Duuuh
1) Lyatonga Mrema wakati wa jaribio la Mapinduzi 1964 alikuwa na miaka chini ya 18
Fanya marekebisho Mkuu
Mrema kaja kuwa Waziri awamu ya Mwisho ya Baba Hussein
2) Bibi Titi hakushtakiwa kwa uhaini kwny jaribio la 1964, ugomvi wa Nyerere na Bibi Titi ulianzia 1967 kwny Azimio la Arusha, ukakolea 1968 kwny kuanzishwa kwa Bakwata, akakamatwa yeye na wenzie kadhaa akiwemo Mzee wangu Mzee Lifa Chipaka wakafungwa maisha.
Akina Bibi Titi hawakusamehewa bali Mahakama ya EA iliwakuta hawana hatia Serikali ikagoma kutii mahakama baadae 1971 akaigiza kuwasamehe
3) Kambona alirejea kwny Jeneza 1997 na cha ajabu Nyerere alikuwa bado na kinyongo nae akakataa hata kushiriki Msiba walau kutoa pole kwa wana Familia na best man wa ndoa yake…angekuwa hai angepaswa ajifunze ustaarab huo kwa Ngoyai na Jakaya…pamoja na mabif yao wanajuliana hai na kusabahiana panapokuwa na majanga
1) Lyatonga Mrema wakati wa jaribio la Mapinduzi 1964 alikuwa na miaka chini ya 18
Fanya marekebisho Mkuu
Mrema kaja kuwa Waziri awamu ya Mwisho ya Baba Hussein
2) Bibi Titi hakushtakiwa kwa uhaini kwny jaribio la 1964, ugomvi wa Nyerere na Bibi Titi ulianzia 1967 kwny Azimio la Arusha, ukakolea 1968 kwny kuanzishwa kwa Bakwata, akakamatwa yeye na wenzie kadhaa akiwemo Mzee wangu Mzee Lifa Chipaka wakafungwa maisha.
Akina Bibi Titi hawakusamehewa bali Mahakama ya EA iliwakuta hawana hatia Serikali ikagoma kutii mahakama baadae 1971 akaigiza kuwasamehe
3) Kambona alirejea kwny Jeneza 1997 na cha ajabu Nyerere alikuwa bado na kinyongo nae akakataa hata kushiriki Msiba walau kutoa pole kwa wana Familia na best man wa ndoa yake…angekuwa hai angepaswa ajifunze ustaarab huo kwa Ngoyai na Jakaya…pamoja na mabif yao wanajuliana hai na kusabahiana panapokuwa na majanga