Wewe mbona hujapewa?Ujinga siyo adui adui mkubwa tanzania ni mmoja naye ni upumbavu .....cheki mtu anaona fahari kuongwa PHD YA KUCHAMBIA KWA YEYE KUTOA BANDARI huo siyo ujinga bali ni upumbavu ulio dhahili
Phd za kuchambia nani anataka au unadhani na mimi ni zuzuWewe mbona hujapewa?
Pengine hata kazi huna, maisha yamekupiga makofi, unatafuta mchawi.
View attachment 2841448
Papa ndiyo kijambio gani ?mimi ningekuwa rais ningepiga marufuku madhehebu ya dini yote nchini ...kwanza madhehebu ni kunyume ya dini si ukristo wala uislamu .....madhehebu ni haramu.mudi siyo mshia wala msuni na yesu siyo mkatoliki wala msabato wala mlokole.....mtu yoyote akiwa na dhehebu huyo ni mpumbavu hata kama ni baba yako au mama yako mzazi.Hapana zile za papa za kufutia mavi baada ya kufuramishwa na mwanamme mwenzio na kanisa linakubariki.
Heshma kwako !Tutabaki kuwa wajinga mpaka kaburini.
Mimi ni Muislam, sijawahi kuwa na siasa za masunni wala mashia, wote ni mapoyoyo kama wewe tu.Papa ndiyo kijambio gani ?mimi ningekuwa rais ningepiga marufuku madhehebu ya dini yote nchini ...kwanza madhehebu ni kunyume ya dini si ukristo wala uislamu .....madhehebu ni haramu.mudi siyo mshia wala msuni na yesu siyo mkatoliki wala msabato wala mlokole.....mtu yoyote akiwa na dhehebu huyo ni mpumbavu hata kama ni baba yako au mama yako mzazi.
Na ujinga huu huu wa watanganyika ndio unapelekea kuchagua serikali ya kijinga inayoongoza kijinga na kuwafanya watanganyika waishi maisha ya kijinga. Yaani ni ujinga kila kona.Ujinga unatufanya tuwe na maradhi, ujinga unatufanya tuwe masikini, ujinga unatufanya tuwe wezi, ujinga unatufanya tuwe na kila baya.
Tufanye nini kuondokana na adi ujinga?
Umeanza kujielewa kuwa u mjinga. Hongera.Na ujinga huu huu wa watanganyika ndio unapelekea kuchagua serikali ya kijinga inayoongoza kijinga na kuwafanya watanganyika waishi maisha ya kijinga. Yaani ni ujinga kila kona.
Bila kuwa na uongozi wenye maono na mfumo mzuri wa kuongoza ujinga hautaisha. Tuanze kwa kuindoa CCM.Hili la adui ujinga nimeliandika mara nyingi hapa JF kwenye posts tofauti.
Kwa miaka mingi sasa huwa nauliza na kujiuliza "hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?" Kuuliza kwangu siyo kwa kukisia au kwa kenehi au kejeli, ni swali la ukweli kabisa.
Kilichonisukuma kuandika haya, ni yote yanayojiri sasa hivi. Tumefikikia kubishana kijinga kabisa, kuna watu wanabishana kuhusu biashara, hajawahi kyufanbya biashara toka kuzaliwa. Kuna watu wanabishana kuhusu bandari hajawahi kuiona hata bahari. Ni ujinga tu.
Kuanzia jana nimekaa natazama wanasheria weu wamakwenda baraza la usuluhushi la Kimataifa, mpaka kichefuchefu, mtu unajiuliza walienda kufanya nini kama siyo kuendelea kututia hasara?
Hivi walilazimishwa kuongea Kingereza? Si wangeomba watapta? Mpala nimeona kichefuchefu, hivi waziri aliyewapeleka hauoni huu utu mbi wanaoufanya huko? Dah! Inatisha.
Naamini kabisa kutoka ndani ya moyo wangu, hatuna adui umasikini, hatuna adui maradhi. Adui yetu ni mmoja tu, ujinga. Watanzania tu wajinga wa hali ya juu.
Ujinga unatufanya tuwe na maradhi, ujinga unatufanya tuwe masikini, ujinga unatufanya tuwe wezi, ujinga unatufanya tuwe na kila baya.
Tufanye nini kuondokana na adi ujinga?
Nasubiri majibu ya kijinga.
Kiongozi wa nchi ndiye anayeweza kuleta mabadiliko. Soma historia kuhusu nchi zilizopata mabadiliko chanya uone. Changes in any country always start with a good leadership. Country leadership plays a crucial role in driving societal changes as leaders shape policies, set priorities, and influence the direction of a nation.Kwanini wewe usiwe kiongozi utuoneshe mfano hapohapo ulipo?
Huo ndiyo ujinga wa Mtanzania, kwani wanaoishi "vizuri", kwa mtazamo wako, hapa Tanzania wanaishi chini ya uongozi upi?Kiongozi wa nchi ndiye anayeweza kuleta mabadiliko. Soma historia kuhusu nchi zilizopata mabadiliko chanya uone. Changes in any country always start with a good leadership. Country leadership plays a crucial role in driving societal changes as leaders shape policies, set priorities, and influence the direction of a nation.
Wanaoishi vizuri wengi wanafaidika na corruption! Unajifanya hujui? Wanatumia nafasi zao kujinufaisha. Corrupted individuals can undermine a country by exploiting their positions of power for personal gain, diverting resources away from public welfare to serve their interests. Upo?Huo ndiyo ujinga wa Mtanzania, kwani wanaoishi "vizuri", kwa mtazamo wako, hapa Tanzania wanaishi chini ya uongozi upi?
Kwa mtazamo wango, viongpozi wawili tu Tanzania hii ndiyo walitaka watu waishi hovyo. Nerere alitaka wote tuwe masikini, Magufuli alitaka wote tuishi kama mashetani. na tukaishi hovyo kweli nyakati zao.
Viongozi wengine wote wamejitahidi sana kuweka fursa za kujiedeleza ziwe wazi.
Wa kwanza wewe mwenyeweSiyo wanapenda, ni wajinga kweli.