Huyu ndiye nani? wengine hatumjui
Wabongo ukiwa mashuhuri na una vijisent ukifa basi wanaanza story zao wakati kufa hakuhusiani na chochote maana kila mtu atakufa tu haijalishi mwema au mbaya.Sisi wabongo ni shida sana, kama ndo upeo wetu huu tunahitaji msaada wa kifikra kwa kweli ili tuendelee. Ivan alipata shambulizi la moyo ni ugonjwa wa kawaida kabisa na unajulikana sana, sasa leo mnaanza kuingiza imani zetu za kizamani. Muda si mrefu mtaanza oooh hela za masharti, mara free manson n.k. Kwa jadi zetu wakati wa msiba si wakati wa mzaha. RIP IVAN
Haha yule jamaa ukumbukwe alikuwa ni billioneerMondi mdogo wangu utaweza kulea watoto hao.. Au ndio mara visenti hunaaaa unarudi tandaleeee meneja umebaki jinaaaa tataaa taaleeees
Waswahili mmeanza.Huyu jamaa mbona alikuwa mzima siku za karibuni.... Hela zake zinanitia wasiwasi isije ikawa alipitia mfumo wa SK kujipatia hela ya fasta kwa masharti....
R.I.P Ivan
Money can't buy Life. Wakati Bob anakata roho kule Florida USA alimwambia mwanaye ZiggyPesa zote hizo kaziachaaa
Tatizo letu wabongo hatupendi kuambiwa ukweri.U
Umetoa rambirambi?
Huo mdomo mbona kama mwekundu sana alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa ganiRest in perfect peace Ivan
Umenitoa chozi na sijuani nawe. Video clip ni post ya mwisho akiwa Uganda alirusha tarehe 11 May 2017. Uliwapenda sana sana watoto wenu wa kiume 3 na kuwajali na kuwaheshimu na Mama yao Zari..mfano mzuri kwa wababa.
Zari aliachana na Ivan na baadae kuja kuwa na Diamond Platnumz ambaye wana watoto wawili pamoja.
Moja ya biashara kubwa ni umiliki wa vyuo mbali mbali nchini South Africa, alizianzisha na Zari.
Poleni sana kwa msiba.
View attachment 514047
Picha wakati wa uhai wake bonyeza mshale kwenda kuziona kwenye post ingine humu...
Ni Kweli huu ni msiba masihara hayatakiwi kabisaMkuu acha hizo kuna wakati wa kufanya masihara lakini si pale msiba unapohusika.
Basi bwana, hata Zari sijawahi kumsikia. Basi nitagoogle!Hivi mkuu hujasoma ata kuona maahali pameandikwa mume wa zari?
Exactly.Huyu jamaa mbona alikuwa mzima siku za karibuni.... Hela zake zinanitia wasiwasi isije ikawa alipitia mfumo wa SK kujipatia hela ya fasta kwa masharti....
R.I.P Ivan
Yaan KKKB (kula,kunya kulala kwa baba) mnajulikana kwa posti zenu za undezi any way ukikua utaachaKwahiyo mondi alifurahi mtoto kufanana na huyo Marehemu?
Mkuu tushafundishwa ukauzu na mkuu wetu ukidanja wachaChe wasikitike wengine waendelee na job
Umeona ee unaweza kuta siku zmefka jamani..!Exactly.
Pesa za waganga zina masharti magumu
Haha yule jamaa ukumbukwe alikuwa ni billioneer