TANZIA Tanzia: Msaidizi wa Askofu Dayosisi ya Kusini KKKT Dkt. Gabriel Nduye Afariki Dunia

Taarifa zinasema Msaidizi wa Askofu wa Dayosisi ya Kusini ya KKKT Dr. Gabriel Nduye amefariki dunia leo kwa ajali ya gari.

Imeelezwa kuwa Mchg. Dr. Gabriel Nduye amepata ajali baada ya gari lake kugongana na lori katika kijiji cha Ng'anda Njombe alipokuwa akirejea kutoka kwenye semina ya Kiinjili iliyofanyika kijijini hapo.

Habari zaidi kuhusiana na tukio hilo zitafuata.

Poleni wanafamilia, washarika, jamaa na marafiki wote walioguswa na msiba huo, pumzika kwa amani Baba Mchg. Dr. Gabriel Nduye


Alikuwa mshauri bora, kiongozi imara mwenye maono makubwa ya maendeleo endelevu ya kanisa, mkoa wa Njombe na taifa. Pumzika Msaidizi wa Askofu KKKT - Dayosisi ya Kusini Dkt. Gabriel Nduye.
IMG-20231026-WA0139.jpg

DSC_0172.JPG
FB_IMG_1698388796015.jpg

 
Taarifa zinasema Msaidizi wa Askofu wa Dayosisi ya Kusini ya KKKT Dr. Gabriel Nduye amefariki dunia leo kwa ajali ya gari.

Imeelezwa kuwa Mchg. Dr. Gabriel Nduye amepata ajali baada ya gari lake kugongana na lori katika kijiji cha Ng'anda Njombe alipokuwa akirejea kutoka kwenye semina ya Kiinjili iliyofanyika kijijini hapo.

Habari zaidi kuhusiana na tukio hilo zitafuata.

Poleni wanafamilia, washarika, jamaa na marafiki wote walioguswa na msiba huo, pumzika kwa amani Baba Mchg. Dr. Gabriel Nduye

Sad!!!
 
Kama kuna ukweli nimeshuhudia zaidi ya mara 3 asee
Upo sahihi mara ya kwanza niliona moja ilimuua mwanamuziki mmoja wa kizazi kipya mitaa ya Mbwewe mwaka 2005 kama sijakosea alikuwa anakwenda Arusha, nyingine ilimuua mtangazaji mmoja wa Channel 10 Msumbiji kama sijakosea nilisikia chanzo ni hicho cha kuchomoka kifaa fulani mbele huko chini
 
Upo sahihi mara ya kwanza niliona moja ilimuua mwanamuziki mmoja mitaa ya Mbwewe mwaka 2006, nyingine ilimuua mtangazaji mmoja wa Channel 10 Msumbiji kama sijakosea nilisikia chanzo ni hicho cha kuchomoka kifaa fulani mbele huko chini
Ok
 
Kuna majimbo ya makanisa yana umaskini sana dayosisi inampa mtumishi wake gari namba C ya mwanzoni huko kweli!!!! na juzi juzi hapa huyu Mkuu wa KKKT kapewa chuma mpyaaa.
Ile chuma kapewa na network ya waumini fulan hivi wenye hela (akina mwigulu na wenzake) hakupewa na kanisa
 
Back
Top Bottom