armanisankara
JF-Expert Member
- Jul 15, 2011
- 283
- 49
meneja wa mawasiliano wa tanesco badra masoud amesema serikali yetu inafanya mazugumzo na serikali ya ethiopia ili kuangalia uwezekano wa kununua umeme kutoka nchi hiyo. umeme wao unazalishwa kwa njia ya maji na unaouzwa kwa bei nafuu moja kwa moja kutoka nchini ethiopia. ethiopia wanazalisha nishati ya umeme wa megawati 10000 na kubakiwa na ziada megawati 8000. nilivyosoma hii habari nilicheka na kukasirika mda mmoja.
Tanzania tuna mito na vyanzo vingine vingi zaidi ya ethiopia. sasa inakuaje wenyewe wanaweza kua na megawati 10000 alafu sisi tushindwe? hii ni haibu kwa nchi yetu
Tanzania tuna mito na vyanzo vingine vingi zaidi ya ethiopia. sasa inakuaje wenyewe wanaweza kua na megawati 10000 alafu sisi tushindwe? hii ni haibu kwa nchi yetu