Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,762
- 4,516
Anapunguza gharama lkn ni Bora kutembea upate exposure plus networking kwa tembezi zenye tija kuliko kupoteza Kodi zetu kuwekeza kwenye miradi ya tembo mweupe, kununua wapinzani, kurudia chaguzi, kupambana na upinzani badala ya kupambana na maendeleo,kununua ma v8 ,na visivyo tija kiuchumi ( kuhamia dodoma, ikulu mpya) huku wanafunzi wanakaa chini hawana vyoo, hawana madarasa, maji hakuna.Rais hataki hata kusafiri nje ajifunze nchi za wenzetu, yqmani kituko kabisa.