Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 64,225
- 114,939
Heshimu imani za wenzio, huku ukisimamia unayoamini wewe, umelazimishwa kuamini ya wa Catholic??Roho itapumzika kama alizakuwa na mungu .sipendagi ujinga wa wa katolic,wakuombea marehem,Bible inasema baada ya kifo ni hukumu,HAKUNA mahusiano/mawasiliano KT ya mzima na mfu,ni ushetani tu