Kayaacha yooteeee utafute kwanza ufalme Wa mungu na hayo yote utazidishiwarest in peace ivan.......mimi binafsi nitakukumbuka sana jinsi ulivyokuwa unanitia hasira ya kutafuta pesa kila ulipokuwa unapost mabunda ya minoti insta
Cheki tarehe ya kufa kwake, je inafanana na 3, 9,11,21,23,33. Kama ndivyo, inawezekana. Kanumba alifariki tar 7.4=11. Siku yao.Huyu jamaa mbona alikuwa mzima siku za karibuni.... Hela zake zinanitia wasiwasi isije ikawa alipitia mfumo wa SK kujipatia hela ya fasta kwa masharti....
R.I.P Ivan
Acheni hizi mambo maana kufa ni kufa tu na hakuna ambaye hatokufa so kufa hakuhusiani na jambo lolote maana hata uwe mwema kivipi utakufa tu uwe mbaya mtenda dhambi katili kivipi bado utakufa kwakuwa death is a necessary end.Cheki tarehe ya kufa kwake, je inafanana na 3, 9,11,21,23,33. Kama ndivyo, inawezekana. Kanumba alifariki tar 7.4=11. Siku yao.