Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,762
- 4,516
Kila mrengo unafaida na hasara zake, Mwalimu kwa Sera ya ujamaa angalau Ardhi, elimu na afya tunafaidi japo kadri miaka inavyosonga Elimu inakuwa ghali kuipata ile nzuri, Ubepari nao unamabaya yake waone Kenya na Zambia baada ya Rais Kaunda ndo utajua kwanini kila Sera inamabaya na mazuri yake
Mfumo sahihi ambao hata Mungu aukubali ni ubepari.Ubepari unakuza uchumi,unakuza mapato ya Kodi 10 times tena kwa haraka zaidi,ubepari unapunguza unamaliza tatizo la ajira kwa haraka Sana.Usaidia upatikanaji wa bidhaa na huduma kwa bei ya chini na kwa wingi zaidi.
Case study China baada ya kuruhusu ubepari tu uchumi wa china umekimbia kwa speed ya 10G.