we ndio unatakiwa KUELIMISHWA, PIMBI WA MAWAZO WWKwenye kauli zake na kampeni zake mashuhuri duniani, mweshimu miwa barack obama alikuwa akitumia slogan ya yes we can. Nashangaa kama jamaa anafikiri bado watanzania hawana TV, nitanukuu kauli yake ya jana mara baada ya nassari kuongea alisema "YES WE CAN" mbona sioni kauli hata moja ya wanachadema. hivi siyo kwamba Mbowe bado anamwigiza OBAMA?embu wadau tuwaelimishe hawa wasanii
Kwenye kauli zake na kampeni zake mashuhuri duniani, mweshimu miwa barack obama alikuwa akitumia slogan ya yes we can. Nashangaa kama jamaa anafikiri bado watanzania hawana TV, nitanukuu kauli yake ya jana mara baada ya nassari kuongea alisema "YES WE CAN" mbona sioni kauli hata moja ya wanachadema. hivi siyo kwamba Mbowe bado anamwigiza OBAMA?embu wadau tuwaelimishe hawa wasanii
Kwenye kauli zake na kampeni zake mashuhuri duniani, mweshimu miwa barack obama alikuwa akitumia slogan ya yes we can. Nashangaa kama jamaa anafikiri bado watanzania hawana TV, nitanukuu kauli yake ya jana mara baada ya nassari kuongea alisema "YES WE CAN" mbona sioni kauli hata moja ya wanachadema. hivi siyo kwamba Mbowe bado anamwigiza OBAMA?embu wadau tuwaelimishe hawa wasanii
M4C chama alichokianzia mwanadada mmoja na jamaa fulani nchini wingereza akiwa na objective kubwa ya kusambaza matawi yake ndani na nje ya nchi na kukusanya fedha nyingi kama mnabisha tembeleeni Movement for Change | Home waasisi wake wanaitwa
Stella Creasy/Ed Miliband .
na ninasikia mara baada ya godbless lema kumaliza kikao chake cha kufungua tawi lao londoni alikwenda kuripoti maendeleo ya CDM nyumbani kwa huyu mwanamama. sasa kwa mwendo huu Afrika umasikini utaisha lini?
kama kuna mtu anabisha abatilishe kwa hoja.
Kwenye kauli zake na kampeni zake mashuhuri duniani, mweshimu miwa barack obama alikuwa akitumia slogan ya yes we can. Nashangaa kama jamaa anafikiri bado watanzania hawana TV, nitanukuu kauli yake ya jana mara baada ya nassari kuongea alisema "YES WE CAN" mbona sioni kauli hata moja ya wanachadema. hivi siyo kwamba Mbowe bado anamwigiza OBAMA?embu wadau tuwaelimishe hawa wasanii
Joyce Mukya (Mb) alikuwa anaboa, kama alijua anakuja kwenye hiyo shughuli, alipaswa awe ameshaongea na hao aliokua anawaita "watu wangu" wa arusha, na pale alitakiwa aje kuwakilisha tu. It was like amekurupuka hivi. Otherwise, mengine ni ya kawaida tu
Huelewi maana ya fund raising ndo maana umeshoboka hapa!!! Na ungeanza kumsema kwanza mhe mbowe, mhe nasary na wengine kwanza kama kweli unamaanisha