Mkuu ikitokea Magufuli ajitoe Mhanga awalete F.B.I waje wachunguze vyeti na Digrii za wale wanaojiita Wasomi Tanzania hakika Dunia utashuhudia vioja vya karne maana 90%! Hawana Taaluma vichwani ni Wasomi feki wanafanya kazi Kwa mazoea kijanja janja.Jina moja
Ubin mmoja
Mwaka aliomaliza shule na shule ni moja. Utashangaaa cheti kimoja wafanyakaz wawil
Huyu afisa kilimo yule mwanasheria. Hili ni jipu WATUMBUAJI NJOOO INBOX NIWASONTESHEEEE