisema "YES WE CAN" mbona sioni kauli hata moja ya wanachadema. hivi siyo kwamba Mbowe bado anamwigiza OBAMA?embu wadau tuwaelimishe hawa wasanii

Ni mawazo yako lakini. Lete nyingine.
 
Siri nyingi tu zilifichuka. Watu walihudhukIlia iile hafla au walitoka kaskazini mwa nchi au aw asli ya huko kuashilia kwamba ni Chama cha Kabila fulani. Lazima watanzania tuwe makin tusije tukarudishwa katika Tanganyika kabla ya 1954. Hata waliochanga na kutangazwa ni kina Mushi toka Igunga au Massawe na wengineo. Hiyo ni Siri kuwa zaidi iliyofichuka zaidi hata kuliko kumwiigiza Obama kuhusu yes we can.
 
si tu yes we can,hata movement for change si yake.hatuwezi kuishi kwa kunukuu, hapo ni kuonesha kumhusudu mtu,na hii inaonesha udumavu wa ubunifu.na viongozi wa namna hii ni wa kuogopa,huyu ataiga mpaka kutoa mimba na sera nzima ya ushoga.inastusha kuona tukio kubwa la jana watendaji wakuu wote hawakuwepa,katibu mkuu slaa akuwepo na zitto ambaye ni katibu msaidizi.hapa kuna ukungu mkubwa sana.tatizo kubwa ni pale watanzania kukaa kishabiki sana na si kiuhalisia, isisaaulike ukalimu huanzia nyumbani,inastaajabisha anaposimama mbunge na kusema mama yake anauza nyanya,kama kashindwa kumuokoa mzazi wake sisi raia wake wa arumeru atatuokoaje?au tutaambiana ccm ni kikwazo?nani atamuamini?hatuwazarau wauza nyanya ni wafanyabiashara ila wanategemea kuboreshewa maisha yao.inakuaje pale mzazi wako anakua ana mabadiliko na unajivunia kusema yuko vile.hapa hamna kitu ila genge la wahuni.
 
Ila kweli hapa kuna siri maana nimeitafuta siri sijaiona, jamani kwa aliyeiona naomba anipm japo na mimi niione
 
Kwenye kauli zake na kampeni zake mashuhuri duniani, mweshimu miwa barack obama alikuwa akitumia slogan ya yes we can. Nashangaa kama jamaa anafikiri bado watanzania hawana TV, nitanukuu kauli yake ya jana mara baada ya nassari kuongea alisema "YES WE CAN" mbona sioni kauli hata moja ya wanachadema. hivi siyo kwamba Mbowe bado anamwigiza OBAMA?embu wadau tuwaelimishe hawa wasanii

mwaafrica daima .ina maana gani ?? Dhaifu wewe .
 
Kwenye kauli zake na kampeni zake mashuhuri duniani, mweshimu miwa barack obama alikuwa akitumia slogan ya yes we can. Nashangaa kama jamaa anafikiri bado watanzania hawana TV, nitanukuu kauli yake ya jana mara baada ya nassari kuongea alisema "YES WE CAN" mbona sioni kauli hata moja ya wanachadema. hivi siyo kwamba Mbowe bado anamwigiza OBAMA?embu wadau tuwaelimishe hawa wasanii
angesema ndio tunaweza ungechonga? acha ushamba wewe toka hapa na ***** wako nahisi una pepopunda
 
Back
Top Bottom