Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,922
- 33,363
Taarifa zinasema Msaidizi wa Askofu wa Dayosisi ya Kusini ya KKKT Dr. Gabriel Nduye amefariki dunia leo kwa ajali ya gari.
Imeelezwa kuwa Mchg. Dr. Gabriel Nduye amepata ajali baada ya gari lake kugongana na lori katika kijiji cha Ng'anda Njombe alipokuwa akirejea kutoka kwenye semina ya Kiinjili iliyofanyika kijijini hapo.
Habari zaidi kuhusiana na tukio hilo zitafuata.
Poleni wanafamilia, washarika, jamaa na marafiki wote walioguswa na msiba huo, pumzika kwa amani Baba Mchg. Dr. Gabriel Nduye
Imeelezwa kuwa Mchg. Dr. Gabriel Nduye amepata ajali baada ya gari lake kugongana na lori katika kijiji cha Ng'anda Njombe alipokuwa akirejea kutoka kwenye semina ya Kiinjili iliyofanyika kijijini hapo.
Habari zaidi kuhusiana na tukio hilo zitafuata.
Poleni wanafamilia, washarika, jamaa na marafiki wote walioguswa na msiba huo, pumzika kwa amani Baba Mchg. Dr. Gabriel Nduye